Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Tatizo siyo uzanzibar, tatizo ni udini.Hiyo shule inaonyesha ina misingi ya kikristo lkn inaonyesha wazazi wanaopeleka watoto wao ndy hawataki kufuata misingi na katiba ya hiyo shuleNyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Mihemuko ipi kulaziy shule ya Kikristo ichukue waislamu na ifundishe Dini ya kiislamu na kiarabu kwa lazima na irihusu waswali swala Tano? Si waende shule za kiislamu mbona ziko kibao Zanzibar huo ni upnezi wa minority wakristo walioko Zanzibar Wa waziwazi kabisaNchi inaongozwa na sheria sio mihenko ya kuogopa kuchafuliwa
TakbiiirWizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, imeifutia usajili Skuli ya Eden inayomilikiwa na Shirika la Afrika Agape Association kuanzia Januri 3 mwakani.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya Wizara kubaini mmiliki wa Skuli hiyo kuendesha Skuli kinyume na sheria, miongozo na kanuni za Wizara.
Akizungumza na wamiliki wa Skuli hiyo huko Shakani Kaimu Mrajis wa Elimu na Katibu wa Baraza la Elimu Zuwena Mataka Hafidh, amesema kumekuwepo malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa na wazazi hali iliyopelekea Wizara kuchukua maamuzi hayo.
Ameyataja baadhi ya malalamiko hayo ni pamoja na Wanafunzi wa kislam kutosomeshwa somo la dini ya kislaam na kiarabu, kulazimishwa kujifunza dini ya kikiristo, kutotakiwa kufunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan na Wanafunzi kutoruhusiwa kuvaa hijabu.
Malalamiko mengine amesema kupandishwa ada bila ya utaratibu, kutokuwa na mashirikiano mazuri baina ya wazazi, walimu na mmiliki wa skuli na mmiliki huyo kuendesha skuli kwa hisia zake binafsi.
Aidha amebainisha kuwa malengo ya Wizara sio kuifutia leseni Skuli hiyo bali ni kuhakikisha inafuata sheria na miongozo ya Serikali katika kuendesha Skuli yao.
Kaimu Zuwena, amebainisha kuwa mmiliki wa Skuli hiyo amekuwa mgumu kufuata sheria na miongozo ya Wizara na kuendesha Skuli yake anavyotaka yeye jambo ambalo halivumiliki.
“Haiwezekani Skuli kuendeshwa bila ya kufuata miongozo ya Wizara kwani tuna skuli 590 hatutakuwa tayari kuona mmiliki yoyote wa skuli binafsi anakwenda kinyume na utaratibu na hatutasita kuchukua hatua,” amesisitiza.
Hata hivyo, amesema Skuli hiyo imekuwa ikifatiliwa mara kwa mara na kupewa maagizo ya kurekebisha kasoro hizo lakini haizingatii maagizo anayopewa na badala yake kuendelea kuendesha skuli kinyume na sheria.
Amesisitiza kuwa skuli yoyote ya binafsi inatakiwa kufuata sheria, miongozo na mambo mbalimbali yanayotolewa na wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar .
Nae Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mjini Magharibi, Amosi John Henock, amesema toka skuli hiyo kusajiliwa mwaka 2010 imekuwa ikijitokeza migogoro baina ya mmiliki na jamii pamoja na kushindwa kujirekebisha baadhi ya kasoro ambazo alitakiwa kuzifanyia kazi.
Aidha amesema Skuli hiyo imeshawahi kufungiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud na kutakiwa kurekebisha kasoro zilizoonekana lakini aliendelea kukaidi.
Amesisitiza kuwa Skuli hiyo haitaendelea kufundisha mpaka pale itakapokubali kwenda sambamba na maagizo ya Serikali katika kuwapatia watoto elimu.
Amesema hata katiba ya Zanzibar imeeleza wazi kwamba mtu yoyote hapaswi kufanya jambo lolote kwa lengo la ubaguzi wa moja kwa moja ama kwa taathira yake.
Kwa upande wake Sheha wa Shehia ya Shakani bi Mwanaisha Khamis Rashid amebainisha kuwa mara nyingi amekuwa akikaa na uongozi wa Skuli hiyo katika uendeshaji elimu kwa kufuata miongozo na mitaala ya Wizara lakini hakuifuata.
Nae mmiliki wa skuli hiyo bwana Youung Am Kim ameahidi kuheshimu maamuzi ya Wizara ya Elimu ya kutofungua Skuli na hiyo na kuwajuillisha wazazi juu ya suala hilo.
Aidha amesema atahakikisha anafuata sheria ya elimu ya Zanzibar na kuondoa changamoto ambazo zinalalamikiwa kupitia Skuli yake.
Akizungumza kwa niaba ya walimu wenzake Mwalimu Ummy Aga amesema wameweka jitihada binafsi kwa wanafunzi wao kuona wanafanya vizuri katika mitihani yao na kujipima katika ufundishaji lakini kufutwa kwa Skuli hiyo imeondosha ndoto yao kwa Wanafunzi wao.
Tatizo tunashindwa kuelewa Zanzibar ni nchi na INA sheria zake japokuwa ipo katika muungano na Tanganyika, hivyo sheria zake muda mwingine zinawezakuwa tofauti na za Tanganyika kikubwa kutambua na kuheshim kwa maana nchi bila sheria ni jalala.Kinachosumbua hapo ni udini
Sekta ya elimu inatakiwa kuwa huru mfano Tanzania bara ni hiari ya shule kufundisha masomo ya Dini au kuyaacha kabisa
Za private ziko Muslim schools na Christian schools
Mtu alienda Muslim schools anakutana na ya kiislamu kibao kuanzia kuvaa hizo hijabu nk akienda Christian schools atasali kikristo nk Na wazazi huridhika
Zanzibar kinafanyika kwenye hivyo ni kutaka kulazimisha mwenye ageuze shule kwa lazima iwe Muslim school
Zanzibar mbona Muslim schools ziko kibao wazazi wapeleke watoto wao huko huo ni ukorofi usio na sababu mtu kafungua Christian school yake kwa Nini umkomalie kuwa laziy iwe Muslim school
Hii ichukuliwe kama kero ya muungano.Ichukuliwe wazi kabisa kuwa huyo mwenye shule ananyanyaswa kidini
Raisi Mwinyi aingilie kati Hilo swala haraka
Hakuna mahali popote baraza la mitihani la taifa husema lazima mwanafunzi asome masomo ya kiislamu ,kiarabu au kifaransa au kihindi hayo huwa ya hiari ya shuleTatizo tunashindwa kuelewa Zanzibar ni nchi na INA sheria zake japokuwa ipo katika muungano na Tanganyika, hivyo sheria zake muda mwingine zinawezakuwa tofauti na za Tanganyika kikubwa kutambua na kuheshim kwa maana nchi bila sheria ni jalala.
Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imejitambulisha haina dini, ila msingi wa serikali ya mapinduzi Zanzibar unaviashiria kuwa una dini nayo ni uislamu hivyo ni kukubaliana na hali ukiwa ktk ardhi yao. When you are in Rome do what Romans do!Mihemuko ipi kulaziy shule ya Kikristo ichukue waislamu na ifundishe Dini ya kiislamu na kiarabu kwa lazima na irihusu waswali swala Tano? Si waende shule za kiislamu mbona ziko kibao Zanzibar huo ni upnezi wa minority wakristo walioko Zanzibar Wa waziwazi kabisa
Hizo ni chokochoko za kidini waaambieni wazazi wanaotaka watoto wao wasome kiislamu na kiarabu na wapige swala Tano waende shule zao za kiislamu.Hawalazimishwi kupeleka hapo
Zanzibar ni nchi mkuu na kumbuka ina sheria zake tofauti na Tanganyika. Ndiyo maana hata msingi hadi mwaka huu walikuwa wanasoma miaka 6 badala ya 7.Hakuna mahalo popote baraza la mitihani la taifa husema lazima mwanafunzi asome masomo ya kiislamu ,kiarabu au kifaransa au kihindi hayo huwa ya hiari ya shule
Sasa Kwa Nini Zanzibar walazimishe tena kwenye shule ya Private
Huyo mkorea kaanzisha shule Kwa ajili ya minority wakristo waislamu wanazo zao Kila Kona Kwa Nini waikomalie hiyo ? Ni unyanyasaji wa kidini .Shule inanyanyaswa sababu ya Kikristo
Halafu sisi tumewakumbatia baraWazanzibari hawawapendi Watanganyika
Nchi ya Zanzibar haiendeshwi na baraza LA mitihani Tanzania, bali inasheria na taratibu zake kulingana na katiba ya Zanzibar mkuu.Hakuna mahali popote baraza la mitihani la taifa husema lazima mwanafunzi asome masomo ya kiislamu ,kiarabu au kifaransa au kihindi hayo huwa ya hiari ya shule
Sasa Kwa Nini Zanzibar walazimishe tena kwenye shule ya Private
Huyo mkorea kaanzisha shule Kwa ajili ya minority wakristo waislamu wanazo zao Kila Kona Kwa Nini waikomalie hiyo ? Ni unyanyasaji wa kidini .Shule inanyanyaswa sababu ya Kikristo
Miaka sio issue hata Tanzania bara wako watoto kibao wakifika la sita mzazi anampeleka private form one bila shidaZanzibar ni nchi mkuu na kumbuka ina sheria zake tofauti na Tanganyika. Ndiyo maana hata msingi hadi mwaka huu walikuwa wanasoma miaka 6 badala ya 7.
Mitihani yote ya msingy na secondary wanafanya ya NECTANchi ya Zanzibar haiendeshwi na baraza LA mitihani Tanzania, bali inasheria na taratibu zake kulingana na katiba ya Zanzibar mkuu.
Si kweli tatizo liko kwenye serikaliChangamoto ninayoiona ni mmiliki kutaka kuendesha shule vile anavyojisikia.
Ni "Watanzania" siyo "waTanzania".waTanzania
Necta wanaratibu mitihani tu na si kuwapangia sheria za uendeshaji shule zao na tamaduni zaoMitihani yote ya msingy na secondary wanafanya ya NECTA