Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yaani. 😅😅 bado usiku kabisa eti.Malizia kwa kusema na nje kama vile ni saa 11 bado😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani. 😅😅 bado usiku kabisa eti.Malizia kwa kusema na nje kama vile ni saa 11 bado😂😂
Hata kama alizima na rimort radi ikishuka hiyo mitaa hata zile LNB zina kufa hapo hapo huwenda nyumba mbili tatu za hako la mtaa haziko salama kama vitu vilikua kwenye umeme kuzima sio inshu wachana na radi [emoji120][emoji120][emoji871][emoji846]heeee tv ilikua on au
Pole sana mkuu.Asee, ukuta umesha piga chini apa nilipo
Yawezekana lakini ila sina hakika sana kama unanijua ,mimi naishi dar japo nje kidogo.Uje unitembelee my Friend hata kesho basi. Pengine unaweza guswa kwa chochote.
Hivi Pendaelli unaishi wapi? Sijui kwanini huwa napata hisia kama nakujua nje ya hapa
Imepiga radi, kila mtu ndani ameamkaImetoka huku ina kuja huko, jiandaeni!
Eti unawalinda na radi🤣Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.
Soon kunakucha.
Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .
Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.😀😀😀..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.
Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.
Jamaa yako mwenye bipolar akiona hii anachukua screenshot. Happy new year bestGari mimi nitoe wapi. Ila kabla ya kununua gari nihame huku uchochoroni nikapange sehemu nzuri. Huku hata nikiwa na gari haifiki ninapokaa inabidi niipack petrol station kulee ndio nitembee kama dkk 10 niingie nyumbani[emoji23]
Kuna mahali nimeandika muda?? Au we unaishi Tanzania nzma? Kila penye mvua unajua? Na lazima inyeshe usiku?Huyo nae anaangalia TV usiku wote huo au hana kitanda??
Sawa nitakupa mwaliko PM😍Yawezekana lakini ila sina hakika sana kama unanijua ,mimi naishi dar japo nje kidogo.
Nipe mwaliko rasmi nije nishuhidie uwongo wako🤣
Kweli kabisa.Pole, ni kubwa sana hamna mwenye ujasiri wa kundelea kubaki kitandani na wingi wa huu mvua
❤️❤️❤️❤️Kuna mahali nimeandika muda?? Au we unaishi Tanzania nzma? Kila penye mvua unajua? Na lazima inyeshe usiku?
Hahahahaha nimecheka kama fwala ujue. Hizo sasa zitakuwa shida zake. Hiyo kazi utaimaliza wewe mwanasheria wangu mimi nilishamtia kwenye ignore list😂😂.Jamaa yako mwenye bipolar akiona hii anachukua screenshot. Happy new year best
Acha tu ndugu yangu ,nimetoka dakika kumi kabla haijaanza kunyesha imenikuta njiani mpaka nafika ninakoenda nimeloa mpaka aibu.Daah! Pole Mkuu.
Mi nilikuwa nawaza hivi wanaodamka leo kwenda job inakuwaje huko njiani huku nikawa najifikiria ingekuwa mie ndo natoka.
Wingu zito sana sisYaani. 😅😅 bado usiku kabisa eti.
😂😂 lol.Kweli nijitahidi sasa na mimi ninunue hata ka gari nipumzike kukimbia kimbia barabarani😂😂😂kukwepa magari
Nitaifanya kazi yangu boss.Hahahahaha nimecheka kama fwala ujue. Hizo sasa zitakuwa shida zake. Hiyo kazi utaimaliza wewe mwanasheria wangu mimi nilishamtia kwenye ignore list[emoji23][emoji23].
Usiku wa kuamkia leo ulikua na joto sana , leo asubuhi mvua na baridi, mchana joto, dar changamoto sana.Mvua Dar kunyesha sio kawaida!Dar na mikoa mingine ya pwani ndio inapata mvua hata kiangazi,ndio maana huwezi kukuta Dar mtu kaanika mahindi kiangazi kama Dodoma ambapo mvua ikienda imeenda jumla,shida ya Dar ni joto kali,ndio maana huwa sipapendi...
Daah! Pole sana.Acha tu ndugu yangu ,nimetoka dakika kumi kabla haijaanza kunyesha imenikuta njiani mpaka nafika ninakoenda nimeloa mpaka aibu.
Hii bado ipo leo.Wingu zito sana sis