Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

Mapenzi yanaweza kuwa mlango wa mafanikio katika maisha yako.
Ukipendwa pendeka acha nyodo wazuri ni wengi
 
Funzo la 2023…

Kutegemea wanasiasa ni kujinyima uwezo wa kufikiria
 
Kila mtu ana uhalisia pande mbili, ule upande anaouficha itatokezea tu, ni suala la muda.
Kuna mtu namfahamu kwa miaka 20 sasa, mwaka huu ndiyo nimeujua uhalisia wake kamili.
Na hapo Bado hujaujua uhalisia wake
 
Umenifunza kumsikiliza mke wangu.Hawa mafala wengine ni wakunywa nao beer tu na kuishi nao kwao akili.
 
Nimejifunzaa mtu mweusi Hana rafiki wa kweli wengi ni wanafiki,,jiamin wew mwenyew na maisha yakoo
 
Reactions: EEX
1. Serikali haipo kwa Wanchi bali kwa ajili ya Viongozi= Baada ya SAlma Kikwete bila huruma kulazimisha wapewe mafao wakati wapo kazini na huku wapo kwenye ndoa na hata waliofiwa wanamiradhi ya waume zao, mabilioni ya fedha.

2. Viongozi wa Dini wapo kwaajili yao na si waumini waende Mbinguni,=Baada ya kukuta wale tunao waamini kila siku wanabaka watoto wetu tunowapeleka huko wakapate elimu, mbaya zaidi wanawageuza kinyume cha maumbile, dini za waarabu zimetuhribu na hatudhubutu kuzikataa.

3. Hatuna uchaguzi wala hakujawahi kuwa na uchaguzi= Maboksi ya kura yalikamatwa Kawe, yet Tume ikabariki na wasimamizi wa kimataifa wakabariki, ; COVID-19 ni laana kwa taifa lakini wameendelea kulindwa ili kamati za bunge zitimie.
 
Huu mwaka nimejifunza mengi,kikubwa do not trust anybody hata akiwa mtu wa karibu yako.Nalia ndani kwa ndani.Hakika nimetendwa haswa na mtu wa karibu haswa
Yaani acha kabisa Mimi ni binamu yangu niliempenda sana namshukuru Mungu kwa kunionesha mapema

Yule jamaa ni zaidi ya mnafiki shetani kabisa yule
 
Usiache ndoto zako kwa sababu ya changamoto. Jifunze kupambana nazo ili ndoto zako zitimie.

Ndugu wa damu anaweza kukupoteza kwa sekunde, hivyo uwe makini sana unapopanga mambo yako

Usitegemee mali ya familia kuwa itakuinua hasa mkiwa mmezaliwa wengi. Unaweza kupotezwa

Usidharau kazi maana zile kazi ambazo zinaonekana hazifai, hakika zina matunda mazuri sana

Jiwekeze kwenye vimradi vingi tofauti tofauti, hakika hufungua mwanga wa maisha
 
Somo gani alikupa mzee?kama hutojali kushare...
 
Hakuna taasisi au binadamu atakuja kukuokoa aua kukutetea. Maisha ni zawadi uliyopewa wewe pambania malengo yako.
 
Kukaa miezi sita bila nyeto au kugegeda kunawezekana ila uwe umefulia
Naomba ipingane na hii kidogo ukiwa na hela kiasi sawa. Pesa ikiwa nyingi unakuwa busy hata hamu na muda wa kufanya mapenzi huna. Unapata hamu ukiwa umepumzika nyumbani kuna kipindi unaweza ukahisi una matatizo.
 
you nailed it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…