TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Tanesco wanakuambia mabwawa hayana maji 😄Aiseeeh, huku Tanesco wanakata umeme, kumbe Dawasco nao wamekata maji....
Basi, ni kuvumilia tuu.... hakuna marefu yasiyo na ncha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanesco wanakuambia mabwawa hayana maji 😄Aiseeeh, huku Tanesco wanakata umeme, kumbe Dawasco nao wamekata maji....
Basi, ni kuvumilia tuu.... hakuna marefu yasiyo na ncha.
heeee tv ilikua on auJiadharini pia hizo radi kuna nyumba zimeunguza Tv.
😅😅😅😅😅yaani washafungulia ule upepo tu ulivyoanzaKama naiona kariakoo wahindi wanavyofungulia chemba zao
Yes.. kuna mitaa Tanesco wanasahau kukata umeme pakiwa hata na mvua.heeee tv ilikua on au
Kuepusha Shari ni kutembea mbali na barabara.Kwakweli. Tutembee na mawe… mtu akirushq maji tu jiwe paaaah kwenye kioo
ewaaaaaKwakweli. Tutembee na mawe… mtu akirushq maji tu jiwe paaaah kwenye kioo
pole yaaooYes.. kuna mitaa Tanesco wanasahau kukata umeme pakiwa hata na mvua.
Sasa mvua imenyesha na radi zake, ikaenda na Tv ya watu.
Hapaendeki leo kkoo😅😅😅😅😅yaani washafungulia ule upepo tu ulivyoanza
Ndio ubaya wa Dar 😂Kama naiona kariakoo wahindi wanavyofungulia chemba zao
Huyo nae anaangalia TV usiku wote huo au hana kitanda??Yes.. kuna mitaa Tanesco wanasahau kukata umeme pakiwa hata na mvua.
Sasa mvua imenyesha na radi zake, ikaenda na Tv ya watu.
yaaan labda mtu uvae rain bootHapaendeki leo kkoo
😅😅😅😅😅Huyo nae anaangalia TV usiku wote huo au hana kitanda??
😂😂😂Anakurudia, anakusogezea bampa akuchubue miguu.
Usijaribu. Hii nchi ina wenda wazimu wengi
Na vile imeonyesha mfululizo tokea mwezi wa kumi na moja ardhi imeshinda maji vya kutosha, sasa hivi hamna tena utamu wa mvua ni kero , lakini inaheri kuliko juaMvua ikinyesha kwa muda wa dakika 20 hadi 40 halafu ikate ni sawa.
Kuna ile ya manyunyu inanyesha siku nzima.... ardhi inalowa hadi inakuwa tepetepe.
Kuna inayonyesha heavy masaa 3 au zaidi bila kukata, hiyo ni balaa.
Chochote kikizidi kipimo ni shida.