Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

Kbsa mkuuu hata hyo kilo 100 wengi hawafikii[emoji23][emoji23] Sasa wale wa zamani waliwezaje mnk mm mzee wanting alikuwa mhandisi ila pmj na stare zake hakwenda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna mijiti ni antisocial hata ingekuwa elfu tano kwanza hamjui huyo chakachaka,mzee wako alikuwa miongoni mwao
 
KABISA,
Habari za kuangalia gharama kwenye starehe hazipo kabisa.
 
Basi umekulia Kiponzero ( Keep on zero)
 
Mkuu tuletee story la La Prima Club pale Kijitonyama na Silent Inn Mwenge. Nilikuwa mdogo miaka ile ya 90's. Nakumbuka hizo kumbi zilibamba sana
Silent Inn ilibebwa zaidi na wanafunzi wa UDSM na campus zake za muhimbili na UCLAS(ardhi) miaka ya mwishoni mwa 90 na mwanzoni to mwa 2000. Kila ijumaa kulikuwa na faculty day night wanafunzi wa UDSM ndo walijazana hapo. Baadae wakaanza nyodo tutalipaje kiingilio Kuingia "nje" (Dancing floor juu Iliezekwa makuti) ndio taratibu wanafunzi wakaanza kuiacha na kuhamia Club kubwa hasa Club Billicanas (the greatest club in Africa), mambo Club (maisha Club), the place (shoppers plaza), na Tazara Club (leaders kinondoni). Hivyo ilipoteza umaarufu kabla haijabomolewa kupisha upanuzi wa Sam nujoma rd)
 
Mchizi uko sahihi,ukitukumbusha haya mambo machozi yanataka kutoka
 
Ndio maana nakuambia ushafeli mno check out Sana stare unaparamia Sana na Wala hukwenda popote wee na mdukuzi mliadidhiwa tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] weka picha Happ nikuone acha kujipa umaharufu mzee wa namtumbo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hata kanda bongoman Enzi za Mzee Mwinyi alikuja uwanja wa Taifa na kiingilio ilikuwa laki moja ...
Hapo alikuwa kashafukuzwa Kenya Kwa kuvunja ndoa za watu....alifukuzwa na Rais Moi...
Those were the golden days
Umenena. Kinachonifikirisha ni jinsi Chaka chaka alivyoweza kuruhusiwa kutoka SouthAfrica wakati sisi tulikuwa paka na panya na makaburu au yeye alikuwa ni wale bora liende?
Kanda Bongomani alipofukuzwa nakumbuka vizuri.
 
Wee Ni askar wa jkt mlale

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,hapo ndio una fail, unayazungumzia maisha kwa personal account yako, japo sikuwepo wakati wa hizo show lakini sipingi hicho kiingilio

ni kama sasa tu, pitia uzi wa selfika humu JF uone watu wanavoishi lakini kuna wengine maisha yamekaba
 
Wee Ni askar wa jkt mlale

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Niko kambi zote anzia mlale jkt, chitajkt, bulomborajkt, kanembwajkt, milundukwajkt, mafingajkt, makuyunijkt, mbwenijkt, Itakajkt, itendejkt, luwajkt, malambajkt, mgambojkt, makutoporajkt, mgulanijkt, Ruvujkt,mpwapwajkt, kibitijkt, msangejkt, nachingweajkt,oljorojkt, rwamkomajkt, na mtabila JKT, haya kingine ukijuacho ni nini?
 
bora umemfafanulia, hapa Duniani wakati mwingine unaweza kujikita mjanja kumbe mshamba tu
 
Ina maana eneo lote la ilipokuwa Silent inn lilimezwa na barabara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…