Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ona hapa alivyosimangwa na kuwekwa mtu kati huko White house. Kwa mtindo huu kila nchi itataka kujidhatiti kivita. Pengine tutashuhidia hata wamiliki wa silaha za nyuklia wakiongezeka.
View: https://youtu.be/Ch0q31cfEIQ?si=osbqYAW03TSSMj40
Afrika ijifunge kibwebwe,tuendelee kujipanga kuiba chaguzi kwani hiyo itatuokoa,tuendelee kupiga uvivu kwani hiyo itatuokoa,tuendelee kutojituma kufanya matumizi sahihi ya rasilimali zetu kwani kwetu huo ndio ujanja,hadi tutakapo kiona kilicho mnyoa kanga manyoya.