Mwabukusi: DPW ingebidi wapewe Bunge waondoke nalo kabisa

I wish kwenye hili suala la bandari Jiwe ndie angekuwa kaingia huo mkataba!
 
Walijaribu mwanzo kumhusisha Magu na uozo huo, Lissu akawaumbua.

Saiz wanasonya tu.
Sio huyo Lissu alikuwa anapinga JPM kuchukuwa migodi? sio Lissu alisambaza sumu huko ndege za Tz zishikwe. Wakati JPM anapigana na wale wazungu kuhusu madini sio huyu Lissu alisimama na wazungu kusema mikataba iheshimiwe, sio huyu alisema alikuwa anamtuka JPM kwa kashfa zake na hasa kwenye madini mpaka uvumilivu ukamshinda mzee akaamuwa kumwagia risasi au sio Lissu huyu? sababu zipi alifanya kushambuliwa, anajuwa sababu alikuwa anaunga mkono madini kuchukuliwa nchi hii. Leo hii ndio kawa malaika.
 
Tuende taratibu kijana niambie Mkataba wa Tanzania na makanisa kutoa ruzuku kweny hospital kila mwaka tangu mwaka 92 ni wa mda gani ? then ntakujibu kwa hoja
Hakuna huo mkataba. Kama upo tuonyeshe
 
Maaskofu wako hawajui kitu kuhusu bandari mtu wa Mbeya anajua nn kuhusu bahari kama sio shobo.!!
Hapa ndo nimeamini kuwa wewe huna akili, wewe unavozunguzia urussi unaijua au shobo tu
 
Ameongea kitu cha maana,pia wachukue na ccm waiongoze
 
 
Mtu akitubu anasamehewa,

Lissu amesema wazi Magu alikuwa MZALENDO.

Hata Sa100 akitubu, Watanzania tutamsamehe,

Tatizo liko wapi?
 
Mtu akitubu anasamehewa,

Lissu amesema wazi Magu alikuwa MZALENDO.

Hata Sa100 akitubu, Watanzania tutamsanehe,

Tatizo liko wapi?
Hakuna tatizo lakini kwanza akiri jamani mimi nilifanya hivi na hivi nilmkosea JPM lakini mnisamehe basi yameisha. Huwezi kusamehewa kama hujakiri kosa na kuomba msamaha.
 
Hakuna tatizo lakini kwanza akiri jamani mimi nilifanya hivi na hivi nilmkosea JPM lakini mnisamehe basi yameisha. Huwezi kusamehewa kama hujakiri kosa na kuomba msamaha.
This is Africa, Kwa ukauzu wa Lisu, kusema kuwa Magu alikuwa MZALENDO,asingesaini mkataba wa aina Ile,

Huko ni kuomba msamaha. Pia tukumbuke, Afrika Tamaduni zetu haziruhusu kiongozi kuomba msamaha Kwa kupiga magoti.

Akinyamaza na kuondoka kikaoni, ndo keshaomba msamaha hivyo!!!!!
 
Tupe somo Mtaalamu. Bandari ni nini?. Na na umebobea kwenye nini haswa. Nini ambacho hakiwezi fanyika pale bandarini baada ya mkataba kurekebishwa.?
Huu mjadala haukuhusu hatuongelei maparachichi hapa.
 
Hapa ndo nimeamini kuwa wewe huna akili, wewe unavozunguzia urussi unaijua au shobo tu
😂Kafie mbele maaskofu ni huko kanisani huo ndo ukweli ,hatuongelei sadaka hapa hamna wanachojua .

Zaidi wanataka kupitisha mizigo yao bila ya ushuru ,ewe muabudu mpakwa mafuta kuwa na akili hata kidogo kufikria usiwe zuzu kupelekeshwa na wachungaji maana wanawapoteza.
 
Na huyu mzee Slaa mbona aliwauza wenzake Chadema kwa JPM akamwaga siri za mikakati yote ya Chadema halafu akapata hisani ubalozi Sweden. Hajawahi kuwaomba msamaha wenzake. Mama Samia kaja kimya kimya akampiga chini mzee mpaka leo linamuuma sana hilo.
 
Sipelekeshi nimeuuliza wewe unajua mambo ya urussi? Shida yako mvaa kobazi unaleta mambo ya madrasa kwenye bandari yaani mkivaa kobazi na kaptula za watoto mnajiona wasaidizi wa allah kulipuana ovyo
 
Sipelekeshi nimeuuliza wewe unajua mambo ya urussi? Shida yako mvaa kobazi unaleta mambo ya madrasa kwenye bandari yaani mkivaa kobazi na kaptula za watoto mnajiona wasaidizi wa allah kulipuana ovyo
😂😂Naona usharukia wewe tangu uzaliwe ushawahi kuona bandari? umezaliwa kweny bonde la mpunga huko.

Haya mambo hayakuhusu kaa kwa kutulia endelea kuwaabudu weny sauti za kukwaruza na mpakwa mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…