Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.
Soon kunakucha.
Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .
Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.πππ..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.
Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.
Ushapita mitaa ya watu unarudi lindoni mkuuMvua ni kubwa sana wanaokaa sehem za mabondeni sijui wakoje mwenyezmungu awanusuru nimepita toangoma nyuma ya kituo cha mafuta oilcom sasa hv mitaa ya kule kama bwawa maji yamejaa sana sijui. Wakaz wake wakoje
Tokea saa 10 sijalala, radi kama zote
Bora mvua inyeshe tuchote maji ya mvua sababu Dawasco ni wiki ya 2 sasa wamegoma kufungua maji huku kwetu.
Mvua ni kubwa sana wanaokaa sehem za mabondeni sijui wakoje mwenyezmungu awanusuru nimepita toangoma nyuma ya kituo cha mafuta oilcom sasa hv mitaa ya kule kama bwawa maji yamejaa sana sijui. Wakaz wake wakoje
Msanii kwenye ubora wake!
mvua tushaizoea mkuu kawaida sana, hao watoto wako wanaoogopa hizi radi Mtoto za Dar? wapeleke Tabora, Kigoma, Rukwa huko wapambane na Baba zao Radi inachapa mpaka unadham ni Bomu la Nyuklia.
Mikoani Radi zinapiga za nguvu sana kupita huko mjini.Msanii kwenye ubora wake!
mvua tushaizoea mkuu kawaida sana, hao watoto wako wanaoogopa hizi radi Mtoto za Dar? wapeleke Tabora, Kigoma, Rukwa huko wapambane na Baba zao Radi inachapa mpaka unadham ni Bomu la Nyuklia.
bora jua sijui sema linachoma na lenyeweKati ya jua π na mvua π§, bora nini...!!!!
π π π π π πNachukia ngurumo za radi mimiπ‘ zinafanya nashindwa ku enjoy mvua
Watu wa dar acheni uoga [emoji1] [emoji1787]Msanii kwenye ubora wake!
mvua tushaizoea mkuu kawaida sana, hao watoto wako wanaoogopa hizi radi Mtoto za Dar? wapeleke Tabora, Kigoma, Rukwa huko wapambane na Baba zao Radi inachapa mpaka unadham ni Bomu la Nyuklia.