Mvutano wa kisheria, tuhuma ya msanii aliyechoma picha ya Rais

Arson ni kosa la kuchoma moto mali ya mtu mwingine kwa dhamira ya kuharibu.

Hiyo picha ni ya nani?

Picha ya kuchora isiyo na ithibati ikionesha sura ya kufanana na kitu fulani itakuwaje ushahidi ambao unataka ushahidi usio na shaka?
Precedent nyingi nilizosoma zilikuwa za mazao
 
Kuchoma picha ni kosa au siyo kosa!?
 
Hao polisi wasiojuwa wampe kesi ipi ni wajinga tu.

Kuchoma picha ya Rais hadharani ni treason.
 
Viongozi wetu ni vizuri zaidi kutumia hekima na busara kuliko mihemko.
Ofisi ya RC ina Mwanasheria ni vizuri kupata ushauri wa kitaalam kabla ya maamuzi, kama sivyo mtawaumiza wananchi bila hatia.
 
Acha dharau, siasa za kipumbavu za nyoko.
 
Kenya wangekuwa kama sisi ungekuta magereza yamejaa makosa ya aina hiyo.
Your browser is not able to display this video.
 
Sawa , mbumbumbu mwenzio aliyechoma picha ya mh rais keshahukumiwa miaka miwili jela au faini milioni tano. Nakushauri andamaneni au mumlipie faini asalimike na kifungo , la sivyo jela inamhusu.
Unaonyesha jinsi ulivyo mweupe kichwani! Jela kapelekwa siyo kwa sababu kavunja sheria bali kwa sababu chawa wametumia madaraka kinyume cha katiba na sheria za nchi.
 
Tena ungemalizia na neno fala kabisa
 
Kuna maneno ya kumkashifu rais. Hilo ni kosa kisheria l. Mbona kesi iko wazi sana.

Nadhani kuna haja ya kuchuja watu hapa JF
 
Hatoenda jela maana imeandikwa Shetani hajawahi kumshinda Mungu, na huyo hakimu wenu aliyepewa maelekezo amfunge asubiri laana kuu wiki hii
Hahahahahahahah laana ya CHADEMA huwa ni baraka. Ukilaaniwa na CHADEMA ina maana kazi yako ulifanya kiusahihi. Genge la wala michango haliwezi kumlaani mtu.
 
Hao polisi wasiojuwa wampe kesi ipi ni wajinga tu.

Kuchoma picha ya Rais hadharani ni treason.
Imeandikwa wapi hiyo? Lete kifungu cha sheria? Mbona ameshtakiwa kwa kusema uwongo na siyo treason yako?
 
Kila unachomiliki wewe haimaanishi hakina nidhamu zake.

Picha ya Rais wa Tanzania ni nembo ya taifa.
Imeandikwa wapi? Kijana anakatiwa rufaa na akitoka itafanyika tafrija ya kuchoma picha za wanafumbia macho utekwaji na utesani wa watanzania...unaalikwa kushuhudia tukio hilo
 
Play stupid games win stupid prizes. Acha akanyee debe
 
Read the law Arson haipo namna hyo
Acha ujinga...umesoma hukumu ya huyu kijana aliyechoma picha ya rais? Kashtakiwa kwa kosa la kusema taarifa za uongo kama yule alieachiliwa majuzi....kuchoma picha yako unayomiliki mwenyewe siyo kosa kisheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…