Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Njoo jumuiya mkuuLeo utasali wewe na mwenye nyumba tena sebuleni kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo jumuiya mkuuLeo utasali wewe na mwenye nyumba tena sebuleni kwake.
Una jua kutusanifu! Wewe una gari na una kaa kwako🤣🤣Gari mimi nitoe wapi. Ila kabla ya kununua gari nihame huku uchochoroni nikapange sehemu nzuri. Huku hata nikiwa na gari haifiki ninapokaa inabidi niipack petrol station kulee ndio nitembee kama dkk 10 niingie nyumbani😂
Benk,polisi,manesi na Dr, wanajeshi vipi nao ni vibarua?ni kibaruani wamesema wa kazini hawaendagi jumamos eti
Njoo jumuiya mkuu
Huu utaratibu wa jumuiya ungebadilishwa bwana walao kusali jioni, wakati na toka kuna familia ilikua inaandaa mahali pa kusali vua ikaja ikabidi wahamie sebuleni kuandaa waumini waje wasali.Kwa mvua hii wale wakatoliki wenzangu jumuiya iahirishwe, mtasali jumamosi ijayo inshallah kwa ambaye tulikuwa tusalo leo
Imetoka huku ina kuja huko, jiandaeni!Mvua imezidi kuwa kubwa,
Zanzibar
Aisee [emoji846]Ushapita mitaa ya watu unarudi lindoni mkuu
Uje unitembelee my Friend hata kesho basi. Pengine unaweza guswa kwa chochote.Una jua kutusanifu! Wewe una gari na una kaa kwako🤣🤣
Ila kwako ni kwako tu hata kama gari unapack nusu km.
Duuh! Poleni aisee.Asee, ukuta umesha piga chini apa nilipo
Pole, ni kubwa sana hamna mwenye ujasiri wa kundelea kubaki kitandani na wingi wa huu mvuaAisee! Nilijua mi peke yangu ndo nimeshindwa kulala mana mbali na ngurumo na radi, upepo nao ulikuwa mkali sana.
Huku kwetu madongo kuinama mpaka sasa bado mvua inanyesha japo sio kubwa sana na ngurumo zinaendelea kama kawa.
Malizia kwa kusema na nje kama vile ni saa 11 bado😂😂Aisee! Nilijua mi peke yangu ndo nimeshindwa kulala mana mbali na ngurumo na radi, upepo nao ulikuwa mkali sana.
Huku kwetu madongo kuinama mpaka sasa bado mvua inanyesha japo sio kubwa sana na ngurumo zinaendelea kama kawa.
Bora Mvua......!!!!!Kati ya jua 🌞 na mvua 🌧, bora nini...!!!!
Mvua Dar kunyesha sio kawaida!Dar na mikoa mingine ya pwani ndio inapata mvua hata kiangazi,ndio maana huwezi kukuta Dar mtu kaanika mahindi kiangazi kama Dodoma ambapo mvua ikienda imeenda jumla,shida ya Dar ni joto kali,ndio maana huwa sipapendi...Wakazi wa dar mnafirahisha, mvua kidogo mnafungua thread, huku kugoma radi zinapigwa mpaka miti inakauka lakini fresh na watu hawawezi wala nini? Lakini poleni maana kwa dar mvua kunyesha sio kawaida.
Daah! Pole Mkuu.Zimenyesha mvua nyingi lakini hii ya leo imeongezwa kidogo, nashukuru nimeshafika kazini japo nimeloa sana
Nguzo zikidondoka kwenye maji ni maafa kwa watakaokanyaga hayo maji yanapitisha umeme.Jumamosi hii wanaoenda kazini wanalaani hatari, ila ambao hawaendi kazini ni kulala hadi njaa iume kisawasawa ndo waamke kupika.
Hongereni kwa hali ya hewa nzuri, pole kwa wanaoishi maeneo ya chini ya usawa wa bahari maana mafuriko hayatawaacha salama.
Huwa sielewi kwanini Tanesco hawapatani na mvua, ikinyesha tuu umeme usipokatika basi hilo eneo limebahatika.
Poleni kwa yote, ndo maisha.
Mimi ni muoga wa radi kuliko kitu chochote ilikua radi zikianza usingizi unakata mazima ntatoa macho mpaka ziishe. Sasa nikanunua ear plugs ambazo kukiwa na radi nazipachika masikioni zinakata sauti sisikii chochote! Balaa lake ni kwamba unalala usingizi kama mfu yaani husikii chochote hata nyumba ikiungua we lazima utafia humo 🙁Uwe una vaa headphone hutazisikia sana.