Mvutano wa kisheria, tuhuma ya msanii aliyechoma picha ya Rais

Mvutano wa kisheria, tuhuma ya msanii aliyechoma picha ya Rais

Wakili ni mwakilishi, kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa wakili. Wakili msomi ni mwakilishi aliye na taaluma ya sheria na kibali cha kusimama mahakamani kwa niaba ya mtu au taasisi.

Bila shaka umeona tofauti!
Nadhani siyo kweli! Kuna wakili na wakala. Wakili lazima awe msomi wa sheria na mwenye leseni ya uwakili. Ndio maana akizingua Kuna mamlaka ambazo Zina uwezo wa kumfutia leseni ya uwakili akabaki ni wakili msomi kweli lakini hana uwezo wa kusimamia kesi yoyote.
 
Huko kuchamba hadharani peke yake ni kosa hata bila kutumia picha ya rais itakuwaje uchambie picha ya rais hadharani na kurekodi video na kutuma mitandaoni! Nia yako ni kufikisha ujumbe gani kwa jamii inayoangalia video hiyo?!
Nimeuliza ili kutaka kujua?
 
Polis wa TZ ni mostly standard 7 leavers and failures . Changamoto
Kubwa ni level ya elimu yao . They deal na issue ndogo ndogo sana ambazo hazina tija kwa taifa. Ishu za Msingi ambazo zinahitaji majibu huwa hawapo nazo busy

Ishu Kama hiyo ni Polisi ndio wanaipa attention , lakini ilipaswa kupuuzwa. Kama simpendi Samia you can’t force people to love her , kama mm naona she does not fit as a president, wengine wanaona ana fit , basi kila mtu abaki na imani yake na sio kupoteza resources kwa deal na ujinga

Kama ningekuwa Rais, moja ya eneo ambalo ningesafisha ni POLISI, ningewekq criteria ili uwe polisi lazima uwe degree holder , with intensive training, ujinga mwingi wa polisi ungepungua. Hawa mapolisi huwa wana act kama
Kwenye vichwa vyao kuna matofali , mfano ni pale Hamza alipo wafumua, Jeshi la polisi lina dhulma na
Halifanyi kazi kwa weledi
 
Wakili ni mwakilishi, kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa wakili. Wakili msomi ni mwakilishi aliye na taaluma ya sheria na kibali cha kusimama mahakamani kwa niaba ya mtu au taasisi.

Bila shaka umeona tofauti!
Huwezi kuwa wakili kumtetea mtu au taasisi yoyote ya kiserikali au binafsi kama si msomi wa sheria na mwenye leseni ya kufanya kazi za uwakili. Kwahiyo hakuna wakili ambaye sio msomi wa sheria. Bongo movie peke yake ndipo Kuna mawakili na mahakimu ambao sio wasomi.
 
Karatasi ni mali yake picha ni ya mheshimiwa kiongozi mkuu wa nchi.
Ukiambiwa wewe mjinga watakuwa wamekosea? Kwa hiyo kama picha yake kwa nini asizuie kuwekwa kila mahali hadi kwenye matundu ya vyoo,?
 
Nadhani siyo kweli! Kuna wakili na wakala. Wakili lazima awe msomi wa sheria na mwenye leseni ya uwakili. Ndio maana akizingua Kuna mamlaka ambazo Zina uwezo wa kumfutia leseni ya uwakili akabaki ni wakili msomi kweli lakini hana uwezo wa kusimamia kesi yoyote.
Akifutiwa uwakili maana yake hana hadi ya usomi kwa hiyo hastahili kuendelea kusimamia kesi mahakamani! Mbumbumbu kama wewe ndiyo mtaendelea kumwita msomi lakini siyo wasomi wa sheria! Wao mawakili wasomi watamwita mwanasheria!
 
Chura Kiziwi na wenzie hawakawii kumpa kesi uhujumu uchumi na utakatishaji fedha
 
Endeleeni kuwapotosha vijana kutoka familia maskini huku wa kwenu mkiwahimiza kuwa makini na kujiepusha na siasa za kipumbavu. Huwezi kukuta mtoto wa kiongozi wa ngazi za juu CHADEMA anafanya harakati za kipumbavu au kuropoka hovyo. Watoto wa maskini kama kina Mdude ndo hutolewa kafara ili kupata political mileage. Wewe mleta uzi nina uhakika huwezi ruhusu mwanao achukue picha ya Rais na kuichoma huku akirekodi video.

..Mama Abduli watoto wake hawaendeshi wala kupanda bodaboda lakini analaghai watoto wa masikini kwamba bodaboda ni ajira yenye manufaa.
 
Huwezi kuwa wakili kumtetea mtu au taasisi yoyote ya kiserikali au binafsi kama si msomi wa sheria na mwenye leseni ya kufanya kazi za uwakili. Kwahiyo hakuna wakili ambaye sio msomi wa sheria. Bongo movie peke yake ndipo Kuna mawakili na mahakimu ambao sio wasomi.
Tofautisha wakili msomi na mwanasheria! Unaweza kusoma sheria lakini usiwe wakili msomi?
 
Unaweza kusoma sheria lakini usiwe wakili msomi?
Ndio wasaidizi wa kisheria pale Halmashauri na Wilayani Ofisi za Mkoa hata kule LHRC mpaka Ustawi wa Jamii wengi hata Certificate ya Sheria hawana wameenda tu short course tu za Sheria kwa hio huwezi kuwaita wanasheria wasomi wale
 
Hata kama lingekuwa kosa kuendelea kupoteza rasilimali muda na pesa ku deal na vitu kama hivi huenda ndio sababu hatuendelei...;
 
Hujapangua hoja ya mleta mada hata kidogo. Mleta mada anasema kuchoma picha yenye sura ya rais (lkn siyo mali ya rais), hakuna kosa kisheria. Wewe chawa wa rais unasemaje??
Kama ni mtu wa kunielewa utakuwa umeshanielewa. Ila mama akili zako ulimkabidhi Mbowe hutakaa unielewe
 
Lakini huyo kijana aliyechoma picha hakutumwa na mzazi wake, aliamua mwenyewe akiwa na akili timamu
Nimeandika comment kutokana na huu uzi wa Housegirl wa Mbowe anayetaka kuonyesha ni sawa tu kuchoma picha ya Rais na kujirekodi video huku ukitoa kauli za kijinga.
 
Back
Top Bottom