Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Khaaa yaan we na hili neno[emoji849][emoji849][emoji849]

' Gridlock this

' Gridlock that

[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
Na wwe itabidi nikupige Gridlock moja ya nguvu alafu nikuvute tena Dar![emoji3][emoji2957][emoji2]
 
Wwe unajadili au unailalamikia Serekali tu Kama vile ndiyo inamiliki Mvua!?
 
Kuanzia gingo la mboto hadi chanika na majohe yote hiyo usijiroge kununua kiwanja kipindi cha kiangazi.
 
Kuanzia gingo la mboto hadi chanika na majohe yote hiyo usijiroge kununua kiwanja kipindi cha kiangazi
Dar yote ni Kama Mwili wa Binaadamu! Asimia kubwa ni eneo la Maji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…