Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Kwa hiyo wanakunywa supu wakiwa juu ya mitumbwi?🤔Mvua kubwa inaypendekea muda huu imesababisha mafuriko kunako club ya yanga jangwani
Watatuambia wametembea na miamvuli na sehemu nyingine wameweka mahema.Supu imeingia maji
Dah!Kwa hiyo wanakunywa supu wakiwa juu ya mitumbwi?🤔
Nenda kanywe supu ,upunguze machungu mkuuMvua kubwa inaypendekea muda huu imesababisha mafuriko kunako club ya yanga jangwani
Hapa ndipo sehemu ambayo serikali inapaswa kutengeneza barabara za juu kwa haraka saana
Bora pasitengenezwe ili iwe sehemu ya utalii, kuvutia watalii kuja kuona barabara ambayo kila msimu wa mvua inafungwa na kufunguliwa.Hapa ndipo sehemu ambayo serikali inapaswa kutengeneza barabara za juu kwa haraka saana
Kwa hiyo ikijenga daraja kama la tazara yatapita tena?? Unajua daraja wana maanisha fly over ..?Bora pasitengenezwe ili iwe sehemu ya utalii, kuvutia watalii kuja kuona barabara ambayo kila msimu wa mvua inafungwa na kufunguliwa.
Itaonesha pia wataalam waliokuwa wanatengeneza hiyo barabara ya mwendokasi ambavyo walishindwa kufanya simulation ya 10years.
Nakuhakikishia, kwa mazingira ya hapo jangwani bila kuangaliwa chanzo cha mafuriko ni nini ili yathibitiwe kuanzia mwanzo tofauti na hapo maji yatapita juu ya daraja la juu hiyo.
Hao ng' ombe wametolewa kwenye mechi ipi? ulitaka Yanga ianze kufuga?SUPU YENYEWE YA KAFARA[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
haujiulizi kwanini mpaka afungwe simba ndo awanyweshe watu supu?.
Ushindi wa maagano haujawahi kumuacha mtu salama
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Picha basi mkuuMvua kubwa inaypendekea muda huu imesababisha mafuriko kunako club ya yanga jangwani