USIPITE BILA KUSOMA!
Hautojuta, (ni mtzamo wangu, ila
nimeuchambua kwa kias chake)
Sikia ww, hakuna mwananch wa kawaida
wa
tanganyka anayewang'ang'ania znz, kwa
7bu hakuna cha ajab znz,
wanaong'ang'ania
ni viongoz, wote wa znz na bara ndo maana
wao hawabshan kama cc.
Mi sion faida ya muungano. Tena nazd
kuwa
na ujasir huo kwa kitendo cha kupunguzwa
kwa mambo ya muungano, inaonesha
hakuna cha msing kinachopatkana na hz
pand 2, kitakachokosekana bila muungano,
ila wanashkilia na hzo nyuz 7 ila ucvunjke.
Kuna faida gan ya muungano (inayotosha
kufumbia macho matakwa ya weng?) Kama
ni biashara, znz na tanganyka ztakuwa ktk
soko huru la afrka mashark xo hakuna
tofaut.
Kamwe waznz weng hawakubal serkal 1,
wanataka ikishndkana kuvunja muungano
bas kila k2 kwe nus kwa nus na wabara
weng hawatak serkal 2, wanaona hawawez
gawana nus kwa nus na nch iliyo ndogo
kama dar, kwan wao watapata kdogo
kischotosha na znz watapata na zaid.
So kilichobak ni muungano uvunjwe kwa
aman.
Kitu kingne., baada ya muungano Karume
alwaambia waznz wachofu coz c hatuwez
kwenda kene baraza lao ila wao kwetu
wanakuja. Hi inanitia mashaka kama
Nyerere
na Karume walkuwa na lengo jema la muda
murefu. Mi naona waliungana ili wakolon
wakiamua kurud tuwe na nguvu(hao
wawili
wasipoteze uhai na vyeo vyao, ila Nyerere
alikuwa desperate kulko Karume had
akakubal serkal 2, zinazotusumbua na
kupoteza uhuru wa tanganyka huku znz
wakbak nao wakwao kwa kias kikubwa.
Tofaut na weng wafikiriavyo Karume
alkuwa
mjanja kulko Nyerere. Karume aliona faida
ya
muungano kwake binafsi wakat ule, kama
nilivyoeleza hapo ju, ila akajua tena
muungano hautadumu milele coz
watanganyka wakijaznduka namna Nyerere
alvyosacrifice sovereignity ya tanganyka
kijanja, hawatovutiwa. Na waznz
wakishanyonya vya kutosha watataka
uhuru, kama sasa. Ahaaa kumbe! Kwa hyo
akaamua awekeze kwa ajil yake na znz.
Akakubal kuwa makam ili muungano
uwepo,
kwa wakat wake, aweze kujilinda na baadae
muungano uvunjke, znz wakiwa
wameshatunyonya, znz iwe nch huru).
NB: ni mtazamo wangu! Ila fikiri, hata hayo
mambo meng ya muungano yaliyopo sasa,
je
isingekuwa hvyo kungekuwa na tofaut
kubwa? Je yanatosha kuwa 7bu za Karume
na Nyerere kutuunganisha? Kila nch
ingeendelea kivyake!
Viongoz wa sasa nao wanaona faida ya
muungano, ni kuongeza uwanja wa
utawala,
nafasi za uongoz, kodi, ...(etc, jaza
mwenyewe)...
Hv fikiria vyama (ccm, cdm, cuf) kila moja
ikishka serkal moja au, hata hz 2 zilzopo
zkishkwa na vyama tofaut tena vyenye
sera
tofaut tofaut, itakuwaje?(k2 chenye
uwezekano mkubwa kutokea)!
Cuf hawatak muungano, xo wakshka znz,
watapiagania kuuvunja.
Mi naomba muungano tuuvunje kwa aman
ili
tuendelee kuwa marafik huru, kuna
uwezekano upand fulan ukahamasishwa na
walioshka madaraka kwa upand huo,
wavunje muungano kwa vurugu.
Sikulazmish kuwa na mtzamo kama wangu!
Ila...
Tafakar chukua hatua!