Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia ya mchana yanaonekanaga usiku na ya usiku yanaonekanaga mchana ...Mambo mengine yanaonekana kama mchana wakati wa mchana
Baadhi ya Vijana wa Sasa ni watu wa hovyo Sana. Muda wote wanawaza ujinga ujinga tu, hawafikirii vitu vya maana.Mngejua mnavyonichosha na hizi hoja za uchaguzi, ilihali kuna changamoto nyingi za kitaifa za kutafutia utatuzi! Basi tu!
Lisu hawezi kujiunga na group la shetaniKati ya manguli hawa wawili wa sheria, unapendekeza Samia amuweke nani pale Wizara ya Sheria?
2005 walishindaToka sera ya kupiga kura ianzishwe hakuna siku CCM ilishinda uchaguzi kihalali.
Usogeze mbele sasa huo mudaNi suala la muda tu
Nashindwa kubishana na wewe naogopa kukuchafulia CVJidanganye
napendekeza TUNDU ANTIPAS LISU awe Mkurugenzi wa Mashtaka 🐒Kati ya manguli hawa wawili wa sheria, unapendekeza Samia amuweke nani pale Wizara ya Sheria?