Pesa mtaani ilikuwwpoHata kanda bongoman Enzi za Mzee Mwinyi alikuja uwanja wa Taifa na kiingilio ilikuwa laki moja ...
Hapo alikuwa kashafukuzwa Kenya Kwa kuvunja ndoa za watu....alifukuzwa na Rais Moi...
Those were the golden days
Umeandika pumba bwana mdogo.Unasema nauli Ni shilingi 12 had 5 so how could a person accomulate 100k kwa just like going looking for Kanda bongoman
Kwa umasikini wa enzi hzo one laki is almost Ni bajet wa wilaya ya nzima ya kinondoni if not Moro district nakuambieni ukweli msitudanganye hapa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Safari za Mvuti na Kisarawe kwa malori, huyu El Abry alkuja juzi tu 😀Nini usichoamini broo ,
Watu waliingia makondeko kwa laki mwaka 1990, sio kwa kuambiwa bali nilishuhudia kabisa
Kanda bongoman alipokuja Tqnzania , hakuna sehemu alitumbuza chini ya kiingilio cha laki.
Soda mtaani ilikuwa ina uzwa sh 20 hadi 25, ila siku ile pale iliuzwa karibu na sh 100.
For the records, nauli ya basi mjini kote na uda ilijuwa kwa basi la uda sh 5, ndo sababu ikaitwa dala dala (dollar dollar ) , inasemekana ila:sina uhakika kuwa dola ilikaa muda mrefu ikiwa na thamani ya shilingi tano za kitanzania , ilipotoka tharafu ya shilingi tano , wajanja walikuwa wanaita 1 dollar waswahilib tukageuza dala.
Kutoka hapo makondeko kwenda kariakoo enzi hizo nauli ilukuwa sh 12 , na ndo ilikuwa ni nauli kubwa kwa outskirts suburbs na dar, ifuatiwa na tegeta., Mkuranga kisemvule , mvuti, mwanambaya , kwa miaka hiyo yakiwa ni makazi ya simba na binadamu wachache wabishi.
Nimemtajia kidimbwi na matumizi yake maana najua kama yupo seriuos anaweza kwenda kuhakikisha mwenyewe kidimbwi pa kihuni flanNatamani nimtumie risiti jamaa mwaka jana hapo Element katumia milioni tano kwa pombe tu yeye na rafiki zake kwa usiku mmoja,Heynness moja imeuzwa laki tatu.miaka ijayo akiambiwa iphone 14 pro unanunua tecno kumi atasema ni ufujaji wa hela
LegendKuweka kumbukumbu sawa,ichael Jackson alipokuja Tanzania hakupiga show yoyote,ninachokumbuka ilikuwa ziara ya kiserikali,alitembelea shule ya Sinza maalum akakutana na Rais Mwinyi na waziri Hassan Diria akajiondokea
Siyo Kibamba Bali ni Luguruni,jirani na ilipo Manispaa ya Ubungo.Upo Kibamba mbele kidogo ya mbezi mwisho,enzi hizo ulikuwa ukumbi wa kisasa aswaa
Sawa lkn kwa Sasa Ni sahih not otherwiseBeing late to the party it doesn't means the party hasn't started yet.
Kwa ubishi unaoleta inaonekana mjini si kitambo sana, na hadi leo huujui mji
Ukienda kidimbwi leo hii kuna watu wanatumia 10 millions in a puff of smoke
Kuna pombe hadi million tano kwa chupa.
Chupa moja yabpombe inaweza kulipa mshahara wa hata wahandisi kadhaa mixer ma daktari wa hospitali kubwa .
Mjini shato za makondeko zilipark pale Lumumba, ilikuwa hatari sana. Kipindi hicho makondeko inakamata, lile soko letu pendwa likawa ndo linakufa mdogo mdogo.mdukuzi Sikuwahi kujua kama Ukumbi wa Makondeko Club ulikuwa nje ya Jiji kiasi hicho.
Asante kwa kutujuza Mkuu, hakika umenikumbusha longtime kipindi, by the time nilikuwa F5 pale Tosa-Iringa.
Jina halisi pale ni " Uluguruni" kulikuwa na mzee almaarufu wa kuitwa Kindagule alikuwa mluguru na waluguru wengi walikuwa wakitoka morogoro wanafikia hapo kwake, nyumba yake ilikuwa karibu kabisa na barabara miaka hiyo,Siyo Kibamba Bali ni Luguruni,jirani na ilipo Manispaa ya Ubungo.
Mtu mpaka atoe laki 1 kwa hio show tayari alikuwa na utajiri wa 500M hivyo sio ishu hioLaki moja mwaka 1988?
hao waliofurika wameacha urithi gani kwa wajukuu zao mpaka sasa?
maana laki 1 ya '88 kwa sasa ni kama milioni 1. Bei ya viwanja kumi jijini Dar kwa enzi hizo
HV babu element hapo masaki sipafahamu karibu na samaki samaki kwanza wao wanapiga Kaz kuanzia alhamisi tu jpili tu unlike samaki samaki full every day acha hzo mkuu mm Niko hapa mikocheni jirani tu cloud Sasa unavyoniambia sipajui hizo chimbo Ni makosa Sana mkuuNimemtajia kidimbwi na matumizi yake maana najua kama yupo seriuos anaweza kwenda kuhakikisha mwenyewe kidimbwi pa kihuni flan
Huko Element mbali sana anaweza asipate acces ya kufika.
Likewise wee piaLegend
hata mie nilikuwa nashangaa hiyo show Michel jackson alipiga wapi. Nakumbuka kulikuwa na uvumi kuwa aliposhuka airport alifunika pua yake kuashiria kuwa Dar inanuka na akaishia sinza kwa watoto yatima.
Huyu jamaa ni muongo yet amekuwa akiwashutumu wenzake kuwa ndio waongo.
Umenishangaza kwa sababu kama unapajua element na kufuru ya matumizi ya pesa pale , unaanzaje kufananisha matumizi ya starehe na mishahara ya wahandisi?HV babu element hapo masaki sipafahamu karibu na samaki samaki kwanza wao wanapiga Kaz kuanzia alhamisi tu jpili tu unlike samaki samaki full every day acha hzo mkuu mm Niko hapa mikocheni jirani tu cloud Sasa unavyoniambia sipajui hizo chimbo Ni makosa Sana mkuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
AahaaaaWakisema chai...wapatie na vitafunwa alaa
Mtoa mada kama huna miaka 50's bas una 60.Imepita miaka 35,
Nimekumbuka kitu kimoja
mwaka 1988 enzi hizo Ivon Chakachaka akiwa kwenye peak,kulikuwa na mmakonde mmoja akiitwa Dk Khalid Alex mbunge wa Mtama by then,sina uhakika na jimbo ila ni huko kusini
,alikuwa na ukumbi kule kibamba Luguruni maarufu kama Makondeko,
Ule ukumbi ukienda leo hakuna hata mabaki ya tofali hata moja ulikuwa ukumbi wa kisasa kwa miaka ile,kumbuka ulikuwa utawalawa Mzee Ruksa,
Chakachaka akiwika na nyimbo zake kama Sangoma,Umkhomboti,Thank you Mr Dj,am in love with DJ,alikuwa wa moto kwelikweli ila huyu tycoon wa enzi hizo bwana Alex akafanikiwa kumleta nchini,kiingilio kilikuwa shilingi laki moja,lakini ukumbi ulifurika aswaa japo uko nje ya mji,ni miaka 35 imepita ila laki moja !!!
Mi town nimezaliwa , sikuja , sioni sababu ya kukuongopea chochote , infact haina maana yoyote kuongopa ,