Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

Zelensiky kaonyesha umwamba sio uingie mikataba ya kipumbavu kama ya DP world ushangilie tu inatakiwa ujue manufaa ya nchi yako kwanza
 
Ukweli ni kwamba hawezi kushinda vita kweli.

Hana silaha, silaha anazotumia zote zinatoka USA.

Hana satellite ya kijeshi sasa atatumia vipi hiyo misaada ya silaha anayopatiwa na Marekani mfano mizinga hizo coordination za kupiga eneo husika atatumia nini?

Makombora ya USA yanatumia mfumo wa GPS na alipatiwa msaada na satellite za Elon Musk.

Akinyimwa hivyo vyote hawezi kupigana nchi itaendelea kumegwa na Russia.

Sasa achague moja, akubali dili na USA ili sehemu ya nchi yake ibaki au nchi yake iendelee kumegwa na Russia?
Mwaka wa 3 kishajua atapambaba vipi
 
Ukraine haiwezi kushinda hiyo vita.

Mpaka kufikia hapa tokea vita ianze, imebebwa sana na Marekani.

Marekani akiamua kuchomoa msaada, yaliyomkuta Assad yatamkuta Zelenskyy.
Kwani Assad alikuwa anapewa msaada na marekani?
 
Kituo kinachofuata ni Taiwani lakin waarabu has saudia wakae mkao wa kula huko mbele watakuja kuchinjiwa baharini
 
Trump alimuaunderstamate jamaa wakihisi kijinga litapewa tu mkataba lisaini ovyo
Zele ni shujaa na hawakutegemea msimamo imara kama ule, tena ndani ya White house. Trump na Vance wameaibika sana kukosa mkataba wa ajabu ajabu wa madini.
 
Mwaka wa 3 kishajua atapambaba vipi
Miaka 3 yote hiyo kapambana kwa misaada.

Ndiyo maana Trump kamwambia wakiondoa misaada ya pesa na silaha ndani ya wiki 2 tu Ukraine yote inaanguka mikononi mwa Russia.

Vuta picha msaada mkubwa aliyopatiwa na Marekani na bado nchi yake imemegwa zaidi ya 20%. Akikatiwa kabisa nchi yake itaishia wapi?

Kila mara nchi yake ikishambuliwa miundombinu ya umeme ama nishati nchini mwake ni USA tu ndiye anayetoa pesa zake ili Ukraine isikae gizani na wala si nchi majirani zake wa Ulaya.

Alichoonyesha ni umasikini jeuri ambao haumfikishi popote!
 
Maisha hayaaa

Tshesekedi kapeleka maombi Jana mara ya nnea kwa Marekani wawape migodi ya dhahaabu wawasaidie ulinzi na kujenga ukuta jamaa WAMEKAA kimyaa

Leo wameishia kumkumbushia wanataka watu wao waliopigwa na risasi kwanza....



Nasema hivi M23 nyuma kuna wengi sana na hili SWALA kwangu topic closed sitongelea Tena Hawa M23 loh
Mkuu kwa congo hawaitiki sababu wanachukua madini kupitia hao M23
 
Mabishano Makali Katika Oval Office: Zelensky Aingia Katika Mvutano Mkubwa na Viongozi wa Marekani

Rais DonaldTrump na Rais wa Ukraine #VolodymyrZelensky walikuwa na mivutano mikali wakati walipokutana katika Ikulu ya White House.

Trump na Makamu wake Rais JDVance walionyesha wazi kuwa waliona kwamba Zelensky anapaswa kuwa na shukrani zaidi kwa msaada wa kijeshi na msaada mwingine kutoka Marekani, wakidai kwamba Ukraine "haina kadi" na wanachezea "vita vya tatu vya dunia."

Mivutano hii imekuwa ikiongezeka tangu wiki iliyopita wakati Zelensky alisema kuwa Trump anishi katika "eneo la upotoshaji" lililoumbwa na Urusi, huku Trump akimuita Zelensky "dikteta."
===================

Volodymyr Zelensky arrived at the White House this morning to sign a Mineral Deal with the United States and a VERY LOUD and VERY HEATED argument broke out, inside the Oval Office.

The arguing is so fierce, it can be heard well down the hallways outside the Oval Office!
Numerous sources are reporting that Zelensky started tangling with Vice President JD Vance, asking HIM to come to Ukraine and Vance allegedly replied "I won't take part in another one of your Propaganda Tours."

Zelensky then said a series of things and President Trump was heard telling Zelensky "You don't have the cards, but you're Gambling with World War 3."

This is clearly descending into something Zelensky never expected - or never thought possible - and things are getting very VERY heated right now.
Yule raisi wa Ukraine ameingia 18 za wanaotaka mali za nchi yake nae amekubali,wakampatia silaha za mkopo,hela hana zakuwarejeshea sasa wanamlazimisha asaini ili iwe mbadala wa ulinzi,ulaya yote kl mtu anazitaka hizo mali.
Ulaya wanataka vita iendelee kwakua wanachukua mali kimya kimya,wanajua vita ikiisha wao watakua na hasara,Trump anataka kuwazidi wenzake kwakubeba mali kitu ambacho ulaya haipo tayari
 
Zelensiky kaonyesha umwamba sio uingie mikataba ya kipumbavu kama ya DP world ushangilie tu inatakiwa ujue manufaa ya nchi yako kwanza
Ndiyo apigane mwenyewe asiende kuomba omba Marekani amsaidie.
 
Big up Zelensky.. Ukrainian are proud of you... Simama imara Putin mwenyewe kachoka
Unajifurahisha mkuu.Yaani Ukrainians are proud of a man who has led to the slaughter of 1 million plus Ukrainian soldiers and flight of 20 million plus Ukrainians?That surely can't be.
 
Huyu mjinga angekubali tu uhalisia kuwa alitumika kama toilet paper na sasa ana mavi na hashikiki tena. Uzuri Trump hana mbambamba. Sign mkataba USA aje apigane nchini kwako kwa faida, yaan kuchimba na kuondoka na madini. Au ulete ujuaji tumwachie Mrusi amalize kazi yake, amani ipatikane.
Huyo bado ulaya inamsaidia Sasa madini hatawapa ulaya. Na USA atapunguza nguvu zake duniani maana mataifa mengi yataacha kumuangalia na kuanza kujidhatiti kivyao na hiyo itafanya USA kujiunga na china na russia north Korea na kutengeneza uharibifu wa dunia hii
 
Yule raisi wa Ukraine ameingia 18 za wanaotaka mali za nchi yake nae amekubali,wakampatia silaha za mkopo,hela hana zakuwarejeshea sasa wanamlazimisha asaini ili iwe mbadala wa ulinzi,ulaya yote kl mtu anazitaka hizo mali.
Ulaya wanataka vita iendelee kwakua wanachukua mali kimya kimya,wanajua vita ikiisha wao watakua na hasara,Trump anataka kuwazidi wenzake kwakubeba mali kitu ambacho ulaya haipo tayari
Uchambuzi wako ni sahihi mkuu.jamaa kabanwa mbavu kweli kweli.
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Akili za kipumbavu kabisa hizo.... Urusi hajawai kuwa na ajenda za kuteka nchi ukiona anateka nchi yoyote ujue kachokozwa sana ndiyo maana ajawai kuwa na makoloni hata africa au India na Asia bila ya sababu nchi zilizo kuwa na tabia hiyo ni nchi za ulaya wao wanavamia tu na kuua duniani kote kuvamia na kutwaaa makoloni ...kama urussi ingekuwa na hiyo ajenda isinge kubali kuiachia UJERUMANI kumbuka kuwa ugerumani ilikatwa mapande mawili moja la urussi na moja ya nchi washirika wa USA NA UINGEREZA ....
 
ofcourse jana imepasua vichwa vya habari ulimwengun.
nachokiona walijipanga kumnanga zelensky ndio man vance akaanza kumrushia madongo trump kakaa kimya anajifanya hajui.badae akaingilia akaanza kumsema. na shida ya zelenzky diplomaticaly angekua ana uelewa angekaa kimya ila akajifanya kama yupo kwenye debate anamkatisha host wake tena president that was diplomatic blunder ever.ange calm down wale wasingepata pa kumsema ila kwa vile wanamjua short temper na jamaa kasha tweet tweet sana vi bull shit ana confidence Uk watampa hela ndio akaamua asiwe mnyonge. ila alikosea sana.na pia hakupaswa ku argue na english ambayo hana mastering nayo
ye angeyakoroga kiukraine huenda angejitetea au kama angejua anakwenda kuongea ngeli angepata kamnyweso
 
Back
Top Bottom