Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Kama kazaliwa 80 basi 89 alikuwa na miaka 9 na sasa 42. Hajafika 50.Duh mleta mada kwa sasa haukosi 50 na zaidi. Ilikuaje mkuu ukatapeliwa miaka hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kazaliwa 80 basi 89 alikuwa na miaka 9 na sasa 42. Hajafika 50.Duh mleta mada kwa sasa haukosi 50 na zaidi. Ilikuaje mkuu ukatapeliwa miaka hiyo?
Ok mkuu nimeipata point yako 🙏Kama kazaliwa 80 basi 89 alikuwa na miaka 9 na sasa 42. Hajafika 50.
😀😀😂🤣🤣 mkuu 2007 mbona wizi huo ulikuwa unajulikana sana Tz, au walikuotea tu bahati mbaya? Pole sana aisee.Mm pia niliwekewa simu ya sabuni Moshi mjini kipindi Cha 2007 HV washenzi San wale vijana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mie 90 tu tuseme so ujue umenipita sanaHahaha mbona unaniamkia mkongwe mwenzang?
Sikubaliani na wewe. Mimi nimetapeliwa kwa sababu kwanza umri wang nilikuwa mdogo sana wa kuweza kupambanua mambo. Hebu soma vizur uzi wang utaelewa, lkn leo hii kuna vijana washavuka 20 bado wanatepeliwa kwa utapeli wa aina hii hii wa miaka ya 80.Hii inaonesha watoto wa zamani uelewa wao uliku mdogo sana kuliko wa sasa
Inaonekana ni kijana sana ila hesabu ulikimbia 😂Duh mleta mada kwa sasa haukosi 50 na zaidi. Ilikuaje mkuu ukatapeliwa miaka hiyo?