Huo ujinga ulionao ni speed ya 7G ,KUAMINI na KUELEWA unacholetewa au kumezeshwa ni vitu viwili tofauti ,kwa mwenye akili kama mimi nilianza kujiuliza kama kweli WATU WOTE (siyo BIN-ADAMU wote unielewe hapa) walitokana na udongo je samaki ,mbwa,kuku,miti,nk ilitokana na nini?
Kama kweli MTU/binadamu alitokana na udongo je SHAHAWA na MANII nazo ni UDONGO? na je kwanini leo kusiwe na mwendelezo wa UDONGO KUWA WATU/BINADAMU?
Acha ujinga wa kukariri ujinga jiongeze na ufanyishe kazi UBONGO wako ili uwe na ufahamu,ken**e wewe!!