Mizimu tulishamalizana nayo!!Mnachokonoa yasiyochokonoleka....
Ile Mizimu...
Mizimu ya kule Bagamoyo iko radhi kufanya lolote kulilinda taifa hili dhidi ya hayo mambo ya TAHRIR.....
Ni agano kuu lisilojua siasa za kiliberali.....
Nchi hii ni "special" na teule duniani....siasa zake ni za kipekee na si za kuiga.......
#Never give wisdom to unworthy because it is unjust to the knowledgeable [emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
Kwani Mbowe anasemaje?
Waarabu wamewachoka wapalestina.....misaada wanapata kutoka Iran na wakomunisti.....[emoji1787]Marekani anapeleka Misaada ya kila aina Israel
Palestine wametengwa na waarabu wenzao
Ulishapatikana TISA DESEMBA....
Thuuuubuuutuu [emoji1787]Mizimu tulishamalizana nayo!!
Huna habari watu wanatakiwa wahame?
Rudi kaangalie, majemedari wamefungulia misukule yote na imeachiwa iende njia Yao,Thuuuubuuutuu [emoji1787]
Mizimu kamwe si kigeugeu.....
Wahamaji kutoka vilinge vipi kwenda vipi ?!!
hawa waanzishe chama cha siasa wakati mapambano haya yanaendelea.Ukombozi ni safari ndefu. Hatimaye uelekeo Tahrir unasomeka waziwazi.
Kulikoni?
1. Katiba Mpya ni sasa!
2. Hakuna Katiba, Mpya hakuna uchaguzi.
3. Biashara ya bandari, haipo.
"Wale watanzania wenzetu, wana halisi wa nchi hii wamerejea Mbeya na kupokelewa kwa kishindo:
View attachment 2775874
Mungu atupe nini?
Kesho Mama Abduli na washirika wake wakae mkao wa kula, watege masikio tutakuwa na jambo letu Mbeya:
View attachment 2775877
Safari yetu Tahrir, Mbeya itaibariki.
"Eh Mola wetu uwalinde waja wako hawa ambao kwa nchi hii iliyoteseka mno, kwa dhati wamejitoa."
Tuonane Tahrir.
Assalaam alaykum ukhty il kiraam [emoji120]Wanaowatum hawa, tec, ni wakufinywa mmoja mmoja tu.
Wanaowatum hawa, tec, ni wakufinywa mmoja mmoja tu.
hawa waanzishe chama cha siasa wakati mapambano haya yanaendelea.
🤣🤣🤣Wanaowatum hawa, tec, ni wakufinywa mmoja mmoja tu.
Acha kujibaraguza [emoji1787][emoji1787]Rudi kaangalie, majemedari wamefungulia misukule yote na imeachiwa iende njia Yao,
Mlinzi alinde nini!!
Wanachokomalia HAMAS si agano la kimizimu kati ya akina BIBI na hiyo ardhi yao ya ahadi za kiimani....CCM #2? Wazima huko ndugu? Ila msitutishe!
Bila kukomaa HAMAS waisrael wangekuwa wanasebuka dansi mpakani pale hali watoto wa kipalestina wanakufa njaa na mazingira yale.
Kuchokonoa? Wewe hata kama katiba mpya hutaki, bandari nazo je?
Uasi huooooo....Mapinduzi ni sasa.
SYWtz one!