Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Hii je? Allah alintia qdhabu gani?Nabii akifanya jambo baya Mungu hamuachi hivihivi anamtia adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii je? Allah alintia qdhabu gani?Nabii akifanya jambo baya Mungu hamuachi hivihivi anamtia adabu
Hapo kuna neno kuwa ukimuacha mkeo au unajitungia tu, yaani umuache mkeo halafu umuoe mwingine kisha huyu wa mwanzo uendelee kumtunza ikiwemo haki yake ya ndoa, we ndoo fala kabisa huelewi.Acha mbwebwe dogo. Hapo anasema ikiwa umemuacha mkeo na ukaoa mwanamke mwingine, unatakiwa umuhudumie yule wa kwanza. Hajasema opening wake wengi. Acha kupotosha we maamuma.
Mwanamke awe na waume wangapi?Hakuna sehemu yoyote ambayo Mungu alikataza hata manabii ama wafame waliomtumikia kuoa mke zaidi ya moja, ukimya wake katika jambo hili ni sawa na sisi wazazi tunapoona mtoto anafanya mambo kwa usahihi tunakuwa hatuna haja ya kumwambia anakosea.
Ni kweli kwamba mwanaume akiondoka kwao yapendeza aende kuanza maisha na mke wake kupata uzoefu wa ndoa lakini baada ya hapo anaweza kuongeza mwengine ndio maana hata manabii waliomtumikia Mungu waliweza kuongeza.
Hata Yesu alizikuta hizo ndoa zikiendelea na hakuwahi kuzikemea wala kuchukizwa nazo, katika mafundisho yake alitumia mfano wa mabikra kumi (10) kuolewa na mwanaume moja
Kuhusu suala la Adam na Eva huo ulikuwa ni uumbaji tu wala sio ndoa, hata Tetea kwa upande wa kuku aliumbwa moja tu na hata kwenye safina ya Nuhu aliingia Tetea moja tu na jogoo moja lakini haikuwa na maana jogoo awe na tetea moja
Mwanaume na Mwanamke kuwa mwili moja sio mwanaume kuwa na mke moja bali ni miili ya kiroho panapo makutano ya mwanaume na mwanamke hata katika uzinzi, hata mwanaume akitembea na kahaba huo tayari ni mwili moja, yapendeza miili hiyo iwe ya wanandoa si ya kizinzi, hata Sisi binadamu tuko wengi lakini mahusiano ya kila mwanadamu na Mungu ni roho moja takarifu na ndivyo ilivyo hata kwa mwanaume akiwa na wake wengi kila mwanamke atakuwa na mwili moja... 1 Wakorintho 6: 16-17- Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja. 17 Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
Obviously kama hicho kifungu kipo means imeruhusiwa...Kifungu hicho hakijaamrisha bali kinazungumzia hiyari ya mtu.
Kuoa wake wengi haijakatazwa wala haijakubaliwa imeachwa kuwa uamuzi wa mtu binafsi.
Mkuu mshamba,Hii ilikua kwenye agano la kale, agano jipya naona ni mke mmoja tu
Lakini bado sijauona mstari aliotangaza kwamba muwe na mmoja tu, nimeutafuta wee nimeukosa kwa kweli
Nikaja kugundua hii issue ilianza ukristo ulipofika roma, na roma ilikua ni lazima uoe mke mmoja
Kanisa ni kampuni kama kampuni zingine mfano pepsi, tigo, Azam e.tc. hata wewe unaweza anzisha kanisa lako na tengeneza na ruhusu sheria zako.Hakuna sehemu yoyote ambayo Mungu alikataza hata manabii ama wafame waliomtumikia kuoa mke zaidi ya moja, ukimya wake katika jambo hili ni sawa na sisi wazazi tunapoona mtoto anafanya mambo kwa usahihi tunakuwa hatuna haja ya kumwambia anakosea.
Ni kweli kwamba mwanaume akiondoka kwao yapendeza aende kuanza maisha na mke wake kupata uzoefu wa ndoa lakini baada ya hapo anaweza kuongeza mwengine ndio maana hata manabii waliomtumikia Mungu waliweza kuongeza.
Hata Yesu alizikuta hizo ndoa zikiendelea na hakuwahi kuzikemea wala kuchukizwa nazo, katika mafundisho yake alitumia mfano wa mabikra kumi (10) kuolewa na mwanaume moja
Kuhusu suala la Adam na Eva huo ulikuwa ni uumbaji tu wala sio ndoa, hata Tetea kwa upande wa kuku aliumbwa moja tu na hata kwenye safina ya Nuhu aliingia Tetea moja tu na jogoo moja lakini haikuwa na maana jogoo awe na tetea moja
Mwanaume na Mwanamke kuwa mwili moja sio mwanaume kuwa na mke moja bali ni miili ya kiroho panapo makutano ya mwanaume na mwanamke hata katika uzinzi, hata mwanaume akitembea na kahaba huo tayari ni mwili moja, yapendeza miili hiyo iwe ya wanandoa si ya kizinzi, hata Sisi binadamu tuko wengi lakini mahusiano ya kila mwanadamu na Mungu ni roho moja takarifu na ndivyo ilivyo hata kwa mwanaume akiwa na wake wengi kila mwanamke atakuwa na mwili moja... 1 Wakorintho 6: 16-17- Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja. 17 Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
Hakuna sehemu kuna kiumbe kinaitwa Mungu kimekaa kinatupa maelekezo ya namna ya kuishi ,huo ni utashi wa watu kama tamaduni na desturi za jamii husika .
Desturi ya mke mmoja haipo kwenye biblia ila wakristo walifuata utamaduni wa kizungu ,walio waletea injili, baada ya kuona wake wengi ni mfumo dume .
Suleiman ana maajabu mengi sana, hakuta mfalme atakaye tokea kama yeye, Yan anakubakika pande zote mbili at the same timeHuu ndio uzoefu wako mfalme Sulemani maana wewe ulikuwa nao 1000. Uliwezaje wewe?
Hawapaswi kuwa na wake wengi ila sio kwamba wanapaswa kuwa na mke mmoja , ukiwa na wawili au watatu bado sio wengi.Kumbukumbu la Torati 17:15-17
15 mnapaswa kumweka mfalme ambaye Yehova Mungu wenu atamchagua.+Mnapaswa kumchagua mfalme kutoka miongoni mwa ndugu zenu. Hamruhusiwi kumweka mfalme ambaye ni mgeni, ambaye si ndugu yenu. 16 Hata hivyo, hapaswi kujipatia farasi wengi+ au kuwafanya watu warudi Misri kuchukua farasi wengi zaidi,+ kwa kuwa Yehova aliwaambia hivi: ‘Msirudi huko tena kamwe kupitia njia hii.’ 17 Wala hapaswi kuwa na wake wengi, ili moyo wake usipotoke;+
Kwenye biblia ipo.
in a way which is more logical and consistency the wholesome god, all loving he is not existed.
😂😂hili jibu sikutegemea litoke kwa mtu kama wewe.Hawapaswi kuwa na wake wengi ila sio kwamba wanapaswa kuwa na mke mmoja , ukiwa na wawili au watatu bado sio wengi.
Wengi wanaanzia wangapi?Hawapaswi kuwa na wake wengi ila sio kwamba wanapaswa kuwa na mke mmoja , ukiwa na wawili au watatu bado sio wengi.
Unasoma bibli ipi mwenzetu?Hakuna sehemu yoyote ambayo Mungu alikataza hata manabii ama wafame waliomtumikia kuoa mke zaidi ya moja, ukimya wake katika jambo hili ni sawa na sisi wazazi tunapoona mtoto anafanya mambo kwa usahihi tunakuwa hatuna haja ya kumwambia anakosea.
Ni kweli kwamba mwanaume akiondoka kwao yapendeza aende kuanza maisha na mke wake kupata uzoefu wa ndoa lakini baada ya hapo anaweza kuongeza mwengine ndio maana hata manabii waliomtumikia Mungu waliweza kuongeza.
Hata Yesu alizikuta hizo ndoa zikiendelea na hakuwahi kuzikemea wala kuchukizwa nazo, katika mafundisho yake alitumia mfano wa mabikra kumi (10) kuolewa na mwanaume moja
Kuhusu suala la Adam na Eva huo ulikuwa ni uumbaji tu wala sio ndoa, hata Tetea kwa upande wa kuku aliumbwa moja tu na hata kwenye safina ya Nuhu aliingia Tetea moja tu na jogoo moja lakini haikuwa na maana jogoo awe na tetea moja
Mwanaume na Mwanamke kuwa mwili moja sio mwanaume kuwa na mke moja bali ni miili ya kiroho panapo makutano ya mwanaume na mwanamke hata katika uzinzi, hata mwanaume akitembea na kahaba huo tayari ni mwili moja, yapendeza miili hiyo iwe ya wanandoa si ya kizinzi, hata Sisi binadamu tuko wengi lakini mahusiano ya kila mwanadamu na Mungu ni roho moja takarifu na ndivyo ilivyo hata kwa mwanaume akiwa na wake wengi kila mwanamke atakuwa na mwili moja... 1 Wakorintho 6: 16-17- Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja. 17 Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
🤣🤣🤣🤣Yaani nawe unajiona umeandika bonge la thread. Aibu hii, very low.
Wawili unaweza sema ni wengi ata katika hali ya kawaida tu?Wengi wanaanzia wangapi?