Mkuki wa Sumu29
Member
- Aug 31, 2015
- 6
- 4
Wamarekani wanaon Trump anawafaa kuwa rais kwa mara ya pili ila ww msambaa wa bumbuli unaona Trump hafai kuwa Rais wa Us.😄😄😄 yaani unaweza fikiri kama hichi kikao si cha marais ,ila kiukweli zelensky ni comedian lakini hata Trump naye kuna kitu hakipo sawa kuwa kiongozi wa taifa kubwa kama Marekani maana anachokifanya Trump ni kuonesha mataifa mengine kutoiamini Marekani katika jambo lolote.