N parachichi unguja linsuzwa elfu 2 mojaNauliza tu!
Kwa nini wageni ndio wanapanga bei ya kuuza maparachichi?
Jirani zetu wananunua maparachichi kilo shillingi elfu mbili wanaenda kuweka label product of…. Hii ni dhambi kubwa sana!
Waziri wa Kilimo na Mkuu wa Mkoa lini mtawasaidia wakulima?
Wewe Kwa nini usiwasaidie wakulima? Waziri awasaidiaje?Nauliza tu!
Kwa nini wageni ndio wanapanga bei ya kuuza maparachichi?
Jirani zetu wananunua maparachichi kilo shillingi elfu mbili wanaenda kuweka label product of…. Hii ni dhambi kubwa sana!
Waziri wa Kilimo na Mkuu wa Mkoa lini mtawasaidia wakulima?
Bei elekeziWewe Kwa nini usiwasaidie wakulima? Waziri awasaidiaje?
Soko huria halina bei elekeziBei elekezi
Basi wakulima wataendelea kuliaSoko huria halina bei elekezi
Hii ni point,,Hapa da viparachich vidogovidogo vinauzwa sh 800 hadi 1000 kwa kamoja..wakati wananchi anatamani kula parachicj kila siku anashindwaAjabu ni kwamba hata njombe kuna mda parachichi 1 ni sh500.
Mimi nawaza kuwa seriksli ingefanya uhamasishaji mkubwa wa kula tunda la parachichi ili liuzwe hapa hapa nchini. Parachichi inavirutubisho vingi ila watanzania wanaokula ni kama robo ya watanzania wote. Mbona maembe machungwa yanaliwa hapa hapa bila kutegemea wageni ? Kasumba ya kulisha wazungu kabla ya kujilisha wenyewe ni ya kijinga. Mtoto wa kizungu anakuwa na afya bora wa kiswahili amedumaa, hii sio sawa.
Mkuu kuna mahala tunafeli. Sh 2000 kwa kilo ni parachichi tano tena kubwa. Sasa ikisafirishwa singida bei ya kuisafirisha haitazidi mia. Ukimuuzia mtanzania wa singida kwa 700 anaweza kumudu na parachichi moja wanaweza kula watu 2 mpaka 3 bila kukamia.Hii ni point,,Hapa da viparachich vidogovidogo vinauzwa sh 800 hadi 1000 kwa kamoja..wakati wananchi anatamani kula parachicj kila siku anashindwa
Pengine watu hawayapendi? Kuna njia nyingine ya kuweza kuyatumia. Kuanzisha kiwanda cha mafuta. Mafuta yake ni mazuri sana.Ajabu ni kwamba hata njombe kuna mda parachichi 1 ni sh500.
Mimi nawaza kuwa seriksli ingefanya uhamasishaji mkubwa wa kula tunda la parachichi ili liuzwe hapa hapa nchini. Parachichi inavirutubisho vingi ila watanzania wanaokula ni kama robo ya watanzania wote. Mbona maembe machungwa yanaliwa hapa hapa bila kutegemea wageni ? Kasumba ya kulisha wazungu kabla ya kujilisha wenyewe ni ya kijinga. Mtoto wa kizungu anakuwa na afya bora wa kiswahili amedumaa, hii sio sawa.
Ingawaje inahitaji kulijua soko lako kwanza na mambo mengine ya kibiashara,naamini hili ni wazo bora sana.Pengine watu hawayapendi? Kuna njia nyingine ya kuweza kuyatumia. Kuanzisha kiwanda cha mafuta. Mafuta yake ni mazuri sana.
Unazungumzia situation ya mteja wa mwisho, wewe mteja Utachagua parachichi moja kwenye parachichi 100.Ajabu ni kwamba hata njombe kuna mda parachichi 1 ni sh500.
Mimi nawaza kuwa seriksli ingefanya uhamasishaji mkubwa wa kula tunda la parachichi ili liuzwe hapa hapa nchini. Parachichi inavirutubisho vingi ila watanzania wanaokula ni kama robo ya watanzania wote. Mbona maembe machungwa yanaliwa hapa hapa bila kutegemea wageni ? Kasumba ya kulisha wazungu kabla ya kujilisha wenyewe ni ya kijinga. Mtoto wa kizungu anakuwa na afya bora wa kiswahili amedumaa, hii sio sawa.