Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Ni wakati sasa wa vyombo vya ulinzi na usalama kuingilia kati na kuwaweka sawa hawa watawala.
Maofisa wote wa jeshi, polisi na hata usalama wa taifa hua wanaapa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi.
Wakati ndio huu, tukishindwa kumdhibiti huyu Magufuli atazidi kuitumbukiza nchi kwenye udikteta hatua kwa hatua, tutakuja kuamka ikiwa too late.
Maofisa wote wa jeshi, polisi na hata usalama wa taifa hua wanaapa kuilinda na kuitetea katiba ya nchi.
Wakati ndio huu, tukishindwa kumdhibiti huyu Magufuli atazidi kuitumbukiza nchi kwenye udikteta hatua kwa hatua, tutakuja kuamka ikiwa too late.