Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mimi nimempenda jamaa sana, amewaonesha anachokisimamia...eti uwezi kushinda vita.
Zelesky ni mwanaume na nusu...ingekuwa viongozi wa nchi zetu hawa ingekuwa tayari wameshamwaga wino
Ukraine haiwezi kushinda hiyo vita.

Mpaka kufikia hapa tokea vita ianze, imebebwa sana na Marekani.

Marekani akiamua kuchomoa msaada, yaliyomkuta Assad yatamkuta Zelenskyy.
 
Mimi nimempenda jamaa sana, amewaonesha anachokisimamia...eti uwezi kushinda vita.
Zelesky ni mwanaume na nusu...ingekuwa viongozi wa nchi zetu hawa ingekuwa tayari wameshamwaga wino
Kama pamoja na misaada ya mabilion ya $ kutoka Marekani bado Urusi ilikuwa inateka maeneo vipi hujiulizi hiyo misaada ikikatwa?
 
Mimi nimempenda jamaa sana, amewaonesha anachokisimamia...eti uwezi kushinda vita.
Zelesky ni mwanaume na nusu...ingekuwa viongozi wa nchi zetu hawa ingekuwa tayari wameshamwaga wino
Ukweli ni kwamba hawezi kushinda vita kweli.

Hana silaha, silaha anazotumia zote zinatoka USA.

Hana satellite ya kijeshi sasa atatumia vipi hiyo misaada ya silaha anayopatiwa na Marekani mfano mizinga hizo coordination za kupiga eneo husika atatumia nini?

Makombora ya USA yanatumia mfumo wa GPS na alipatiwa msaada na satellite za Elon Musk.

Akinyimwa hivyo vyote hawezi kupigana nchi itaendelea kumegwa na Russia.

Sasa achague moja, akubali dili na USA ili sehemu ya nchi yake ibaki au nchi yake iendelee kumegwa na Russia?
 
Trump alimuaunderstamate jamaa wakihisi kijinga litapewa tu mkataba lisaini ovyo
Aisee bora kasimamia anachoamini ingekuwa kiongozi wa kiafrika ungekuta mkataba wa kipuuzi ushasainiwa zamani
Zele kaonyesha kuwa haijalisha una nguvu ndogo kiasi gani, haijalishi shida ulizokuwa nazo ni bora kuwa na msimamo.
Trump alifikiri angepata kitonga
 
Ukweli ni kwamba hawezi kushinda vita kweli.

Hana silaha, silaha anazotumia zote zinatoka USA.

Hana satellite ya kijeshi sasa atatumia vipi hiyo misaada ya silaha anayopatiwa na Marekani mfano mizinga hizo coordination za kupiga eneo husika atatumia nini?

Makombora ya USA yanatumia mfumo wa GPS na alipatiwa msaada na satellite za Elon Musk.

Akinyimwa hivyo vyote hawezi kupigana nchi itaendelea kumegwa na Russia.

Sasa achague moja, akubali dili na ISA ili sehemu ya nchi yake ibaki au nchi yake iendelee kumegwa na Russia?
Yaani dili hata kama la kipuuz akubali tu? kwa kuwa yupo kwenye shida?
 
Hatari aisee.

Malumbano makali yalizuka katika Oval Office siku ya Ijumaa kati ya Rais Donald Trump na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ambaye alitarajia kushawishi Marekani kuendelea kutoa msaada wa kiusalama katika ziara yake jijini Washington.

Wakiwa wamepandisha sauti, Trump na Zelensky — pamoja na Makamu wa Rais JD Vance — walihusika katika mvutano mkali kuhusu aina ya msaada wa Marekani na iwapo Zelensky alikuwa ameonyesha shukrani ya kutosha.


View: https://youtu.be/z2s2pogllis?si=pN-KMPHDGJ-XuXjs

Kama movies vile... If you want to destroy an enemy, become a friend of enemy... How? Vyovyote vile
 
Zelensky anapaswa kukumbuka Russia na Ukraine ni ndugu! US na EU countries zilitumika kuwagombanisha!
Sasa Zelensky ameishia kuuza madini ya thamani ambayo yangeijenga Ukraine kwa ajili ya kulipa madeni ya silaha alizopewa bure!
Huenda na EU wakaanza kuidai Ukraine.
 
Back
Top Bottom