Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan we hutazeeka,unazan utaendelea kukaa kwa mama miaka yoteBasi weee ni mzee sana kama weee 89 umetapeliwa
Ok mkuuKuhusu umri nimejibu chini hapo post #15. Na kuhusu utapeli ukisoma tena uzi wangu utaelewa tu bro.
Tatizo la wanaharakati ni hili. Kila kitu mnaingiza siasa.Hata hesabu ndogo hvyo inakushinda,ccm watatutawala milele,kama umetoka shule juzi tu
Anaezakana hata miaka 40 hajafika kakwambia 1989 alikua chin ya miaka 10..Bora umemuamkia
Kwa uzee gani au hyo 89 imekuchanganya humu kuna watu hio 89 ndio wanamaliza form4
Mwaka huo 89 mi ndo nilikua afisa tawala huko Sikonge Tabora ndo barubaru haswa. Maisha ni safari ndefu sana.Kwa uzee gani au hyo 89 imekuchanganya humu kuna watu hio 89 ndio wanamaliza form4
[emoji23]Kwa uzee gani au hyo 89 imekuchanganya humu kuna watu hio 89 ndio wanamaliza form4
Yes, na nilishaondoka kwenye utumishi wa umma.Du kweli mwenzetu upo mbali kiumri mkuu
[emoji3][emoji3]Mwaka huo 89 mi ndo nilikua afisa tawala huko Sikonge Tabora ndo barubaru haswa. Maisha ni safari ndefu sana.
Sana tu,nashangaa hao watoto wa mama wanavyoshangaa mtu mwaka 89 yupo na miaka 10Mkuu inaonekana wewe umri umeenda kiasi chake!