Mwaka huu kutakuwa na njaa, heri ukose hela ila uwe na chakula ndani

Mwaka huu kutakuwa na njaa, heri ukose hela ila uwe na chakula ndani

Ila kiukweli kwa hii inchi jinsi ilivyobarikiwa kuwa na arable land kubwa, suala la chakula halikutakiwa liwe ni kitu cha kuwaza kabisa mpaka kufikia kiasi cha kutishana.....yaani kitendo tu cha sisi kuwa na aridhi yenye ukubwa wa hectares zaidi ya 4m mbazo zinakubali mazao yote yoye ya chakula, ilipaswa chakula iwe ni moja wa bidhaa tunayoinunua kwa bei ya chini san.
 
Wakati sehemu nyingi waifurahia mvua iliyonyesha kwa mujibu wa mbuge Tabasamu wengine wamepata madhira makubwa sana ya mafuliko na mali na maisha kupotea, yote tunaambiwa kumshukuru Mungu. tusiishie hapo niwaase watanzania wote; kitafuata kipindi kikubwa cha ukame hivyo tujitahidi kila inavyowezekana tuweke chakula cha kutosha katika maghara kila familia na chakula cha ziada zifanyike jitihada za maksudi kwa vyombo vyetu vya hifadhi maghara ya kitaifa tukusanye chakula cha kutosha tuweke akiba kuna mchele wa kutosha sasa mwakani unaweza usiwepo. mahidi yapo ya kutosha mwakani yawezekana yasiwepo. tuondoke katika hifadhi ya zone tuweke hifadhi ya kila mkoa. wenine mnanitolea macho 'mkijisemea kwani wewe ni TMA,' yako macho ya rohoni yanaona mkidharau shauri yenu mtanikumbuka baadae.
 
Wakati sehemu nyingi waifurahia mvua iliyonyesha kwa mujibu wa mbuge Tabasamu wengine wamepata madhira makubwa sana ya mafuliko na mali na maisha kupotea, yote tunaambiwa kumshukuru Mungu. tusiishie hapo niwaase watanzania wote; kitafuata kipindi kikubwa cha ukame hivyo tujitahidi kila inavyowezekana tuweke chakula cha kutosha katika maghara kila familia na chakula cha ziada zifanyike jitihada za maksudi kwa vyombo vyetu vya hifadhi maghara ya kitaifa tukusanye chakula cha kutosha tuweke akiba kuna mchele wa kutosha sasa mwakani unaweza usiwepo. mahidi yapo ya kutosha mwakani yawezekana yasiwepo. tuondoke katika hifadhi ya zone tuweke hifadhi ya kila mkoa. wenine mnanitolea macho mkijisemea kwani wewe ni TMA, yako macho ya rohoni yanaona mkidharau shauri yenu mtanikumbuka baadae.
Tanzania ina maji baridi tele ya kuchimba kumwagilia mazao na kutumia matumizi mengine, hatupaswi kutishwa na kiangazi.
 
Tanzania ina maji baridi tele ya kuchimba kumwagilia mazao na kutumia matumizi mengine, hatupaswi kutishwa na kiangazi.
Sawa lakini hii ni mipango ya kudumu yenye gharama kubwa.
Vipi kuhusu mpango wa muda mfupi wa gharama nafuu ambao ni kutunza chakula?
 
Sawa lakini hii ni mipango ya kudumu yenye gharama kubwa.
Vipi kuhusu mpango wa muda mfupi wa gharama nafuu ambao ni kutunza chakula?
Masikini hawawezi kutunza chakula kwa sababu maisha yao ni ya mkono kwa kinywa kila siku, kwa matajiri hakuna umuhimu wa kutunza chakula. Huu utakuwa ni mwanya tu wa serikali kusumbua wafanyabiashara.
 
Back
Top Bottom