Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Umeandika pumba bwana mdogo.
 
Safari za Mvuti na Kisarawe kwa malori, huyu El Abry alkuja juzi tu 😀
 
Natamani nimtumie risiti jamaa mwaka jana hapo Element katumia milioni tano kwa pombe tu yeye na rafiki zake kwa usiku mmoja,Heynness moja imeuzwa laki tatu.miaka ijayo akiambiwa iphone 14 pro unanunua tecno kumi atasema ni ufujaji wa hela
Nimemtajia kidimbwi na matumizi yake maana najua kama yupo seriuos anaweza kwenda kuhakikisha mwenyewe kidimbwi pa kihuni flan
Huko Element mbali sana anaweza asipate acces ya kufika.
 
Kuweka kumbukumbu sawa,ichael Jackson alipokuja Tanzania hakupiga show yoyote,ninachokumbuka ilikuwa ziara ya kiserikali,alitembelea shule ya Sinza maalum akakutana na Rais Mwinyi na waziri Hassan Diria akajiondokea
Legend
hata mie nilikuwa nashangaa hiyo show Michel jackson alipiga wapi. Nakumbuka kulikuwa na uvumi kuwa aliposhuka airport alifunika pua yake kuashiria kuwa Dar inanuka na akaishia sinza kwa watoto yatima.
Huyu jamaa ni muongo yet amekuwa akiwashutumu wenzake kuwa ndio waongo.
 
Hii lounge enzi za ukuaji wangu nakumbuka ilikuwa inatangazwa sana redio tanzania kwa kibwagizo cha "ni makondeko pekee".

Walikuwa wanasifia pia kuna friji hivyo utapata vinywaji vya baridi.

Wakati mmoja miaka ya 2013 nilienda kufanya kazi fulani wilaya ya newala. Nikakutana na kijiji cha makondeko. Ikanirudisha kwenye back to memory lane enzi za makondeko bar na yale matangazo.

Nikajua tu ndio asili ya hili neno ni hicho kijiji wilayani newala.
 
Sawa lkn kwa Sasa Ni sahih not otherwise

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
mdukuzi Sikuwahi kujua kama Ukumbi wa Makondeko Club ulikuwa nje ya Jiji kiasi hicho.
Asante kwa kutujuza Mkuu, hakika umenikumbusha longtime kipindi, by the time nilikuwa F5 pale Tosa-Iringa.
Mjini shato za makondeko zilipark pale Lumumba, ilikuwa hatari sana. Kipindi hicho makondeko inakamata, lile soko letu pendwa likawa ndo linakufa mdogo mdogo.
 
Siyo Kibamba Bali ni Luguruni,jirani na ilipo Manispaa ya Ubungo.
Jina halisi pale ni " Uluguruni" kulikuwa na mzee almaarufu wa kuitwa Kindagule alikuwa mluguru na waluguru wengi walikuwa wakitoka morogoro wanafikia hapo kwake, nyumba yake ilikuwa karibu kabisa na barabara miaka hiyo,
Kabla ya jina la Uluguruni palikuwa pakiitwa maili 15,
 
Nimemtajia kidimbwi na matumizi yake maana najua kama yupo seriuos anaweza kwenda kuhakikisha mwenyewe kidimbwi pa kihuni flan
Huko Element mbali sana anaweza asipate acces ya kufika.
HV babu element hapo masaki sipafahamu karibu na samaki samaki kwanza wao wanapiga Kaz kuanzia alhamisi tu jpili tu unlike samaki samaki full every day acha hzo mkuu mm Niko hapa mikocheni jirani tu cloud Sasa unavyoniambia sipajui hizo chimbo Ni makosa Sana mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Likewise wee pia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Umenishangaza kwa sababu kama unapajua element na kufuru ya matumizi ya pesa pale , unaanzaje kufananisha matumizi ya starehe na mishahara ya wahandisi?
 
Mtoa mada kama huna miaka 50's bas una 60.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…