Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkumbuke Zelensky ni myahudi ndo maana ni FIGHTERAisee bora kasimamia anachoamini ingekuwa kiongozi wa kiafrika ungekuta mkataba wa kipuuzi ushasainiwa zamani
Zele kaonyesha kuwa haijalisha una nguvu ndogo kiasi gani, haijalishi shida ulizokuwa nazo ni bora kuwa na msimamo.
Trump alifikiri angepata kitonga
Nasrallah alikuwaga na mkwara wake flani eti atahutubia taifa kupitia vyombo vya habari. Basi Kobaaz nyeusi kina Ritz yalikuwa yanashangalia balaa eti mtaona.Alifikiri ni Nasrallah
Dogo ushabiki unakufanya uwezo wako wa kufikiri uwe hafif.Haya! Marekani imesimamisha misaada ya kurejesha miundombinu ya umeme nchini Ukraine ambayo mara kwa mara imekuwa ikishambuliwa na Russia.
Kumbe hata miundombinu ya umeme anapokea msaada, nchi haina hela.
Hakuna suala la ushabiki!
Ujinga gani Zelensky alifanya wakati muanzilishi wa hii vita ni Putin? Acheni ushabiki maandazi.Hakuna suala la ushabiki!
Suala hapa ni kuwa ukifanya ujinga ni lazima uulipie na gharama yake kubwa haina kipimo!
Zelensky alifanya ujinga, ngoja aione gharama yake.
At least anajitahidi hata ikiashindikana amejaribu, na wazungu ndio michezo yao. Wanesubiri ashachakazwa na mental state yake might not be at its best ndio wanataka kumpa masharti ya kuingia makubaliano ya kijambazi.Zele kayatimba ila kapambana 😄 🤣
Yaani hata kwenye makubaliano hawakufikaAt least anajitahidi hata ikiashindikana amejaribu, na wazungu ndio michezo yao. Wanesubiri ashachakazwa na mental state yake might not be at its best ndio wanataka kumpa masharti ya kuingia makubaliano ya kijambazi.
Dogo alijipanga mkuu na kabla ya kuja alikutana na jamaa WA Eu wakamwonya mapema HUYO hana issueYaani hata kwenye makubaliano hawakufika
Zele sijui Sele hata manyama hakula kasepa
Aisee Trump kiboko
Kamuita makusudi wamrarue
Trump atapigwa 😄 🤣
Its sad jinsi wanavyoionyesha dunia kuwa wameshikilia hatma ya wananchi wa Ukraine. No free lunch huu msemo unatakiwa kutiliwa mkazo na kila mwenye akili timamuYaani hata kwenye makubaliano hawakufika
Zele sijui Sele hata manyama hakula kasepa
Aisee Trump kiboko
Kamuita makusudi wamrarue
Trump atapigwa 😄 🤣
Nimemuona Huruma Huyu mtu
Jamaa kawa Kama Jibwa fulani
kakosa Heshima wanamuona kama Jinga Fulani hivi
umasikini Mbaya sana
View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895536558452904031?t=p-D0Oe1zDp7MzwMdxDzu_w&s=19