Kuna mijiti ni antisocial hata ingekuwa elfu tano kwanza hamjui huyo chakachaka,mzee wako alikuwa miongoni mwaoKbsa mkuuu hata hyo kilo 100 wengi hawafikii[emoji23][emoji23] Sasa wale wa zamani waliwezaje mnk mm mzee wanting alikuwa mhandisi ila pmj na stare zake hakwenda
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
KABISA,Hebu nipe credit dogo!!
Kanda bongoman nimeingia kwenye shoo na nina picha nikwa stage tunacheza , alikuwa amevaa all white siku hiyo, japo niliingia bure kabisa kwa mitikasi na walinzi ila very late , you can imagine kwa umri huo nilikuwa nna uwezo wa kuwapanga grown ups na wakanielewa !!
Halafu punguza ushamba , kwenye starehe watu huwa hawalinganishi bei na commodity! Bei ya hennesy leo element ni sawa na bei ya bando la bati msouth hapo alaf , unaamua tu ujenge au ujipe raha.
Basi umekulia Kiponzero ( Keep on zero)Basi nilikulia manerumango, au nilikulia bwejuu, au nilikulia lituhi , au nilikulia soni lushoto, au nilikulia nyambui musoma, au nilikulia utete ya ikwiriri, au nilikulia kaparamsenga ya kigoma au nilikulia malamba ya tanga, au nilikulia laela ya sumbawanga, au nilikulia malya ya kwimba, au nilikulia kitangari ya mtwara, au nilikulia mgudenj ya mlimba moro huko au nilikulia kifanya ya njombe au nilikulia igurusi au ihanda ya tunduma, au nilikua majimoto ya mpanda, au tufanye kisarawe kisha nikahamia chanika baadae nikahamia kiwalani ya airport au tufanye tandale uzuri, au tufanye nilikulia kiponzelo iringa huko au nilikulia ruangwa na ikuti huko tukuyu au nilikulia mondo huko kondoa, au nilikulia lugoba, au nilikulia majita huko musoma, au nilikulia njoro same huko au tufanye nilikulia ndungu milimani, au chagua wewe then mimi nitakubali
Silent Inn ilibebwa zaidi na wanafunzi wa UDSM na campus zake za muhimbili na UCLAS(ardhi) miaka ya mwishoni mwa 90 na mwanzoni to mwa 2000. Kila ijumaa kulikuwa na faculty day night wanafunzi wa UDSM ndo walijazana hapo. Baadae wakaanza nyodo tutalipaje kiingilio Kuingia "nje" (Dancing floor juu Iliezekwa makuti) ndio taratibu wanafunzi wakaanza kuiacha na kuhamia Club kubwa hasa Club Billicanas (the greatest club in Africa), mambo Club (maisha Club), the place (shoppers plaza), na Tazara Club (leaders kinondoni). Hivyo ilipoteza umaarufu kabla haijabomolewa kupisha upanuzi wa Sam nujoma rd)Mkuu tuletee story la La Prima Club pale Kijitonyama na Silent Inn Mwenge. Nilikuwa mdogo miaka ile ya 90's. Nakumbuka hizo kumbi zilibamba sana
Mchizi uko sahihi,ukitukumbusha haya mambo machozi yanataka kutokaSilent Inn ilibebwa zaidi na wanafunzi wa UDSM na campus zake za muhimbili na UCLAS(ardhi) miaka ya mwishoni mwa 90 na mwanzoni to mwa 2000. Kila ijumaa kulikuwa na faculty day night wanafunzi wa UDSM ndo walijazana hapo. Baadae wakaanza nyodo tutalipaje kiingilio Kuingia "nje" (Dancing floor juu Iliezekwa makuti) ndio taratibu wanafunzi wakaanza kuiacha na kuhamia Club kubwa hasa Club Billicanas (the greatest club in Africa), mambo Club (maisha Club), the place (shoppers plaza), na Tazara Club (leaders kinondoni). Hivyo ilipoteza umaarufu kabla haijabomolewa kupisha upanuzi wa Sam nujoma rd)
Ndio maana nakuambia ushafeli mno check out Sana stare unaparamia Sana na Wala hukwenda popote wee na mdukuzi mliadidhiwa tuSwala sio kuwa na umri sawa , umezaliwa na kukulia wapi ni ishu nyingine , we unaonekana mjini umekuja ila much know, na mshamba flan,
Nimekuuliza hapo juu michael jakson unaesema alikuwa na kiingilo cha juu alitumbuiza wapi ? Huna jibu,
Hizi info hapa na mdukuzi tuna flow tu , ni kumbukumbu hakuna hata cha ku google .
Nimeshauriwa nikupuuze ila unazidisha ujinga, inabidi niwajibike tu leo ni sikukuu nna muda wa kupoteza.
[emoji23][emoji23][emoji23] weka picha Happ nikuone acha kujipa umaharufu mzee wa namtumboHebu nipe credit dogo!!
Kanda bongoman nimeingia kwenye shoo na nina picha nikwa stage tunacheza , alikuwa amevaa all white siku hiyo, japo niliingia bure kabisa kwa mitikasi na walinzi ila very late , you can imagine kwa umri huo nilikuwa nna uwezo wa kuwapanga grown ups na wakanielewa !!
Halafu punguza ushamba , kwenye starehe watu huwa hawalinganishi bei na commodity! Bei ya hennesy leo element ni sawa na bei ya bando la bati msouth hapo alaf , unaamua tu ujenge au ujipe raha.
Umenena. Kinachonifikirisha ni jinsi Chaka chaka alivyoweza kuruhusiwa kutoka SouthAfrica wakati sisi tulikuwa paka na panya na makaburu au yeye alikuwa ni wale bora liende?Hata kanda bongoman Enzi za Mzee Mwinyi alikuja uwanja wa Taifa na kiingilio ilikuwa laki moja ...
Hapo alikuwa kashafukuzwa Kenya Kwa kuvunja ndoa za watu....alifukuzwa na Rais Moi...
Those were the golden days
Wee Ni askar wa jkt mlaleBasi nilikulia manerumango, au nilikulia bwejuu, au nilikulia lituhi , au nilikulia soni lushoto, au nilikulia nyambui musoma, au nilikulia utete ya ikwiriri, au nilikulia kaparamsenga ya kigoma au nilikulia malamba ya tanga, au nilikulia laela ya sumbawanga, au nilikulia malya ya kwimba, au nilikulia kitangari ya mtwara, au nilikulia mgudenj ya mlimba moro huko au nilikulia kifanya ya njombe au nilikulia igurusi au ihanda ya tunduma, au nilikua majimoto ya mpanda, au tufanye kisarawe kisha nikahamia chanika baadae nikahamia kiwalani ya airport au tufanye tandale uzuri, au tufanye nilikulia kiponzelo iringa huko au nilikulia ruangwa na ikuti huko tukuyu au nilikulia mondo huko kondoa, au nilikulia lugoba, au nilikulia majita huko musoma, au nilikulia njoro same huko au tufanye nilikulia ndungu milimani, au chagua wewe then mimi nitakubali
Let's mbona zipo kibao hekakumi anapata hapoJaribu kuangalia ulichoandika halafu fikiria mara mbilimbili. Umesema laki moja ya kipindi hicho ni sawa na milioni kwa sasa na ungeweza kununua viwanja kumi. Nakupa hiyo milioni leo ukanunue hata hicho kiwanja kimoja.
Usije kukuta wazazi wako walikutana kwenye hilo tamasha 😂😂Wengi humu walikuwa viunoni mwa baba zao😂😂 na vinavyojua kujikunja kutukana wakubwa..fambaf sao
Mkuu,hapo ndio una fail, unayazungumzia maisha kwa personal account yako, japo sikuwepo wakati wa hizo show lakini sipingi hicho kiingilioNawaheshimu malegen ila hyo kiingilio Cha laki siyo Kweli kbsa labda buku 1000 enzi hzo ndio equal to laki mnk mwaka 1990 ada yangu mm Ni 430 na mzee wangu Ni mhandisi wa manispal lkn Hali ilukuwa tete Bado narud omu kwa kukoza ada Sasa hyo laki Ni watz wangapi wangepata
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
bora umemfafanulia, hapa Duniani wakati mwingine unaweza kujikita mjanja kumbe mshamba tuKinondoni unaijua unaisikia , kwamba bajeti ya wilaya nzima iwe laki, kwa miaka ya 1988?
Halafu usifananishe Dar na mkoani. Dar watu wanatumia pesa
Nimekupa mfano hapo juu , ukienda beach kidimbwi leo huo mshahara wako wa miezi mitatu mfululizo mtu anamaliza ndani ya masaa tu, na kidimbwi sio popular kwa watu wanaotumia pesa mjini hapa infact kumekaa kihuni,, zipo sehemu access tu ya kuhudumiwa watu wanaangalia umepark gari gani
Ushirika Club a.k.a magoti. Hatari mnooooo ilikuwa.
Ina maana eneo lote la ilipokuwa Silent inn lilimezwa na barabara?Silent Inn ilibebwa zaidi na wanafunzi wa UDSM na campus zake za muhimbili na UCLAS(ardhi) miaka ya mwishoni mwa 90 na mwanzoni to mwa 2000. Kila ijumaa kulikuwa na faculty day night wanafunzi wa UDSM ndo walijazana hapo. Baadae wakaanza nyodo tutalipaje kiingilio Kuingia "nje" (Dancing floor juu Iliezekwa makuti) ndio taratibu wanafunzi wakaanza kuiacha na kuhamia Club kubwa hasa Club Billicanas (the greatest club in Africa), mambo Club (maisha Club), the place (shoppers plaza), na Tazara Club (leaders kinondoni). Hivyo ilipoteza umaarufu kabla haijabomolewa kupisha upanuzi wa Sam nujoma rd)
Kanda bongoman alipokuja Tqnzania , hakuna sehemu alitumbuza chini ya kiingilio cha laki.