Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Screenshot kwa screenshot, tit for tat au sio😂😂Nitaifanya kazi yangu boss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Screenshot kwa screenshot, tit for tat au sio😂😂Nitaifanya kazi yangu boss.
🤣 Asante sana🙏Sawa nitakupa mwaliko PM😍
Kasie matataa mwenyewe.Kati ya jua 🌞 na mvua 🌧, bora nini...!!!!
Evidence muhimuScreenshot kwa screenshot, tit for tat au sio[emoji23][emoji23]
Unamaanisha ?Kama naiona kariakoo wahindi wanavyofungulia chemba zao
EwaaaahhhEvidence muhimu
Tabora hiyo 😄Sijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio
Wapi huko?Jiadharini pia hizo radi kuna nyumba zimeunguza Tv.
Yani ndio nimeamka muda huu nikidhani ni alfajiri kumbe ni saa mbili kasoroWananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.
Soon kunakucha.
Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .
Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.[emoji3][emoji3][emoji3]..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.
Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.
Umezizuia hizo ngurumo za radi au unafanyaje?Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi
Maji shida sana.Tokea saa 10 sijalala, radi kama zote
Bora mvua inyeshe tuchote maji ya mvua sababu Dawasco ni wiki ya 2 sasa wamegoma kufungua maji huku kwetu.
Aisee mimi pia ni mhanga wa hili jambo zamani kidogo niliwahi shuhudia rafiki yetu akifariki kwa radi... tangu hapo mimi na radi hatuendani kabisaMimi ni muoga wa radi kuliko kitu chochote ilikua radi zikianza usingizi unakata mazima ntatoa macho mpaka ziishe. Sasa nikanunua ear plugs ambazo kukiwa na radi nazipachika masikioni zinakata sauti sisikii chochote! Balaa lake ni kwamba unalala usingizi kama mfu yaani husikii chochote hata nyumba ikiungua we lazima utafia humo 🙁
Hivi hivi utashangaa saa sita kasoro!Yani ndio nimeamka muda huu nikidhani ni alfajiri kumbe ni saa mbili kasoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati nipo High school Bukoba Kagera kuna mwanafunzi wa shule ya msingi inaitwa Kabugalo alikuwa darasa la nne alikufa kwa kupigwa na radi.Mikoani Radi zinapiga za nguvu sana kupita huko mjini.
Naiogopa sana Radi maana kukuondoa ni dk.0 tu
Huko zinawasaidia EarthWire nadhani.
Huku vijijini ni chache sana
Halafu haina dalili za kukataHivi hivi utashangaa saa sita kasoro!
Radi za Rukwa, Tabora, Kigoma, mtwara,Kagera na Ruvuma ni balaa..Sijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio