Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mimi siyo mtaalamu wa diplomasia.Ila hata kwa kutumia D mbili,naelewa kwamba Trump na makamu wake walikosea,walivunja mila ya kidiplomasia.

Trump na makamu wake walikuwa wanadhani wanaongea na mkuu wa wilaya waliyemteua wao mpaka Zelensky alikuwa anasikika akiwakumbusha kwamba Zelensky is a president.
Hayo ni matunda ya kuwa rais wa kupandikizwa na vibaraka ...hivyo Zelensky ni kibaraka wa NATO na ukiwa kibaraka siku zote mambo yakienda kombo unageuzwa mbuzi wa kafara.
 
Kwa alichomfanyia Trump akubaliane na Putin aichukue nchi yeye aachie ngazi.
Hapa ndipo linapokuja swali muhimu: Kwa nini ulipigana wakati hauna nguvu ya kupigana?

Ameshaiharibu nchi kwa sasa!

Na ndiyo maana watu wanamuona ni mjinga, hawamheshimu.
 
ofcourse jana imepasua vichwa vya habari ulimwengun.
nachokiona walijipanga kumnanga zelensky ndio man vance akaanza kumrushia madongo trump kakaa kimya anajifanya hajui.badae akaingilia akaanza kumsema. na shida ya zelenzky diplomaticaly angekua ana uelewa angekaa kimya ila akajifanya kama yupo kwenye debate anamkatisha host wake tena president that was diplomatic blunder ever.ange calm down wale wasingepata pa kumsema ila kwa vile wanamjua short temper na jamaa kasha tweet tweet sana vi bull shit ana confidence Uk watampa hela ndio akaamua asiwe mnyonge. ila alikosea sana.na pia hakupaswa ku argue na english ambayo hana mastering nayo
ye angeyakoroga kiukraine huenda angejitetea au kama angejua anakwenda kuongea ngeli angepata kamnyweso
UK gani impatie hela? UK hii ambayo inapigania uchumi wake?

UK hii ambayo Trump juzi kamuuliza Prime minister wa UK hadharani kama wanaweza wakapigana na Russia peke yao hali ya kuwa hawawezi?

Basi Zele kweli ni comedian aliyekubuhu!
 
Mabishano Makali Katika Oval Office: Zelensky Aingia Katika Mvutano Mkubwa na Viongozi wa Marekani

Rais DonaldTrump na Rais wa Ukraine #VolodymyrZelensky walikuwa na mivutano mikali wakati walipokutana katika Ikulu ya White House.

Trump na Makamu wake Rais JDVance walionyesha wazi kuwa waliona kwamba Zelensky anapaswa kuwa na shukrani zaidi kwa msaada wa kijeshi na msaada mwingine kutoka Marekani, wakidai kwamba Ukraine "haina kadi" na wanachezea "vita vya tatu vya dunia."

Mivutano hii imekuwa ikiongezeka tangu wiki iliyopita wakati Zelensky alisema kuwa Trump anishi katika "eneo la upotoshaji" lililoumbwa na Urusi, huku Trump akimuita Zelensky "dikteta."
===================

Volodymyr Zelensky arrived at the White House this morning to sign a Mineral Deal with the United States and a VERY LOUD and VERY HEATED argument broke out, inside the Oval Office.

The arguing is so fierce, it can be heard well down the hallways outside the Oval Office!
Numerous sources are reporting that Zelensky started tangling with Vice President JD Vance, asking HIM to come to Ukraine and Vance allegedly replied "I won't take part in another one of your Propaganda Tours."

Zelensky then said a series of things and President Trump was heard telling Zelensky "You don't have the cards, but you're Gambling with World War 3."

This is clearly descending into something Zelensky never expected - or never thought possible - and things are getting very VERY heated right now.
Binafsi nimependa sana Trump alivyombagaza Zelensky. Unajua vita vya Ukraine na Russia ni kama kushabikia ushoga, yaani kila anayesapoti ushoga akijitokeza kuutetea ushoga anaonekana anaakili, kastaarabika na mwenye hekima na ndiyo standard ya dunia. Ila kuna watu hawapendi kabisa ushoga ila wapo kimya tu na hawasemi. Sasa kwa Trump imekuwa tofauti. Ukiangalia ukweli kabisa vita ile ni ya kijinga na aliyesababisha ni huyu mkata mauno Zelensky, yeye anashawishiwa na Ulaya na jinga Biden anaingia vitani kijinga kijinga. Mi nadhani kuna la kujifunza, vita siyo suluhisho
 
Kapambania nini mkuu.

Kapambania nini mkuu, mauaji ya askari wa Ukraine one million plus and a few thousand Russia soldiers not forgetting 20 million + displaced Ukrainians bila faida yoyote kwa Ukraine?This stupid boy deserves scorning and shunning.To me Trump is doing the right thing.Viva Trump.
Hivi vita vimemfanya Putin kuwa na nguvu zaidi
 
Umaskini mbaya sana!
Pamoja na kuitwa COMEDIAN bado ameenda ikulu ya Marekani kufanya mjadala na Trump.
 
Binafsi nimependa sana Trump alivyombagaza Zelensky. Unajua vita vya Ukraine na Russia ni kama kushabikia ushoga, yaani kila anayesapoti ushoga akijitokeza kuutetea ushoga anaonekana anaakili, kastaarabika na mwenye hekima na ndiyo standard ya dunia. Ila kuna watu hawapendi kabisa ushoga ila wapo kimya tu na hawasemi. Sasa kwa Trump imekuwa tofauti. Ukiangalia ukweli kabisa vita ile ni ya kijinga na aliyesababisha ni huyu mkata mauno Zelensky, yeye anashawishiwa na Ulaya na jinga Biden anaingia vitani kijinga kijinga. Mi nadhani kuna la kujifunza, vita siyo suluhisho
Huu ni mtazamo wako. Mfano wako wa ushoga ni irrelevant.
Hivi aliyevuka mipaka na kumshambulia nwenzie ni nani?
 
Marekani ni kama mke/mwanamke, ni lazima siku moja atakusuprise tu ni suala la muda..,ni bora ujiwekeze/ujitegemee mwenyewe kuliko kuwekeza kwa mke/mwanamke!!
 
Upo uwezekano Zelensky kaagizwa na nchi za EU kukataa matakwa ya Trump...nina uhakika kwa asilimia 100% kuwa EU NDIYO WAMEMPA MWONGOZO ZELENSKY WA KUFANYA HIVYO.
UFARANSA
 
Kapambania nini mkuu.

Kapambania nini mkuu, mauaji ya askari wa Ukraine one million plus and a few thousand Russia soldiers not forgetting 20 million + displaced Ukrainians bila faida yoyote kwa Ukraine?This stupid boy deserves scorning and shunning.To me Trump is doing the right thing.Viva Trump.
Zelensky anatakiwa kufanyaje? Kuikabidhi nchi kwa Urusi?
 
HUNA FACTS WEWE HUYO MUMEO RUSSIA KAMA ANGEKUWA THE WAY YOU THINK LEO ANGEICHUKUA UKRAINE YOTE LAKINI TAFITA FACTS WARUSI WENGI MNO WAMELAMBA VIMBI MPAKA KAOMBA MSAADA WA 10000 NORTH KOREAN ARMY
Kwani Urusi anapigana na Ukraine peke yake?
 
Trump anaye huyo Doto Magari wake VANCE
VANCE : Ujue wewe unabidi umshukuru sana Boss wangu Trump
ZELE: Oya mbona unapayuka we jamaaa
TRUMP : Hapayuki we unajisahau sana haujui kama sisi ndo tumeshika mpini eeh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Vance ndie aliyeanzisha hio vurugu ase.

Kajimwambafy na Zelensiki na alipo mdindishia, ikabidi Trump aingilie.

Ukitizama Video yote, utagundua Vance ndie aliyeharibu na baadae na rightwing media

Vilevile, utagundua rightwing ndio wanaochochea mambo trivia sana. Kwani kuvaa suti ndio nn.😅🤷‍♂️Mbona hawakumchamba wakati akihutubia Congress?

Sio hiyo tu, lugha pia ziligongana.
 
Mabishano Makali Katika Oval Office: Zelensky Aingia Katika Mvutano Mkubwa na Viongozi wa Marekani

Rais DonaldTrump na Rais wa Ukraine #VolodymyrZelensky walikuwa na mivutano mikali wakati walipokutana katika Ikulu ya White House.

Trump na Makamu wake Rais JDVance walionyesha wazi kuwa waliona kwamba Zelensky anapaswa kuwa na shukrani zaidi kwa msaada wa kijeshi na msaada mwingine kutoka Marekani, wakidai kwamba Ukraine "haina kadi" na wanachezea "vita vya tatu vya dunia."

Mivutano hii imekuwa ikiongezeka tangu wiki iliyopita wakati Zelensky alisema kuwa Trump anishi katika "eneo la upotoshaji" lililoumbwa na Urusi, huku Trump akimuita Zelensky "dikteta."
===================

Volodymyr Zelensky arrived at the White House this morning to sign a Mineral Deal with the United States and a VERY LOUD and VERY HEATED argument broke out, inside the Oval Office.

The arguing is so fierce, it can be heard well down the hallways outside the Oval Office!
Numerous sources are reporting that Zelensky started tangling with Vice President JD Vance, asking HIM to come to Ukraine and Vance allegedly replied "I won't take part in another one of your Propaganda Tours."

Zelensky then said a series of things and President Trump was heard telling Zelensky "You don't have the cards, but you're Gambling with World War 3."

This is clearly descending into something Zelensky never expected - or never thought possible - and things are getting very VERY heated right now.
Trump na Zelenskyy ni paka na panya
 
Kuna Msemo Unasema There is no free lunch. Zele hakuliona hili? Although he is too late yatayoenda kumpata ni worse zaidi ya haya Russia ataenda kuinyakua Ukraine ngoja US wasitishe misaada ya silaha kwa Ukraine ndio utamjua PUTIN vizuri. Muda Utaongea
 
Nawashauri Watanzania ambao hawajaitizama Video yote, mwanzo mpaka mwisho, waitizame.

Form your own opinion and perspective.

Hata hivyo Watanzania mtagundua tunalishwa matango pori na propaganda za mrengo wa kulia na wakuzaji wa himaya za Wazungu. White Supremacist.
 
Back
Top Bottom