Mvua zinazonyesha haziingizi Maji kwenye Mabwawa ya Umeme, acheni kulaumu kuhusu Mgawo
Wanasiasa wanajua kucheza na akili za watu, wakati ameteuliwa kuna lugha ilitumika ya kumtaka ndani ya miezi sita asisikie mgao wa umeme.
Hii ilinfanya nicheke sana, maana wote wanajua kuwa miezi ya kuanzia January mpaka April tayari mvua zitakuwa zimenyesha sana nyanda za juu kusini.
Na kwa sababu hiyo alipewa unafuu wa kutofikiria vyanzo vingine vya umeme.
Na kwa sababu hiyo kaamua aeleze habari za nvua na si vinginevyo.
Swali, je! kama mvua itagoma kunyesha nyanda za juu ndio utakuwa mgao wa milele?
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La

Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .

TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Nimecheka hapo mabwawa yamepigwa bati ama kweli chadema ni sikio la kufa!
 
Ngoja nichaji simu kabisaaa
FB_IMG_16860859570679167.jpg
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La

Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .

TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Wewe ni mtu wa Vitendo na mahesabu, type maelezo ya Hali ya maji ilivyo kwenye hayo mabwawa
 
Back
Top Bottom