Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Aisee bora kasimamia anachoamini ingekuwa kiongozi wa kiafrika ungekuta mkataba wa kipuuzi ushasainiwa zamani
Zele kaonyesha kuwa haijalisha una nguvu ndogo kiasi gani, haijalishi shida ulizokuwa nazo ni bora kuwa na msimamo.
Trump alifikiri angepata kitonga
Mkumbuke Zelensky ni myahudi ndo maana ni FIGHTER
 
Haya! Marekani imesimamisha misaada ya kurejesha miundombinu ya umeme nchini Ukraine ambayo mara kwa mara imekuwa ikishambuliwa na Russia.

Kumbe hata miundombinu ya umeme anapokea msaada, nchi haina hela.

Wajiandae kulala gizani na wajiandae nchi kumegwa zaidi.

Kesho tutarajie nini? Elon Musk kuzima satellite yake ambayo inamsaidia Ukraine kwenye radio za mawasiloano, satellite surveillance, drones na electronics warfare system?
 
Haya! Marekani imesimamisha misaada ya kurejesha miundombinu ya umeme nchini Ukraine ambayo mara kwa mara imekuwa ikishambuliwa na Russia.

Kumbe hata miundombinu ya umeme anapokea msaada, nchi haina hela.
Dogo ushabiki unakufanya uwezo wako wa kufikiri uwe hafif.

Nyau de adriz
 
Trump taperi... hata Kwa Israel kasaidia kisha anataitaka Gaza iwe yake.. hahahaha... Kwa Taleban anataka silaha zake waliobahatika kina Biden so kuna anachotaka Afghanstan
 
Hakuna suala la ushabiki!

Suala hapa ni kuwa ukifanya ujinga ni lazima uulipie na gharama yake kubwa haina kipimo!

Zelensky alifanya ujinga, ngoja aione gharama yake.
Ujinga gani Zelensky alifanya wakati muanzilishi wa hii vita ni Putin? Acheni ushabiki maandazi.
 
Issue Imekaa hivi

Jamaa kabla ya kuja alushaongea na Putin

Alivyofika akambiwa Marekani tunashida na haya madini wakataka kumpelekea chumba cha upasuaji kusainiakagoma

Akaulizwa UNATAKA nn ili usaini

Akaja na mikataba yake
Marekani iwahahakikishie ulinzi Ukraine
2 .iendelee kutia misaada ya kjjeshi kwa Ukraine

Trump akaja na JIBU Moja hayoo yote haya a shida kama utakubali kupisha na kuitisha uchaguzi

Dogo akasema usintanie .....majibishano yakaanza dogo NDIE aliomba aende akatafakati mikataba yao atarudi

Na trump akaridhia akachapa lapas

Vise president akaanza kymtukana kumdhihaki dogo AKiAMINI ana ndege Iko Nje inamsubiri ujinga akutaka
 
Na wasiwasi akikaribia on arrival atamtumia msg ahsnate sana Mr trump kama unayahitaji haya madini njoo tusainishane Ukraine huko Tena basi
Alldbest
 
😄😄😄 yaani unaweza fikiri kama hichi kikao si cha marais ,ila kiukweli zelensky ni comedian lakini hata Trump naye kuna kitu hakipo sawa kuwa kiongozi wa taifa kubwa kama Marekani maana anachokifanya Trump ni kuonesha mataifa mengine kutoiamini Marekani katika jambo lolote.
 
At least anajitahidi hata ikiashindikana amejaribu, na wazungu ndio michezo yao. Wanesubiri ashachakazwa na mental state yake might not be at its best ndio wanataka kumpa masharti ya kuingia makubaliano ya kijambazi.
Yaani hata kwenye makubaliano hawakufika
Zele sijui Sele hata manyama hakula kasepa
Aisee Trump kiboko
Kamuita makusudi wamrarue
Trump atapigwa 😄 🤣
 
Maisha hayaaa

Tshesekedi kapeleka maombi Jana mara ya nnea kwa Marekani wawape migodi ya dhahaabu wawasaidie ulinzi na kujenga ukuta jamaa WAMEKAA kimyaa

Leo wameishia kumkumbushia wanataka watu wao waliopigwa na risasi kwanza....



Nasema hivi M23 nyuma kuna wengi sana na hili SWALA kwangu topic closed sitongelea Tena Hawa M23 loh
 
Yaani hata kwenye makubaliano hawakufika
Zele sijui Sele hata manyama hakula kasepa
Aisee Trump kiboko
Kamuita makusudi wamrarue
Trump atapigwa 😄 🤣
Dogo alijipanga mkuu na kabla ya kuja alikutana na jamaa WA Eu wakamwonya mapema HUYO hana issue

Kifupi mkuu HATA eu NATO nao Wana MASLAHI makubwa pale Ukraine usione wajinga Wana control VYUMBA vya jeshi ykahisi wanalinda dada zaooo

KUNA mizigo inatoka kila siku KWENDA kwao huko

Haikuwa rahisi kumuumiza kichwa zelesnky kiujumla trump ndio kaaibika

Makaratasi kapeleka toilet hakasafishsie chooo na nahisis trump kukasirika vile alijibiwa hio mikataba peleka choon wakatawazie akapanic

HATA rate anayorudia aendi Ukraine mojakwamoja.......
 
Yaani hata kwenye makubaliano hawakufika
Zele sijui Sele hata manyama hakula kasepa
Aisee Trump kiboko
Kamuita makusudi wamrarue
Trump atapigwa 😄 🤣
Its sad jinsi wanavyoionyesha dunia kuwa wameshikilia hatma ya wananchi wa Ukraine. No free lunch huu msemo unatakiwa kutiliwa mkazo na kila mwenye akili timamu
 
Zele yuko sawa iweje anyanganywe ardhi hapo asirudi nyuma kama wanapewa madini ardhi yake irudi vinginevyo aendelee kukiwasha au itawaliwe na us na Mrusi kinguvu. Warusi nao washenzi tu ila wanaunafuu kuliko mayahudi
 
Nimemuona Huruma Huyu mtu
Jamaa kawa Kama Jibwa fulani
kakosa Heshima wanamuona kama Jinga Fulani hivi
umasikini Mbaya sana

View: https://x.com/BRICSinfo/status/1895536558452904031?t=p-D0Oe1zDp7MzwMdxDzu_w&s=19

Hapa issue sio umasikini,issue jamaa ni Mjinga Fulani hivi.
Misaada imempa kiburi akajiona star.
Hivi huyu anadhni ni yeye ndio alikua anapigana na Urusi?
Urusi ilikua inapigana na NATO indirect na NATO ni USA .
Hana uwezo anabishana na mfadhiri.
Angekua na akili angekubali yaishe.
Ukraine peke yake haiwezi kuishinda Urusi ajue hilo.
 
Back
Top Bottom