Dr Malima
Member
- Aug 18, 2022
- 19
- 19
Yaan, saiv wamekuja na maji hayaingi Kwenye mabwawa.Mbona walisema shida ni miundombinu sio maji!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan, saiv wamekuja na maji hayaingi Kwenye mabwawa.Mbona walisema shida ni miundombinu sio maji!!
hawajakosea bahati mbaya, ni mpango wa kupiga hela sehemuWaliokuja warekebishe basi
Si walisema tatizo si maji, ni miundombinu na ukarabati wa njia za umeme!Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La
Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.
Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Huwa unakuwa na hoja ila ushoga mwingi sana kwako, sijui unakupakatwa mama wewe?Usitaje mizimu utaleta mkosi
Nipo aiseeNipo we kibabu..
Watu wanaanzisha mada hata hawajui geography ya nchi.
Kupinga hakuhitaji akili
Duh kuzaliwa Tanzania ni changamoto sana.Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La
Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.
Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
🖕🖕Nipo aisee
Tuwasilize wasemee,. Yaan hapa Hadi tusemee!!!Mvua zimeshaanza kunyesha kote, nafuu ingeanza kupatikana.
Au haya maji ya mwanzo bado yana matope mengi.
Asa kwann?
Hahahaha [emoji23][emoji23] maji hayaingii kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme lakin yameharibu miundombinu ya kuzalisha umemeSasa yanaenda wapi hayo maji...?
Hapn mbona Raha, tengeneza umeme wako kama utakuwa na shida na haya mambo, Kuna hatua za kufuataDuh kuzaliwa Tanzania ni changamoto sana.
Mizimu nihiyo iliotoa taarifa za kushangaza.Usitaje mizimu utaleta mkosi
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La
Kidatu huku mvua inanyesha mfululizo none stop, karibia mwezi mmoja Sasa usiamini wahuni.Hoja yake inaeleweka, mvua inanyesha pwani, flow ya maji haikutani na hayo mabwawa as maji yote yanaelekea baharini, its a fact!