Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du pole sana mkuu kwa kutapeliwa kiwepesi namna hiyo. Ulikuwa na umri gani?Kuna senge liliniuzia sabuni badala ya simu... Ile 30 inaniuma sana...
Ilikuwa kabla Sam Nujoma haina double lane, Mlimani City ndo ilikuwa na miezi 2 toka funguliwa
Na bado hujanunua kiwanja hapa Dar. Pole sana Elly..Ndo umri nlianza kuishi dar, enzi hizo kariakoo hakuna lami hata sehem moja, mvua zikinyesha kulikuwa tope jepesi baya kweli. Stendi ya mkoa ilikuwa kisutu
Nawashangaa sn, watu 70 mwishoni hawajazeeka uje uje uzeeke ww wa 80 mwanzoni? Tena nahisi umezaliwa 81-83Hata mi nashangaa bro angu
Jf ilikuwa nzuri sn zamani kdg, sasa hv utoto mwingiWanajukwaa wanapenda kujua umri wa watu kweli kweli tabia za kike kike fu@#k em
Wapumbavu wengi huku !Jf ilikuwa nzuri sn zamani kdg, sasa hv utoto mwingi
Mambo ya fb wanayaleta humu
kwamba nakaribia kustaafu?? 😁Mkuu utakuwa mdogo saana eeh...huyu jamaa ni 33+ 9 = akiwa na miaka mingi ni 42.
Nilikuwa nakuweka age group moja na niah na @mmandenyi
nshapigwa pigwa vitukio vya kiaina, vya kuchangamshwa akiliAsante mkuu, vipi ww hujawahi kukutana na jinamizi lolote la aina hii?
Kuna watu humu 89 hio wana mtoto,Kwa uzee gani au hyo 89 imekuchanganya humu kuna watu hio 89 ndio wanamaliza form4
Eve, ushaliwaga uroda bure??nshapigwa pigwa vitukio vya kiaina, vya kuchangamshwa akili
Daby upo? Sijakusoma siku nyingi na mimi nilijikata kidogo hasa nilipokuwa makao mazee.Mkuu utakuwa mdogo saana eeh...huyu jamaa ni 33+ 9 = akiwa na miaka mingi ni 42.
Nilikuwa nakuweka age group moja na niah na @mmandenyi
Mkuuu mwaka huo ndio tumezaliwa wenzako hukuKwa uzee gani au hyo 89 imekuchanganya humu kuna watu hio 89 ndio wanamaliza form4
Mkuuu mwaka huo ndio tumezaliwa wenzako huku
Ndio mkuu unaptambua Duniani kunamamboHahaaahaa mkuu JF tupo na watu wakongwe haswa kuna mdau humu kasema hyo 89 anafanya kazi kwenye shirika la umma sasa jiulize hapo 😁