Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
huku ndo tunajua matumizi ya makoti sasaNasikia kuna baridi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku ndo tunajua matumizi ya makoti sasaNasikia kuna baridi
anza wewe mimi nitafuata,, lakini kulima aseeee nehiiii 🖐🏾Nazungumzia wale wakulima, alafu lima wewe mbona hela tunatafuta wote.
Mimi nimelima, unaogopa nini?anza wewe mimi nitafuata,, lakini kulima aseeee nehiiii 🖐🏾
kuota sugu mikononi pia sina hela za wafanyakaz 😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾Mimi nimelima, unaogopa nini?
Gunia la mahindi 30,000 hiyo njaa Inatoka wapi?Chukua hii nakupa;japo hatupangiani maisha kila mtu anajua jinsi anavyoyaendesha ila Kiukweli life ni gumu ndugu zangu na mwaka huu huku mashambani hali sio hali hasa Kwa upande wa zao la mahindi mikoa ambayo sio wazalishaji wakubwa wa chakula tumepata pata ila sio ya kuuza ni kwa ajili ya kula tu mahindi yalinyauka pia mvua Ilikuwa nyingi ikaathiri kiasi fulani.
Mpunga kidogo mwaka huu maeneo mengi wametoboa. All in all maisha tu ni magumu pesa ngumu kupatikana na bado haikaliki inapepea yaani laki ukienda sokoni kununua vitu hivyo vitu ukiviona ni vichache kama utani laki inakata ila kuipata laki yenyewe ni mtiti.
So kama unaishi ki bachelor au una familia aisee ni heri ukajiandaa mapema ukipata pesa weka stock kabisa ya vyakula hata kama gunia bora uweke mapema, mkaa weka, gas jaza,Maharage weka, mpunga weka, mafuta ya kutosha weka n. k.. UOGA PIA NI AKILI SOMETIMES
Ukiwa huna hela wala chakula ndani unaweza kudata ukajikuta unageuka omba omba majumbani mwa watu.
Hakuna kitu kibaya kama njaa inatisha aisee kweli wahenga walisema ADUI YAKO MUOMBEE NJAA.
View attachment 3003343View attachment 3003344
Nimekukamata, gunia la kumi kwenye keyboardanza wewe mimi nitafuata,, lakini kulima aseeee nehiiii 🖐🏾
kwamba sipaswi kupumzika jamaniNimekukamata, gunia la kumi kwenye keyboard
Sasa utafanyia nini hiyo mikono kama hutaki iwe na sugukuota sugu mikononi pia sina hela za wafanyakaz 😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾
Hadi kulala nayohuku ndo tunajua matumizi ya makoti sasa
SahihiTafuta Hela mkuu ,unga si AKIBA pesa ndio akiba ya Kila kitu,,mfano mtt akiumwa hapo uwezi mpelekea docta unga na Mchele ampe mtt huduma ,Bali atataka pesa..narudiaa tafutaa pesaaaa sanaaaaa..
weeeee kwahiyo unataka kusemaje 😂😂Sasa utafanyia nini hiyo mikono kama hutaki iwe na sugu
Yani unalala ukiwa full coveredHadi kulala nayo
Kuogea na kuogeshaweeeee kwahiyo unataka kusemaje 😂😂
Sasa itakuajeYani unalala ukiwa full covered
kula bwanaKuogea na kuogesha
ishia apo apo 😂🖐🏾Sasa itakuaje
Ww kaa na mahindi Yako yakuozee huku kwetu gunia limefika elfu 40 na inaendelea kushukaChukua hii nakupa;japo hatupangiani maisha kila mtu anajua jinsi anavyoyaendesha ila Kiukweli life ni gumu ndugu zangu na mwaka huu huku mashambani hali sio hali hasa Kwa upande wa zao la mahindi mikoa ambayo sio wazalishaji wakubwa wa chakula tumepata pata ila sio ya kuuza ni kwa ajili ya kula tu mahindi yalinyauka pia mvua Ilikuwa nyingi ikaathiri kiasi fulani.
Mpunga kidogo mwaka huu maeneo mengi wametoboa. All in all maisha tu ni magumu pesa ngumu kupatikana na bado haikaliki inapepea yaani laki ukienda sokoni kununua vitu hivyo vitu ukiviona ni vichache kama utani laki inakata ila kuipata laki yenyewe ni mtiti.
So kama unaishi ki bachelor au una familia aisee ni heri ukajiandaa mapema ukipata pesa weka stock kabisa ya vyakula hata kama gunia bora uweke mapema, mkaa weka, gas jaza,Maharage weka, mpunga weka, mafuta ya kutosha weka n. k.. UOGA PIA NI AKILI SOMETIMES
Ukiwa huna hela wala chakula ndani unaweza kudata ukajikuta unageuka omba omba majumbani mwa watu.
Hakuna kitu kibaya kama njaa inatisha aisee kweli wahenga walisema ADUI YAKO MUOMBEE NJAA.
View attachment 3003343View attachment 3003344
Sawa mkuuishia apo apo 😂🖐🏾
Kuna nyakati utaweza kuwa na hela lakini mahindi na mchele vya kununua hamna, au upo wa plastiki kutoka huko.Tafuta Hela mkuu ,unga si AKIBA pesa ndio akiba ya Kila kitu,,mfano mtt akiumwa hapo uwezi mpelekea docta unga na Mchele ampe mtt huduma ,Bali atataka pesa..narudiaa tafutaa pesaaaa sanaaaaa..