Mambo mrembo...vipi pilau tunakula au ndio tusibiri mwaka mwengine 🤣🤣🤣🤣😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mrembo...vipi pilau tunakula au ndio tusibiri mwaka mwengine 🤣🤣🤣🤣😂😂
Tatizo ukiwa na hela warembo wanajilengesha tuu hivyo inakuwa ngumu kutokugegedaUkiwa na hela kwisha habari yako😀
Kweli kabisa, kufeli ndio kujifunzaNimejifunza kutokuogopa kufeli jambo, kufeli ni sehemu ya kujifunza, kama kuna jambo unaona linamanufaa lifanye usiogope kufeli. Do your best and God will do the rest
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Muhimu sana hiliTrust on my self.
Inabidi macho yawe na giza, ukiona mrembo shingo ishupae kushoto😅Tatizo ukiwa na hela warembo wanajilengesha tuu hivyo inakuwa ngumu kutokugegeda
Ngumu inakuwa kwa sababu ni pisi kali kali tuu sii unajua tena ukiwa na mihela unakula maburger ma pizza sio tena chapati za mama asha. So huko unakutana na pisi kali kali tuuInabidi macho yawe na giza, ukiona mrembo shingo ishupae kushoto😅
Huu mwaka umenifanya niamini kila kitu kinawezekana... nimefanya mambo makubwa ambayo kwa umri wangu sikudhani kama naweza kufanya....Mafanikio ya kila mtu yapo mikononi mwake kwakweli, ni suala la kumwomba Mungu na kuamua kufany
Kufulia Gani huko hadi Nyeto ikushindeKukaa miezi sita bila nyeto au kugegeda kunawezekana ila uwe umefulia
Acha kabisa mzeya nakwambia nimepigwa na maisha yaani hadi nyeto nilikuwa naona kero tuu....asikwambie mtu kufulia kubaya sana.Kufulia Gani huko hadi Nyeto ikushinde
My future wife 🙃🤗😆Huu mwaka umenifanya niamini kila kitu kinawezekana... nimefanya mambo makubwa ambayo kwa umri wangu sikudhani kama naweza kufanya....Mafanikio ya kila mtu yapo mikononi mwake kwakweli, ni suala la kumwomba Mungu na kuamua kufanya
2026 tunasubir uchaguz upite😂😂Mambo mrembo...vipi pilau tunakula au ndio tusibiri mwaka mwengine 🤣🤣🤣🤣
Kumbe binti wa chuga, nawe una tapeliwa🙄😆😆😂😂Usikopeshe rafiki.. kopesha pesa ambayo unaimudu kusamehe.
Aya shuri yako utakuwa kama rafiki yako mawardat2026 tunasubir uchaguz upite😂😂