Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mpaka kesho na milele serikali inatoa pesa despite ya kuwa kuna hospital za wilaya.Terms na conditions zipo wapi? Hizo si ni signatures tu? Labda walikuwa wanauziana ardhi? Halafu kuwa na heshima kwa baba yako.
We muabudu wa mudi usidhani wote tupo kwenu kimanzichana pwani, maulid kitenge anavosifia anajua mambo ya bahari?😂😂Naona usharukia wewe tangu uzaliwe ushawahi kuona bandari? umezaliwa kweny bonde la mpunga huko.
Haya mambo hayakuhusu kaa kwa kutulia endelea kuwaabudu weny sauti za kukwaruza na mpakwa mafuta.
Ila hakufikii weweKumbe huyo jamaa yenu mwambuzi hana akili?
So una maana hapa ngoma droo. Wao huu na nyie ule wa kwenu sio. Sasa mtapataje pesaView attachment 2685849
Kipind unasainiwa nafikria ulikuwa upo kiunoni kwa mshua wako.
Hujui nipo hapa Dsm nakuchora tu mzee wa majahazi.Huu mjadala haukuhusu hatuongelei maparachichi hapa.
Hao wanachukua huu wa kwetu wanabadili vile tunavyolalamikia halafu wanamchukua DP.Mnafanya kazi za majasusi wa nchi jirani bila kujua, wenzenu huko ndo wanafukuzia huo uwekezaji.View attachment 2685923
Kuna wapuuzi wapo kufanya kazi za kijasusi pasipo kujua.Hao wanachukua huu wa kwetu wanabadili vile tunavyolalamikia halafu wanamchukua DP.
Watajua wenyewe sisi tunamaliza ya Bandari kwanzaMnafanya kazi za majasusi wa nchi jirani bila kujua, wenzenu huko ndo wanafukuzia huo uwekezaji.View attachment 2685923
Sasa uwezo wetu ndipo ulipofikia. Ilitakiwa kulizima hili lisiwe kelele.Kuna wapuuzi wapo kufanya kazi za kijasusi pasipo kujua.
Watajua na Bibi zaoKuna wapuuzi wapo kufanya kazi za kijasusi pasipo kujua.
We jambo lipo on public na ni Jambo la Nchi afu unasema mlifiche, msaini mkataba wa kibwege mseme mmeuficha umerogwa ?Sasa uwezo wetu ndipo ulipofikia. Ilitakiwa kulizima hili lisiwe kelele.
Acha hasira sasa unaona wameshajua kuwa tunashindana nao. Bado Beira ambayo shida ni barabara tu lakini kufoka Lusaka ni easy.We jambo lipo on public na ni Jambo la Nchi afu unasema mlifiche, msaini mkataba wa kibwege mseme mmeuficha umerogwa ?
✍️
Nani aliekwambia kwamba wao hawajui ?Acha hasira sasa unaona wameshajua kuwa tunashindana nao. Bado Beira ambayo shida ni barabara tu lakini kufoka Lusaka ni easy.
😂😂Hujui kitu kaa kwa kutulia hatuongelei maparachichi hapa.We muabudu wa mudi usidhani wote tupo kwenu kimanzichana pwani, maulid kitenge anavosifia anajua mambo ya bahari?
Hamna mkataba wa kwetu ishu walidai kuhusu ukomo mbona huu hauna ukomo pia serikali iliangalia ufanisi .So una maana hapa ngoma droo. Wao huu na nyie ule wa kwenu sio. Sasa mtapataje pesa
Hao watu wa Mbeya wa wanajua nn kupiga kelele ni wao tuh.!😂😂Hujui nipo hapa Dsm nakuchora tu mzee wa majahazi.
Terms na conditions zipo wapi? Hizo si ni signatures tu? Labda walikuwa wanauziana ardhi?
Watoto mnajitafutia laana hivi hivi. Huo ni mkataba wa nini?Mpaka kesho na milele serikali inatoa pesa despite ya kuwa kuna hospital za wilaya.
Kama wwe unajua nionyeshe ukomo wake huu mkataba na hesabu tangu 92 mpaka leo ni miaka mingapi?
Utajuaje na ulikuwa bado hujazliwa .😂