dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Elimu gani Sasa huyu atanipa tuliepishana miakaa kidg sanaaMkuu age ni just a number, relax na enjoy maisha!wasikusumbue kabisa hawa dot.com wengi wao ni wapumbavu wa cancer level 4,huwezi kuwaelimisha kabisa
Mbinguni hall ndo ulikuwa ukumbi wa undergroud ukiwa na taa za rangi sakafuniNa moja ya kumbi zake ikiitwa Mbinguni Hall, hivi ni ule uliokuwa na taa chini sakafuni, sikumbuki vizuri.
Inafikirisha huwa napita Sana pale kabla sijafika kibamb shule eneo Ni almost Bado Ni porii tuCha ajabu ukienda bagamoyo kuna magofu yana miaka mia na zaidi,ila hapo makondeko hakuna hata alana kuwa kuliwahi kuwana ukumbi mkali Dar nzima,hakuna mabaki hata ya tofali moja
Kipindi mwanangu, nyakati hizo tukiokota kidude, pugu Kariakoo. Mungu turudishie siku zetu zile, looh. Madomo zege tukishuka Ushirika Club a.k.a magoti. Hatari mnooooo ilikuwa.Mbinguni hall ndo ulikuwa ukumbi wa undergroud ukiwa na taa za rangi sakafuni
Kbsa mkuuu hata hyo kilo 100 wengi hawafikii[emoji23][emoji23] Sasa wale wa zamani waliwezaje mnk mm mzee wanting alikuwa mhandisi ila pmj na stare zake hakwendaWahandisi wa manispaa mpaka leo kukiwa na show mcity ya 500k wengi hawawezi lipia [emoji2]
Acha uongo babu hujakulia dar weeHumu mbona wanatutukana sana , ujue kuanzia kibaha hadi kariakoo ilikua njia ya vumbi na mnatembea karibu masaa matatu, mnatoka kibaha saa kumi au kumi na moja, kariakoo mnaingia saa mbili au tatu kasoro, na gari iliondoka saa nane mchana ni moja tu ikikuacha ndio basi tena, hapo kwenye carrier mnabeba mazao au bidhaa unaenda kuuza mjini, leyland basi unazifahamu? Au chai maharage?
Yeah, kwao Mkoa wa kagera, unapanda na njia ya katerero, milimani hukoFred rwegasira huyo
Huu uzi umenifanya nitafakari pia umbali wa ulipokuwa ule ukumbi kwa sasa kwa mtu ambae alikuwa anaishi city center.mdukuzi Sikuwahi kujua kama Ukumbi wa Makondeko Club ulikuwa nje ya Jiji kiasi hicho.
Asante kwa kutujuza Mkuu, hakika umenikumbusha longtime kipindi, by the time nilikuwa F5 pale Tosa-Iringa.
Daahujue nyakati hizo kumiliki Camera ilitosha kuoa mke kabisa, sasa kupiga picha mpaka ikasafishwe ilikuwa mbinde kweli. Tumetoka mbali mno, hatukuwa na utamaduni huo wa kupiga mapicha for future.
Swala sio kuwa na umri sawa , umezaliwa na kukulia wapi ni ishu nyingine , we unaonekana mjini umekuja ila much know, na mshamba flan,Elimu gani Sasa huyu atanipa tuliepishana miakaa kidg sanaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimesoma ubungo national housing primary na miaka yote nilikuwa natoea hapo kwenda ubungo,Huu uzi umenifanya nitafakari pia umbali wa ulipokuwa ule ukumbi kwa sasa kwa mtu ambae alikuwa anaishi city center.
Ila ilikuwa tunakwenda kirahisi sana kulinganisha na sasa kunavyoonekana mbali ukitokea mjini.
Hakukuwa na foleni mkuu,sio mbali sema vurugu za foleni ndio zinafanya paonekane mbaliHuu uzi umenifanya nitafakari pia umbali wa ulipokuwa ule ukumbi kwa sasa kwa mtu ambae alikuwa anaishi city center.
Ila ilikuwa tunakwenda kirahisi sana kulinganisha na sasa kunavyoonekana mbali ukitokea mjini.
Hebu nipe credit dogo!!Sasa wew uliingia kwenye show au ulizimuliwa na watu walio kwenda kucungulia kwenye mbao za bar ile kipindi hcho
I assure you hyo siyo Bei ya kiingilio by the time nyie mnlidanganywa mno na mabishoo wa wakt ule laki by then Ni miashara ya walimu takriban 20
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mimi nimeongelea chakachaka sio bongoman,weka record sawaMbna Sasa mdukuzi na Jamaa mmoja anasema luguruni
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwann umechukua mzee wako kama kipimoKbsa mkuuu hata hyo kilo 100 wengi hawafikii[emoji23][emoji23] Sasa wale wa zamani waliwezaje mnk mm mzee wanting alikuwa mhandisi ila pmj na stare zake hakwenda
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwan mzee wako kuwa mhandisi na kutokuweza ku afford starehe kuna uhusiano gani?Kbsa mkuuu hata hyo kilo 100 wengi hawafikii[emoji23][emoji23] Sasa wale wa zamani waliwezaje mnk mm mzee wanting alikuwa mhandisi ila pmj na stare zake hakwenda
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jaribu kuangalia ulichoandika halafu fikiria mara mbilimbili. Umesema laki moja ya kipindi hicho ni sawa na milioni kwa sasa na ungeweza kununua viwanja kumi. Nakupa hiyo milioni leo ukanunue hata hicho kiwanja kimoja.Laki moja mwaka 1988?
hao waliofurika wameacha urithi gani kwa wajukuu zao mpaka sasa?
maana laki 1 ya '88 kwa sasa ni kama milioni 1. Bei ya viwanja kumi jijini Dar kwa enzi hizo
Hakukuwa na foleni mkuu,sio mbali sema vurugu za foleni ndio zinafanya paonekane mbali
nipe mzee wanguJaribu kuangalia ulichoandika halafu fikiria mara mbilimbili. Umesema laki moja ya kipindi hicho ni sawa na milioni kwa sasa na ungeweza kununua viwanja kumi. Nakupa hiyo milioni leo ukanunue hata hicho kiwanja kimoja.