Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
huu muungano wenu wa lazima sababu faida huwa mnaziona nyie watawala pekeeKwa vile huu muungano wetu adhimu umeishia ingiwa, na hakuna vipengele vya jinsi ya kuuvunja, then muungano wetu ni wa milele na tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Pumbavu kweli ww Yani hapo unaongea inawezekana kabisa babu yako ni myamwezi wa tabora hivi hiyo nchi inaasili ya mwenyewe Zaid ya makabila kutoka bara wamatumbi wa ndengereko wanyamwezNi bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Umenena vizuriUnajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?
Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Nyie mademu zetu mshakubali kuolewa sharti mlale bila nguoMuungano project ya ccm. Amini ccm ikipigwa chini ndio mwisho wa muungano. Tutakutana jumuiya ya EAC kama awali. Zanzibar oyee.
We jamaa una mawazo ya ki zazwa kweliHii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.
Enzi hizo hata kufikiri tuu kuuvunja muungano ni kosa kubwa la uhaini!.
P
Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Unaweza kutazama jinsi unavyofanya. Ila tu, sema: Kwa nini wale ambao machoni pako wanafaidika ni hao wanaolialia na kulalamika? Kwa nini huko wako 100, au 200 waliouawa tayari (labda zaidi na maafisa kutoka bara) wakipinga hali jinsi ilivyo, kama ni wenye faida? Sioni mantiki.Unajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?
Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Ukivunjika wazenji wote tunawatimua tuone nani atapata hasara
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Aaaaaiiiseee! Samahani sijaelewa wamchukue mtu wao nani mliyemchoka? Au ni yule mama mwanafunzi wa shule ya uongozi ya kiroboto?Mchukueni na mtu wenu tumemchoka huku
Hakika si busara kutisha hivi. Tumia akili: kwa kweli wabara wachache waliwekeza visiwani (maana ni vigumu), ilhali WaZanzibari waliwekeza mengi barani.utajiskiaje na wabara walioko ZENJ nao wakitimuliwa? haya masuala hayati jazba mkuu
Hiyo maana yake, muko tayari kuuwa haraiki ya watu, kisa tu muungano ubaki milele, sio?Kwa vile huu muungano wetu adhimu umeishia ingiwa, na hakuna vipengele vya jinsi ya kuuvunja, then muungano wetu ni wa milele na tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Hahaha. Nimecheka sana kuhusu kutoka nje kuota jua...!Hii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.
Enzi hizo hata kufikiri tuu kuuvunja muungano ni kosa kubwa la uhaini!.
P
Muungano ni mzuri ila watanganyika tumechoka. Koti la muungano limebanaNi bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.