Musukuma: SGR inawahudumu kama Ndege, tutapata hasara waondolewe

Mawazo ya kijima!

Anataka SGR iwe kama "gogo" la kigoma!
Hata usafi wa vyoo usiwepo!

What a disgrace!
 
Yuko sawa. Sema kuna wachangiaji humu wanakurupuka kama Kasongo. Amesema liwepo behewa la chakula anayehitaji aende akale siyo awepo mtu wa kupita kuuliza watu kama wanataka kula. Misuse of public funds.
Labda ndiye huyo muhudumu wa behewa la chakula hakuona watu wakienda kula akaona achangamshe miguu
 
Mawazo ya kijima!

Anataka SGR iwe kama "gogo" la kigoma!
Hata usafi wa vyoo usiwepo!

What a disgrace!
Wewe ndiye una mawazo ya kijima. Umewahi walau kusafiri nje ya Tanzania? Sehemu nyingi sana wameshaondoa zile huduma za kutumia watu na wameweka self service. Treni zinakuwa na automatic machines na unanunua chochote unachotaka. Kwa sababu sisi bado tuko nyuma, ingekuwa vizuri wakaweka mabehewa ambayo watu wanakwenda kununua wenyewe. Kitu kama usafi wa vyoo watu wawili wanatosha kufanya shughuli au wanaocheki tiketi. Bila kubana matumizi treni zitakufa.
 
So ana discourage ajira hapo then haoni shida Wala nini
Hao watakaoajiriwa hawataweza kulipa kodi itakayozidi faida za SGR, Serikali inajali pesa zaidi kuliko life standard za hao watakaoajiriwa
 
Huyu anataka kuturudisha kwenye zama za kusafiri na ugali kwenye bag la nguo
 
Kama ni kweli anachokisema Musukuma,ninashauri Kadogosa afukuzwe kazi,na sio kusimamishwa kazi ,Wala kuhamishiwa pengine
 
Mwambie hata ATCL inawafanyakazi kibao na kila siku inaajiri, idadi ya wabunge nayo ni kubwa sana kama ilivyo idadi ya mawaziri pia.
Hii itamchoma hakawii kukujia usiku...
 
Mawazo ya kijima!

Anataka SGR iwe kama "gogo" la kigoma!
Hata usafi wa vyoo usiwepo!

What a disgrace!
Uliwahi kwenda China ukapanda SGR kutoka Beijing kwenda Gouzhuoh zaidi ya Kms 3000?
Kinachofanyika Tanzania SGR ni uhujumu uchumi na musukuma Yuko dawa 100%
 
Hao ni chakula cha viongozi na nafasi zao hazitangazwi bali huwafikia walipo. Ushamba na ulimbukeni ndio ulifanya waajiriwe, alfajiri anasafiri na sanduku lake la magurudumu toka Dar. anakwenda Dodoma mchana anarudi Dar na sanduku lake ndani zimo zana za mashosti!
 
Ni kama vile kuwa na mkuu wa mkoa na wawilaya na wakurugezi wakati kazi zote hizo zingemalizwa na mtu mmoja tu.
Ulitaka watu wale wapi? 😹😹
Kwann usiwaseme wabunge ndio mizigo pale bungeni?? Min acha roho mbaya 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…