Ronaldo wa Real Madrid Agoma kula kisa Kikwete kagomea serikali Ta2....
Pele achekelea Zanzibar kuwa Nchi huru.
Maddona Achukizwa na Tanganyika kutaka kuchomoza kisa Kaota Nywele pubic Area.
Jay Z atishia kusitisha misaada ikulu ya Tz,baada ya Serikali kushindwa kutoa tamko la kukubali MADUME Kugeuzana.
Yabainika CCM wanamuogopa Aboud Jumbe,hii ni kufuatia kutomualika katika Hafla yoyote ile ya Kitaifa.
Tetesi :Tifutifu vyama vya upinzani, chanzo ni Wivu wa Kike,kwa Ruling Party.
Tafiti nyingi zaonesha Watanzania wengi ni watu wa kulalamika tu,tena hasa watu wa BARA a.k.a Wadanganyika na Muda si mrefu baada ya kupitishwa kwa Katiba wata tawanyika.
Hizi ni baadhi ya dondoo kwenye vyombo vya Habari dunia ya KWANZA.