Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Sio anajiamini kupitiliza

Huo mkataba wa kifedhuli huko ukraine wangemuona mpumbavu na heshima yake ingepotea kabisa Jr ungekuwa ni wewe ungetia saint mkataba huo?
We uliambiwa kuna kitu cha bure duniani, na kama angekuwa hataki kusaini mkataba si angekataa before pale imeonyesha ni jinsi gani alivyo kiburi while anamtrgemea us kwa karibu asilimia 60 kwenye hii vita
 
TAIWAN nawaita tena.

Pataneni na ndugu yenu muwe kitu kimoja.

Xi akimuhakikishia tu Trump atarudi kuwekeza Marekani biashara ya microchips ambayo Trump anailalamikia Taiwan mpaka leo na wakaweka sawa mambo mengine kadhaa kati yao mtaenda na maji hamtakaa muamini.

Pataneni muishi kwa umoja.

Hamtopata ishara nyingine zaidi ya hii.
 
Kipanya44 anakwambia askari wa urusi waliokwisha chinjwa ni laki8 na uupuzi, halafu anamalizia na neno tutazidi kuwachinja. Source that Kiev independent 'the mouth piece of Ukrainian propaganda'
 
We uliambiwa kuna kitu cha bure duniani, na kama angekuwa hataki kusaini mkataba si angekataa before pale imeonyesha ni jinsi gani alivyo kiburi while anamtrgemea us kwa karibu asilimia 60 kwenye hii vita
Trump hakuonyesha busara toka first day hivyo zele kuonyesha kiburi ni haki yake ,hata hivyo Britain na eu watachukua task hio
We uliambiwa kuna kitu cha bure duniani, na kama angekuwa hataki kusaini mkataba si angekataa before pale imeonyesha ni jinsi gani alivyo kiburi while anamtrgemea us kwa karibu asilimia 60 kwenye hii vita
 
Tremp anataka madini mzee
Marekani hapigani bure hasha!
Mkono mtupu walambwaje?
Ubakaji upo wa aina nyingi.
 
Uko sahihi mkuu ni wakati wa Africa kujitathmini na pia kuangalia kwa ukaribu kitu kinachoitwa msaada japo naona tumelala wa pono.
Tatizo ni tamaa za baadhi ya viongozi, pindi wanapoona wananchi wao kama wanyama
Hata aje nani hakuna wa kuacha kuomba
Mtu anakuambia deni letu linahimilika tena anakenua meno kabisa
Ila ukimuuliza lini utajitawqla? Hana jibu
 
Huu ujasiri anaupata kwa kuwa anaijua agenda nzima.He knows what the West is all about.
 

Very soon, Zelensky will be in coffin…!!
 
Why
Naona nchi karibu zote za Ulaya zimemtia moyo Zelensky kuwa wako pamoja naye, psmoja na Australia, Canada.
Kasoro Hungary imemsifia Trump
There is sanity in Hungary.
 
A.I
 
Naona nchi karibu zote za Ulaya zimemtia moyo Zelensky kuwa wako pamoja naye, psmoja na Australia, Canada.
Kasoro Hungary imemsifia Trump
Ametua hapa Stansted kuja kufutwa machozi
Wote wana maslahi na sasa naona kuna nchi watasaini nae huenda
 
Hasa Ujerumani hata hiyu Kansela mpya naye yuko pamoja ma Zele.
Huku mambo yanawaka wazungu wanasema ifike mahali tuwe na mdomo wa kuongea
Sasa wote wanataka kuongeza budget zao za Ulinzi na kukata misaada ya nchi masikini
Ni mda sasa wa kuwatimua wasiotaka kusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…