Mvutano: Ni kwanini Mungu alimruhusu mwanaume kuweza kuwa na mke zaidi ya moja kwenye biblia lakini makanisa yamekataza?

Mvutano: Ni kwanini Mungu alimruhusu mwanaume kuweza kuwa na mke zaidi ya moja kwenye biblia lakini makanisa yamekataza?

Mathayo 19:4
Akawajibu: “Je, hamkusoma kwamba yule aliyewaumba tangu mwanzo aliwaumba mwanamume na mwanamke 5 na kusema: ‘Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’? 6 Basi wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Kwa hiyo, kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.

Mungu alimpa Adamu mke MMOJA.
Kuoa wake wengi ni tamaa na kukengeuka.
Kwa nini mashujaa wengi wa imani walikuwa na wake wengi? Mtu atakwenda motoni kisa alioa wake zaidi ya mmoja? 😳
 
Wewe ukiamua kuoa hata wake 100 ni wewe acha kutafuta vijimistari vinavyosapoti uasherati wako, bible imekataza mengi tu mbona bado mnayafanya.

Mungu hana muda na maamuzi yako,oa/olewa na idadi utakayo hakupangii mtu
 
We maskini tu na una kula kulala hapo kwa Dada yako ndio maana unawaza ngono kila saa. Toka kwa Dada yako ukapambane kama utakuwa na muda wa kuwaza ngono.
imebidi nicheke sana.
nicheki PM ujue location ninaishi wapi.
mimi mwanaume wa kimeru wa shoka napiga mashine napiga kazi.
piga pumbu dogo utaliwa wewe bure. maisha mafupi unakufa na kuishia.
 
Despite these nuances to the biblical perspective on polygamy, many important figures had more than one wife, such as Esau (Gen 26:34; 28:6-9), Jacob (Gen 29:15-28), Elkanah (1 Samuel 1:1-8), David (1 Samuel 25:39-44; 2 Samuel 3:2-5; 5:13-16), and Solomon (1 Kings 11:1-3).
Unaombwa sheria unaleta hadithi.
Nabii gani alioa Wake wengi zaidi ya Yakobo tena kwa kuingizwa mkenge na mjomba wake?
 
Tupe hiyo sheria ya kuoa Wake wengi Mkuu.

Mungu hajawahi kumpa Ruhusa Mwanaume kuoa wake wengi na hajawahi kumkataza.
Ni suala la Utashi tuu.

Nazungumzia Mungu wa kwenye biblia
Kutoka 21:10 BHN

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.
 
Kutoka 21:10 BHN

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.

Kifungu hicho hakijaamrisha bali kinazungumzia hiyari ya mtu.
Kuoa wake wengi haijakatazwa wala haijakubaliwa imeachwa kuwa uamuzi wa mtu binafsi.
 
imebidi nicheke sana.
nicheki PM ujue location ninaishi wapi.
mimi mwanaume wa kimeru wa shoka napiga mashine napiga kazi.
piga pumbu dogo utaliwa wewe bure. maisha mafupi unakufa na kuishia.
Hahaaaaaa, haya mkuu kuwa na siku njema mmeru japo Dada zenu sio wa kuoa. Nimeishi na kufanyakazi pale Nelson Mandela University nikawa naishi Tengeru Opposite na chuo cha ualimu Patandi. Nilikuwa mmoja wa Vijana wa pale Tengeru na tulipambana sana wakati wa Uchaguzi wa Nasari dhidi ya Sioi Sumari hiyo 2012. Nilikuwa na demu wa kimeru kama 4 hivi akina Jack, Beatrice, Binti mmoja wa Singisi na Mariam. Hawa walikuwa permanent acha wa kuokoteza pale Tengeru siku ya mnada. Nawajua sana.Dada zako. 😀😃😄😁
 
Hakuna sehemu yoyote ambayo Mungu alikataza hata manabii ama wafame waliomtumikia kuoa mke zaidi ya moja,
1Timotheo 3:2
Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;

1 Timotheo 3 :12
Mashemasi na wawe waume wa mke mmoja, wakiwasimamia watoto wao vizuri, na nyumba zao.
 
Ukiwa na wake wengi na watoto wengi kanisani utapeleka nini?
Chukulia Kila padre awe na mke na wastani wa watoto watano. Na padre huyohuyo analitegemea kanisa kuendesha maisha yake kama ada za watoto kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu plus maradhi ugonjwa nk. Je kanisa litapata nini?
 
Hahaaaaaa, haya mkuu kuwa na siku njema mmeru japo Dada zenu sio wa kuoa. Nimeishi na kufanyakazi pale Nelson Mandela University nikawa naishi Tengeru Opposite na chuo cha ualimu Patandi. Nilikuwa mmoja wa Vijana wa pale Tengeru na tulipambana sana wakati wa Uchaguzi wa Nasari dhidi ya Sioi Sumari hiyo 2012. Nilikuwa na demu wa kimeru kama 4 hivi akina Jack, Beatrice, Binti mmoja wa Singisi na Mariam. Hawa walikuwa permanent acha wa kuokoteza pale Tengeru siku ya mnada. Nawajua sana.Dada zako. 😀😃😄😁
haha mi mwenyewe dada zangu siwezi kuoa. jau sana pumbafu.
tuko pamoja mkuu.
 
Hata wafalme na manabii waliomtumikia Mungu walianza na mke moja ila wakaja kuongeza na Mungu wala hakuwakataza sehemu yoyote
Manabii na mitume walioa mke zaidi ya mmoja sasa ndugu zangu wakristo kwa kujitoa akili wanakuambia ilikuwa ni tamaa tu na wengine wanasema walitenda dhambi sasa unajiuliza kweli nabii atende dhambi halafu mungu amuache kweli? Wakristo wa leo wana akili kuliko Suleiman au Yakub😆😆😆
 
Back
Top Bottom