Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Njoo mwese huku Katavi ndio maji utaita mma.Nachukia ngurumo za radi mimi😡 zinafanya nashindwa ku enjoy mvua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo mwese huku Katavi ndio maji utaita mma.Nachukia ngurumo za radi mimi😡 zinafanya nashindwa ku enjoy mvua
Kwa hizi chochoro zetu huku buza kweli ukitembea mbali na barabara si unakuwa ndani kwa watuKuepusha Shari ni kutembea mbali na barabara.
"inakuwa mbichi unafanya kuikamua", wee mama mbona unanitia vishawishini.Yaani jua la Desemba lilijua kuniwakia aiseeh, nilikuwa na hekaheka za kariakoo, buguruni, ilala karibu kila wiki.
Unatiririka jasho zile leso kubwa unajifuta inajaa majasho inakuwa mbichi unafanya kuikamua.
Nilikuwa nikitoka nabeba leso 3, miwani ya jua na mwamvuli. Nikirudi nyumbani nafikia bafuni navaa kivesti gauni nakaa mezani kula matunda aiseeh navuja majasho utasema kuli wa bandari.
Sema sikuwa na kitoyoyozi na feni inaniumiza mafua, basi tabu tupu.
Kwenye jua unapigika na joto na majasho ila shughuli zinafanyika na zinaendelea kama kawaida.
Mvua sasa, hali ya hewa nzuri ila shughuli zinasimama, saa ingine hata kama una gari hutoki, barabara hazipitiki, foleni, yaani mateso bila chuki.
Bongo daresalamu.
Ndio tofauti ya dar na kigoma, mvua ya nusu saa dar ni tofauti na mvua ya saa tatu kigoma!Wakazi wa dar mnafirahisha, mvua kidogo mnafungua thread, huku kugoma radi zinapigwa mpaka miti inakauka lakini fresh na watu hawawezi wala nini? Lakini poleni maana kwa dar mvua kunyesha sio kawaida.
We mzanzibar, vaa hivyo hivyo kisha nenda kazini.Mvua ikinyesha kwa dakika 15 mfululizo umeme unazimwa.
Sijanyoosha nguo kwa pasi,
Kazi yanisuburi.
Hapo umesema ukweli.Ndio tofauti ya dar na kugoma, mvua ya nusu saa dar ni tofauti na mvua ya saa tatu kugoma!
[emoji1787][emoji1787]Umefika kwenye kazi gani mapema hv au unauza chai
Kama kuna miradi zaidi hapana kwa kweliNjoo mwese huku Katavi ndio maji utaita mma.
Leo weekend hata fulana inatoshaWe mzanzibar, vaa hivyo hivyo kisha nenda kazini.
Ni kweli ila wenye magani nao hawana namna maana barabara nyingi ni kwaajili ya magari! Ukiona gari lile inakimbilia mbali kama upo karibu na dimbwi la majiKwa hizi chochoro zetu huku buza kweli ukitembea mbali na barabara si unakuwa ndani kwa watu
Kweli nijitahidi sasa na mimi ninunue hata ka gari nipumzike kukimbia kimbia barabarani😂😂😂kukwepa magariNi kweli ila wenye magani nao hawana namna maana barabara nyingi ni kwaajili ya magari! Ukiona gari lile inakimbilia mbali kama upo karibu na dimbwi la maji
Yaani huku ni nusu jehanamu na nusu peponi, kama upo upande wa jehanamu ndio hivyo mvua shida jua shida.Ndio ubaya wa Dar 😂
Mkipigwa jua shida, mkipigwa mvua shida.
Nunua bwana japo haushindwi, ila unatuinjoi hapa wewe una gari🤣Kweli nijitahidi sasa na mimi ninunue hata ka gari nipumzike kukimbia kimbia barabarani😂😂😂kukwepa magari
Njoo jumuiya watu tumeshafika.Kwa mvua hii wale wakatoliki wenzangu jumuiya iahirishwe, mtasali jumamosi ijayo inshallah kwa ambaye tulikuwa tusalo leo
Gari mimi nitoe wapi. Ila kabla ya kununua gari nihame huku uchochoroni nikapange sehemu nzuri. Huku hata nikiwa na gari haifiki ninapokaa inabidi niipack petrol station kulee ndio nitembee kama dkk 10 niingie nyumbani😂Nunua bwana japo haushindwi, ila unatuinjoi hapa wewe una gari🤣
Uwe una vaa headphone hutazisikia sana.Kama kuna miradi zaidi hapana kwa kweli
Leo utasali wewe na mwenye nyumba tena sebuleni kwake.Njoo jumuiya watu tumeshafika.
Lakini Bashe anasema mashamba ya miwa yamejaa maji ndio maana hakuna sukari ya kutosha🐒Tanesco wanakuambia mabwawa hayana maji 😄
Sasa si ndio hata ukuta ukianguka sitasikiaUwe una vaa headphone hutazisikia sana.