Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu

Mbona nyie hamna adabu mnavyokuja huku,naona sasa vigenge vya shisha vimeanza kushika kasi baada ya mwamba kuondoka ndio ustaarab huo
 
Nyinyi watanganyika hemu acheni tabia zenu za kibishi bishi mnavokuja kuweleza huku visiwani. Zanzibar tuna ustaarabu wetu kwaio mkija huku muwe mnakuja na adabu zenu
Tatizo siyo uzanzibar, tatizo ni udini.Hiyo shule inaonyesha ina misingi ya kikristo lkn inaonyesha wazazi wanaopeleka watoto wao ndy hawataki kufuata misingi na katiba ya hiyo shule

Tatizo kubwa la waislamu ni kutaja kulazimisha mambo ya dini hata sehemu ambayo wahusika wanasema hatutaki maswala ya kuleta au kupandikiza Imani Fulani hapa.

Mimi nimeshuhudia ktk shule niliyosoma wanafunzi wa kiislamu kulazimishwa kujengeaa msikiti mkubwa wakati vyumba vya kawaida vipo miaka na miaka .Na walianza kupandikiza chuki shuleni Kwa wasio waislamu.Ilifika wakati tusio waislamu tukawa tunaitwa makafiri waziwazi na wakati wa Kula hawataki kushea vyombo na wasio waislamu.Tatizo likisuluhishwa na mkuu wa mkoa na shehe wa mkoa.Ilipochunguzwa Kwa nn huo mwaka kuna matatizo ya udini shuleni wakati hayo mambo hayakuwepo wakagundua ule mwaka waliselect wanafunzi wengi wa form 5 kutokea pande za kigoma na hao form 5 ndy walioleta matatizo yote hayo

Mleta mada hii habari haijabalance,mkuu wa shule angeongea ndy tungejua ukweli kwmb pengine wazazi na watoto wao ndy wanaleta mambo ya udini kwenye shule isiyo ya kiislamu
 
Nchi inaongozwa na sheria sio mihenko ya kuogopa kuchafuliwa
Mihemuko ipi kulaziy shule ya Kikristo ichukue waislamu na ifundishe Dini ya kiislamu na kiarabu kwa lazima na irihusu waswali swala Tano? Si waende shule za kiislamu mbona ziko kibao Zanzibar huo ni upnezi wa minority wakristo walioko Zanzibar Wa waziwazi kabisa

Hizo ni chokochoko za kidini waaambieni wazazi wanaotaka watoto wao wasome kiislamu na kiarabu na wapige swala Tano waende shule zao za kiislamu.Hawalazimishwi kupeleka hapo
 
Takbiiir
 
Tatizo tunashindwa kuelewa Zanzibar ni nchi na INA sheria zake japokuwa ipo katika muungano na Tanganyika, hivyo sheria zake muda mwingine zinawezakuwa tofauti na za Tanganyika kikubwa kutambua na kuheshim kwa maana nchi bila sheria ni jalala.
 
Tatizo tunashindwa kuelewa Zanzibar ni nchi na INA sheria zake japokuwa ipo katika muungano na Tanganyika, hivyo sheria zake muda mwingine zinawezakuwa tofauti na za Tanganyika kikubwa kutambua na kuheshim kwa maana nchi bila sheria ni jalala.
Hakuna mahali popote baraza la mitihani la taifa husema lazima mwanafunzi asome masomo ya kiislamu ,kiarabu au kifaransa au kihindi hayo huwa ya hiari ya shule


Sasa Kwa Nini Zanzibar walazimishe tena kwenye shule ya Private

Huyo mkorea kaanzisha shule Kwa ajili ya minority wakristo waislamu wanazo zao Kila Kona Kwa Nini waikomalie hiyo ? Ni unyanyasaji wa kidini .Shule inanyanyaswa sababu ya Kikristo
 
Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imejitambulisha haina dini, ila msingi wa serikali ya mapinduzi Zanzibar unaviashiria kuwa una dini nayo ni uislamu hivyo ni kukubaliana na hali ukiwa ktk ardhi yao. When you are in Rome do what Romans do!
 
Zanzibar ni nchi mkuu na kumbuka ina sheria zake tofauti na Tanganyika. Ndiyo maana hata msingi hadi mwaka huu walikuwa wanasoma miaka 6 badala ya 7.
 
Nchi ya Zanzibar haiendeshwi na baraza LA mitihani Tanzania, bali inasheria na taratibu zake kulingana na katiba ya Zanzibar mkuu.
 
Zanzibar ni nchi mkuu na kumbuka ina sheria zake tofauti na Tanganyika. Ndiyo maana hata msingi hadi mwaka huu walikuwa wanasoma miaka 6 badala ya 7.
Miaka sio issue hata Tanzania bara wako watoto kibao wakifika la sita mzazi anampeleka private form one bila shida

Kinachogomba hapo ni Serikali kulazimisha Christian school ibadilishwe kuwa Muslim school .Hapo ndipo tatizo lilipo kwenye huo mgogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…