Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejisikia vibaya sanaZele kayatimba ila kapambana 😄 🤣
Yuko kama mbwa jikeIla Vance mchonganishi sana
Ujinga wao ukraine walikubaluana ukraine kamwe isijiunge nato...kierehere Chao kwa ujeuri wa misaada kamdindia kaka mkubwa....kikwapi sasa...kaka kamega kiwanja na kisago juuTrump na Vance wamemdhalilisha sana mpaka balozi wa Ukraine nchini Marekani anaona aibu yeye
View attachment 3253783
...kiburi si maungwana.....kiko wapi sasa....mikoa 5 imeondoka....deal la madini "graphite ,Lithium ,Titanium" anaingia na Marekani atake asitake....mwisho kabisa mshindi ni Putin na Trump....Ujinga wao ukraine walikubaluana ukraine kamwe isijiunge nato...kierehere Chao kwa ujeuri wa misaada kamdindia kaka mkubwa....kikwapi sasa...kaka kamega kiwanja na kisago juu
Katika vita haina mshindi.Ujinga wao ukraine walikubaluana ukraine kamwe isijiunge nato...kierehere Chao kwa ujeuri wa misaada kamdindia kaka mkubwa....kikwapi sasa...kaka kamega kiwanja na kisago juu
Kwa hiyo Zelensky ana akili kuliko huyu kahaba wetu kwenye mitaa ya tanganyika 😁😁😁😁😁Trump alimuaunderstamate jamaa wakihisi kijinga litapewa tu mkataba lisaini ovyo
Upo uwezekano Zelensky kaagizwa na nchi za EU kukataa matakwa ya Trump...nina uhakika kwa asilimia 100% kuwa EU NDIYO WAMEMPA MWONGOZO ZELENSKY WA KUFANYA HIVYO.Aisee bora kasimamia anachoamini ingekuwa kiongozi wa kiafrika ungekuta mkataba wa kipuuzi ushasainiwa zamani
Zele kaonyesha kuwa haijalisha una nguvu ndogo kiasi gani, haijalishi shida ulizokuwa nazo ni bora kuwa na msimamo.
Trump alifikiri angepata kitonga
Nasoma mkuuHahahaha aka ka msemo najua ulipokaiba.kumbe na wewe unasomaga comments
Zelensky yupo sahihi kabisa kuhusiana na msimamo wake kwa maslahi mapana ya nchi yake na Watu wake.Kajitutumua, si kazi rahisi kuitetea nchi yako.
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.Upo uwezekano Zelensky kaagizwa na nchi za EU kukataa matakwa ya Trump...nina uhakika kwa asilimia 100% kuwa EU NDIYO WAMEMPA MWONGOZO ZELENSKY WA KUFANYA HIVYO.
HahahaUzi saa hizi ama upo marekani
Ona hapa alivyosimangwa na kuwekwa mtu kati huko White house. Kwa mtindo huu kila nchi itataka kujidhatiti kivita. Pengine tutashuhidia hata wamiliki wa silaha za nyuklia wakiongezeka.
View: https://youtu.be/Ch0q31cfEIQ?si=osbqYAW03TSSMj40
Kazingua sana. Utafikiri wako kwenye mdahalo wa kampeni.Trump hana adabu hata kidogo, haya mazungumzo siyo ya WATU wenye hadhi ya Urais, bali ni watu hasa Wanawake wanaosutana huko mitaa ya uswahilini kama vile Tandale kwa Mtogole!
Trump ameinajisi Ikulu ya Marekani