Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana mkuu.Mvua imezidi kuwa kubwa,
Zanzibar
Enjoy tu. Radi kitu gani mbele ya hiyo kitu bhanaaNachukia ngurumo za radi mimi😡 zinafanya nashindwa ku enjoy mvua
Hee mbona sasa nitakufa kabla ya kununua hiyo gari yenyeweHapo itabidi sasa uanze kununua petrol station ndio lifuate gari.
Kufa ufi ni mchakato tu utakaochukua muda mrefu.Hee mbona sasa nitakufa kabla ya kununua hiyo gari yenyewe
Naomba mchango basiKufa ufi ni mchakato tu utakaochukua muda mrefu.
Hiyo hiyo unayoiwaza😂Mvua ipi,
😂 ntachangia huduma ya ulinzi kwenye petrol stesheni yako ukishanunua.Naomba mchango basi
Majuzi wamenitishia wanakuja kukata majibnadaiwa, wakati wamesoma mita, na sms iliyonifikia ni ya kuhakiki reading zao wanazotuma kabla ya bill halisi kunifikia. Niliumia sanaTokea saa 10 sijalala, radi kama zote
Bora mvua inyeshe tuchote maji ya mvua sababu Dawasco ni wiki ya 2 sasa wamegoma kufungua maji huku kwetu.
Mingurumo hiyo inakata stim halafu unakuta inapiga kila nikikaribia uhuru peakEnjoy tu. Radi kitu gani mbele ya hiyo kitu bhanaa
Maji hayatoki ila bill inatoka.Majuzi wamenitishia wanakuja kukata majibnadaiwa, wakati wamesoma mita, na sms iliyonifikia ni ya kuhakiki reading zao wanazotuma kabla ya bill halisi kunifikia. Niliumia sana
🙆 Dadeq ngoma ina riwaindi inaanza afresh! Eeeh!Mingurumo hiyo inakata stim halafu unakuta inapiga kila nikikaribia uhuru peak
Nichangie kodi nihame huku kwanza. Nataka sasa hivi nipange chumba kizuri cha elfu 40,000 na mimi niishi kama watu😂 ntachangia huduma ya ulinzi kwenye petrol stesheni yako ukishanunua.
Eeeh hadi nikaamua bora niache kwanza🙆 Dadeq ngoma ina riwaindi inaanza afresh! Eeeh!
Nahisi ni kitu kama phobia manake mimi sipendi kabisa makelele ya aina yoyote ileMkuu una uoga mpaka uoga wenyewe unaogopa kukusogelea😀