n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Yani wale wa babu walituingiza chaka Sana. Hawa wazanzibar ni kama tunawalazimisha kwenye huu Muungano wa michongo, ili hali inatugharimu sisi watanganyika kwa koti la Tanzania.Wazanzibari hawawapendi Watanganyika
Yani wale wa babu walituingiza chaka Sana. Hawa wazanzibar ni kama tunawalazimisha kwenye huu Muungano wa michongo, ili hali inatugharimu sisi watanganyika kwa koti la Tanzania.
Acha povu kubalini yaishe Zanzibar elimu dunia kwenu hajawahi kuwa kipaumbeleWewe ndio uone aibu kwa kukosa elimu na maarifa
School kiingereza kiswahili ni skuli
Schule kijeruman kiswahili ni while
Tanganyika wametohoa kijerumani Zenji wametohoa kiingereza
Mfano mwingine Zanzibar wana marikiti kwa maana ya market kiingereza na bara Wana tumia sokoni kw maana ya souk kiarabu
Labda serikali ya Zanzibar inatoa ruzuku kwa shule binafsiKinachosumbua hapo ni udini
Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa.
Za private ziko Muslim schools na Christian schools.
Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika
Zanzibar hicho kinafanyika ni kutaka kulazimisha mwenye Shule ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school
Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa lazima iwe Muslim school.
Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini
Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Acha kuongea umavi huo kwahiyo na nyie mkija bara muwe na adabu utaona mnatupa mikanzu na nikabu zenu mnang'ang'ania suti na mademu zenu jeans 😁😁😀😀😃😃 mnaacha vyenu mkivuka tu bahariNyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Nonsense, ustaarabu gani mlionao?Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Shida ipo wapi hapo...unaishi kwa complications zisizo na mashiko.Siku moja nipo zanzibar naona kundi kubwa la watoto wa shule wamezagaa forodhani na walimu wao wamejikumbiliza hijab na bus la shule limepaki pale... kuuliza eti wanafunzi wa boarding wameletwa kula urojo
Hakuna kitu kama hiko...kila kitu hapo zenji kimejengwa na waarabu kwa kuwatumia watumwa (Wazanzibar) na tena walikuwa wanawaita washenzi (Jina la mtumwa mzanzibari)
Jina la mwenye shule kama la kichina hivi, Acha ubaguzi!Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Mkivunja muungano mtajuta majuto makuuMi mwenyewe huwa nashangaa mnavyotung'ang'ania. Mliwafunga watu miaka mingi bila ushahidi 😀 kisa tu wanasema zanzibar kwanza. Wazanzibar walikwisha ukataa huu Muungano kitambo tu tena kwa kusema wazi wazi kwenye majukwaa, nyie mmefanya nini zaidi ya kuwa Keyboard warriors 😀
Samahani naomba kuelewa hivi suala la elimu msingi kidato cha 1-4 halipo ktk Muungano? Na je kama halipo kwanini kipindi fulani Dr. J. Ndalichako alifungia shule za Zanzibar kwa sababu ya udanganyifu? Hili suala sikulielewaga vizuri yoyote mwenye uelewa anijuze tafadhari.
aleesha
Acheni kushabikia mambo ya kipuuzi
Ustaarabu upi unao uongelea? Huu ulioletwa na waarabu enzi za utwana na utumwa?Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
"Ameyataja baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na Wanafunzi wa kislam kutosomeshwa somo la dini ya kislaam na kiarabu, kulazimishwa kujifunza dini ya kikiristo, kutotakiwa kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Wanafunzi kutoruhusiwa kuvaa hijabu."