Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane

Wale Wadau wa mwendo kasi mtujuze hali ipo vipi ktk usafiri huo maana saa hii Mungu kafungulia tena koki mvua inamwagika kwa mwendo kasi 😂😂
 
Vibaya hivyo mtumishi... mie nikija kwa yule sista, jiandaeni kisaikolojia manake mahari yangu itakuwa Bible!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu hatutakubali kabisa wallah!
Usipende vya bure 1st born bwana.

Tena nitakuwepo kwenye kamati ya kubargain mahari[emoji23][emoji23][emoji23]
 




Mvua Kubwa inanyesha Dar tangu usiku wa manane.

Hii mvua itasaidia kupunguza vumbi kwa muda mrefu Jiji hili halikua na mvua.

Lakini pia Mvua hutuonyesha kwamba Mji wa Dar na miji mingine Mikubwa inatakiwa ipangwe hata kama Sio mji mzima lakini Maeneo yotr ya Miji hii Mikubwa Yanatakiwa kuwa Na water ways..Maji Mvua Yapite vizuri na maji taka yawe na Mifumo mizuri ya kuyabeba.

Inasikitisha sana kuona kila Open space katika Miji hii imevamiwa na kuuzwa au kujengwa .

Kila eneo la maji kupita Yamevamiwa Na kujazwa mavifusi na hatimae nyumba au biashara Kufunguliwa hapo Kuna kipindi alikuepo mtu pale Nemc akajaribu kuzuia nadhani alikwamba na hatimae alionja joto maana aligusa maslahi ya watu.


Mamlaka Za Maji zilinde vyanzo vyake..Nemc itumie sheria zake..Ardhi na Mipango miji nao watimize wajibu wao bila hivyo miaka nenda rudi shida hii haiishi.



Sawa yeye haishi hapo je wewe ukichaguliwa utakuja kuishi hapo? kumbe huyu naye ni short minded pastor
 
Madhara ya hizi mvua yatakuwa makubwa sana, kwa jiji lenye drainage system mbovu kuwa na mvua kubwa hivi ni hatari kwa wakazi wake. Ngoja tuone...
 
Hii mvua ni hatari sana huko Dar[emoji134]
Nimeona status ya mtu anaomboleza mwenzake alisombwa na mafuriko ya mvua akafa.
 
Back
Top Bottom