Mwafrika yeyote siyo Bin -Adam

Mwafrika yeyote siyo Bin -Adam

N

Ni kupongeze kwa kuwa mtu wa kwanza humu kukubali na kuungana na mimi juu ya hili,Mungu akuongoze upate kuwa HURU na kuondoka na fikra za ukoloni mambo leo
Sijasema kama nimeungana na wewe au sijaungana na wewe lakini mkuu.😅😅
 
Neno bin Adamu ni kiarabu

kwa kibantu sisi ni bhabantu wingi au mbhntu umoja..
mtu au watu kwa waafrika
ingawa kuna makabila mengi sio asili ya kibantu ila wabantu ni wengi huku Africa

Sisi ni watu sio bin adamu!
Hongera kwa KUJIKOMBOA KIFIKRA isaidie jamii inayokuzunguka kujikomboa katika UTUMWA WA KIFIKRA.

ASANTE SANA kwa kunielewa!!
 
Uhuru wa Habari...
Sikutegemea kama hata mshana angepingana na ukweli huu,aisee kuna kazi kubwa mbelenyetu ya kuwakomboa KIFIKRA hawa WAAFRIKA waliopotea!!
 

Attachments

  • 2025_03_07_16.40.39.png
    2025_03_07_16.40.39.png
    237.7 KB · Views: 2
Soma hapo chini na ujiongeze
Hili jibu nilikuwa nalingoja, so hakuna bin-adam duniani..?? Kwamaana kila mtu duniani ana ubini tofauti.. hivyo chanzo cha kila mtu duniani si kimoja ni tofauti...??

Kwantiki hiyo hakuna mwenye asili ya bin-adam
 
Huo ujinga ulionao ni speed ya 7G ,KUAMINI na KUELEWA unacholetewa au kumezeshwa ni vitu viwili tofauti ,kwa mwenye akili kama mimi nilianza kujiuliza kama kweli WATU WOTE (siyo BIN-ADAMU wote unielewe hapa) walitokana na udongo je samaki ,mbwa,kuku,miti,nk ilitokana na nini?

Kama kweli MTU/binadamu alitokana na udongo je SHAHAWA na MANII nazo ni UDONGO? na je kwanini leo kusiwe na mwendelezo wa UDONGO KUWA WATU/BINADAMU?

Acha ujinga wa kukariri ujinga jiongeze na ufanyishe kazi UBONGO wako ili uwe na ufahamu,ken**e wewe!!
Ningeweza kukueleza na kukuelimisha kuhusu hilo lakini nimegundua akili yako haipo sawa kwa sasa na inaonekana umevurugwa sana...

Itoshe kusema hakuna unacho kijua kuhusu uumbaji na asili ya mwanadamu, na kuendelea kubishana na wewe ni kudhihirisha kwamba nina ujinga kama ulionao wewe kumbe sina.
 
Kwanza nikupe pole kwa kuishi kwa kukariri pasipo kudadisi,kutafakari na kuchanganya na za kwako.

Kwa utafiti na udadisi wangu nimepata ufahamu juu ya neno "binadamu" kuwa lometokana na neno "bini" ikimaanisha nasaba ya upande wa "BABA" na siyo "DAMU".


Neno "binadamu" asili yake ni jina "Adam" ambaye wajinga wa kikristo wanaamini ni baba yao hivyo kupelekea maana ya "binadamu" yeyote yule kuwa na nasaba ya uzao wa adam wa kwenye biblia.

Tambua neno "-damu" kwenye neno "binadamu" liko mwishoni hivyo siyo mzizi bali neno "bin- " liko mwanzoni hivyo ndiyo mzizi wa neno "bin-Adamu".

Nimekuwekea moja ya maana na rejeo la maana ya "ubini" ikiwa ni uwakilishi wa neno "bin-".

Usisome kama kondoo au kujiita "binadamu" wakati asili na vinasaba vyakonsiyo vya Adam wewe ni "MTU" kwa asili ya neno la"UMUNTU" lililotokana na neno "BANTU"

Jitafakari sana!!
Hii dunia upumbavu ni mwingi sana.Hivi hapa ndio unasema umedadisi sio? neno(jina) Adam asili yake ni wapi na neno binadamu chimbuko lake ni huu utumbo wako sio?

Acha upumbavu
 
Ningeweza kukueleza na kukuelimisha kuhusu hilo lakini nimegundua akili yako haipo sawa kwa sasa na inaonekana umevurugwa sana...

Itoshe kusema hakuna unacho kijua kuhusu uumbaji na asili ya mwanadamu, na kuendelea kubishana na wewe ni kudhihirisha kwamba nina ujinga kama ulionao wewe kumbe sina.
Soma na kuchangia vitu vyenye mlengo finyu sawa na ufinyu wa akili yako,ujinga wako ni dhambi tosha,angalia michango ya watu wanaoelewa nilichoandika na tambua sikuandika kwaajili ya watu wenye akili finyu kama wewe
 
Hii dunia upumbavu ni mwingi sana.Hivi hapa ndio unasema umedadisi sio? neno(jina) Adam asili yake ni wapi na neno binadamu chimbuko lake ni huu utumbo wako sio?

Acha upumbavu
Anza wewe kuacha utumwa wa kifikira wa kuwa tegemezi kwa maandiko na hadithi za alinacha ,huwezi kujikomboa na kujitambua kwa ufinyu wa akili ulionao
 
Anza wewe kuacha utumwa wa kifikira wa kuwa tegemezi kwa maandiko na hadithi za alinacha ,huwezi kujikomboa na kujitambua kwa ufinyu wa akili ulionao
Wewe usiyekuwa mtumwa unaulizwa jina Adam limetoka wapi majibu huna.Unasema waafrika sio uzao wa Adam sawa lakini hili jina Adam umelitoa wapi ndio jibu linatakiwa acha upumbavu
 
Wewe usiyekuwa mtumwa unaulizwa jina Adam limetoka wapi majibu huna.Unasema waafrika sio uzao wa Adam sawa lakini hili jina Adam umelitoa wapi ndio jibu linatakiwa acha upumbavu
Nimejibu pitia maelezo yangu acha ujinga na ujiongeze kutafuta na kwingine ukichanganya na za akili zako, jina la Adam asili yake ni kiebrania na maana yake ni mtu aliyetokana na udongo/uongo ila nakukumbusha kuwa hakuna mtu hapa ulimwenguni aliyetokana na udongo au aliyetokana na udongo au atakayetokana na udongo kwani huyo Adam pia alitokana na mtu wa kwanza bali ni uongo uliotungwa na wazungu ili kuwapotosha Waafrika na wakapotosheka.

Ni wakati Sasa Waafrika kujitafakaei na kujiulize ni kwanini binadamu aumbwe kwa udongo lakini samaki,bata,mbwa ,nyani,nk visiumbwe kwa udongo na bado kusiwepo na mwendelezo wa uumbaji wa adamu wa udongo?

Waafrika aacheni ujinga wa kujiendekeza jitafakarini!!
 

Attachments

  • 2025_03_12_20.08.01.png
    2025_03_12_20.08.01.png
    459 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.10.31.png
    2025_03_12_20.10.31.png
    482.6 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.10.55.png
    2025_03_12_20.10.55.png
    442.1 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.14.02.png
    2025_03_12_20.14.02.png
    469.2 KB · Views: 1
Kwahiyo wewe chanzo chako ni wapi kwa maana watu huamini chanzo cha koo na asili ya watu wote wa Dunia kilianzia hapo kwa Adam
Siongei sana nakupa hizi hapa zinazoonesha wazi kuwa Waafrika ni WAJINGA na wavivu wa kutafuta maarifa kwani kwasasa waarabu na wazungu wanasimamia ukweli kuwa Waafrika walilishwa matango pori wanapaswa kutafuta maarifa kwa nguvu zote
 

Attachments

  • 2025_03_12_20.14.02.png
    2025_03_12_20.14.02.png
    469.2 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.10.55.png
    2025_03_12_20.10.55.png
    442.1 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.10.31.png
    2025_03_12_20.10.31.png
    482.6 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.08.01.png
    2025_03_12_20.08.01.png
    459 KB · Views: 1
Afya ya Akili ni Muhimu sana
Jipime hapa chini mumi na wewe nani mwenye Afya mbovu ya akili na usiyetaka kutafuta maarifa zaidi na kujua ukweli wa mambo bali mmemeza na kukariri tu
 

Attachments

  • 2025_03_12_20.14.02.png
    2025_03_12_20.14.02.png
    469.2 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.10.55.png
    2025_03_12_20.10.55.png
    442.1 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.10.31.png
    2025_03_12_20.10.31.png
    482.6 KB · Views: 1
  • 2025_03_12_20.08.01.png
    2025_03_12_20.08.01.png
    459 KB · Views: 1

Attachments

  • 2025_03_12_20.08.01.png
    2025_03_12_20.08.01.png
    459 KB · Views: 0
  • 2025_03_12_20.10.31.png
    2025_03_12_20.10.31.png
    482.6 KB · Views: 0
  • 2025_03_12_20.10.55.png
    2025_03_12_20.10.55.png
    442.1 KB · Views: 0
  • 2025_03_12_20.14.02.png
    2025_03_12_20.14.02.png
    469.2 KB · Views: 1
Nimejibu pitia maelezo yangu acha ujinga na ujiongeze kutafuta na kwingine ukichanganya na za akili zako, jina la Adam asili yake ni kiebrania na maana yake ni mtu aliyetokana na udongo/uongo ila nakukumbusha kuwa hakuna mtu hapa ulimwenguni aliyetokana na udongo au aliyetokana na udongo au atakayetokana na udongo kwani huyo Adam pia alitokana na mtu wa kwanza bali ni uongo uliotungwa na wazungu ili kuwapotosha Waafrika na wakapotosheka.

Ni wakati Sasa Waafrika kujitafakaei na kujiulize ni kwanini binadamu aumbwe kwa udongo lakini samaki,bata,mbwa ,nyani,nk visiumbwe kwa udongo na bado kusiwepo na mwendelezo wa uumbaji wa adamu wa udongo?

Waafrika aacheni ujinga wa kujiendekeza jitafakarini!!
Hivi wewe kichwa chako kipo sawa kweli au ni kichaa.Umeandika nini hapa?ulikuwa na haraka ya kwenda wapi?

Unapinga dhana ya uumbaji bado unajiuliza kwanini hakuna mwendelezo wa uumbaji wa Adam wa udongo?

Theory ya creation inasema God created a man and was named Adam.Hapa wewe unataka kwamba na baba yako aumbe kwa udongo ndio upatikane au unataka kuonyesha weakness ya theory ya creation?

Maelezo yako ni hovyo sijui mwalimu wako wa darasa la kwanza alifanya kazi gani? Yani kupangilia a,e,i,o,u ukaandika kitu cha maana umeshindwa?

Fine, unataka waafrika wajitambue,wewe binadamu unaeleza katokea wapi kwenye theory yako mpya?maana unasoma madesa ya wenzio huelewi,kufanya critism ya theory ambayo imekwisha kuwa documented sio kazi rahisi na ata ingekuwa rahisi wewe bado sana.For your information,creation theory wanasoma mpaka wazungu labda ni akili zenu finyu kudhani kila kitu mzungu kaweka kumteka mtu mweusi
 
Back
Top Bottom