Mwaka huu kutakuwa na njaa, heri ukose hela ila uwe na chakula ndani

Mwaka huu kutakuwa na njaa, heri ukose hela ila uwe na chakula ndani

Ndege joni enzi za jiwe alikuwa mmojwapo wa vijana wake wa mstari wa mbele humu jukwaani, siku hizi amepoa sana.
Sijapoa na mama tunamkubali kidizaini cha msingi tuna enjoy maisha
 
Chukua hii nakupa; japo hatupangiani maisha kila mtu anajua jinsi anavyoyaendesha ila kiukweli life ni gumu ndugu zangu na mwaka huu huku mashambani hali sio hali hasa Kwa upande wa zao la mahindi.

Mikoa ambayo sio wazalishaji wakubwa wa chakula tumepata pata ila sio ya kuuza ni kwa ajili ya kula tu mahindi yalinyauka pia mvua Ilikuwa nyingi ikaathiri kiasi fulani.

Mpunga kidogo mwaka huu maeneo mengi wametoboa. All in all maisha tu ni magumu pesa ngumu kupatikana na bado haikaliki inapepea yaani laki ukienda sokoni kununua vitu hivyo vitu ukiviona ni vichache kama utani laki inakata ila kuipata laki yenyewe ni mtiti.

So kama unaishi ki bachelor au una familia aisee ni heri ukajiandaa mapema ukipata pesa weka stock kabisa ya vyakula hata kama gunia bora uweke mapema, mkaa weka, gas jaza,Maharage weka, mpunga weka, mafuta ya kutosha weka n. k.. UOGA PIA NI AKILI SOMETIMES

Ukiwa huna hela wala chakula ndani unaweza kudata ukajikuta unageuka omba omba majumbani mwa watu.

Hakuna kitu kibaya kama njaa inatisha aisee kweli wahenga walisema ADUI YAKO MUOMBEE NJAA.

View attachment 3003343View attachment 3003344
HAKUTA KUWA NA NJAA BALI MIGOGORO MINGI KAMA MAGONJWA,VITA,MAUAJI MENGI,VIFO VINGI ,MDORORO WA UCHUMI ,WATU WENGI KUFIRISIKA NA MAGEUZI YA DAMU. MPAKA 2028 NDIO MWISHO
 
mavuno mwaka huu yako juu sana hii imechagizwa na ruzuku aliyoiweka mama kwenye pembejeo

watanzania tafuteni mboga tuh unga mama kashawarahisishia wala hakuna shaka juu ya hili
 
Chukua hii nakupa; japo hatupangiani maisha kila mtu anajua jinsi anavyoyaendesha ila kiukweli life ni gumu ndugu zangu na mwaka huu huku mashambani hali sio hali hasa Kwa upande wa zao la mahindi.

Mikoa ambayo sio wazalishaji wakubwa wa chakula tumepata pata ila sio ya kuuza ni kwa ajili ya kula tu mahindi yalinyauka pia mvua Ilikuwa nyingi ikaathiri kiasi fulani.

Mpunga kidogo mwaka huu maeneo mengi wametoboa. All in all maisha tu ni magumu pesa ngumu kupatikana na bado haikaliki inapepea yaani laki ukienda sokoni kununua vitu hivyo vitu ukiviona ni vichache kama utani laki inakata ila kuipata laki yenyewe ni mtiti.

So kama unaishi ki bachelor au una familia aisee ni heri ukajiandaa mapema ukipata pesa weka stock kabisa ya vyakula hata kama gunia bora uweke mapema, mkaa weka, gas jaza,Maharage weka, mpunga weka, mafuta ya kutosha weka n. k.. UOGA PIA NI AKILI SOMETIMES

Ukiwa huna hela wala chakula ndani unaweza kudata ukajikuta unageuka omba omba majumbani mwa watu.

Hakuna kitu kibaya kama njaa inatisha aisee kweli wahenga walisema ADUI YAKO MUOMBEE NJAA.

View attachment 3003343View attachment 3003344
Nalo neno.
 
Njaa ya wapi mbona huku tumevuna na kusaza?

Mavyakula hadi tunamwaga.

Labda huko kwenu ndo mna njaa!
 
Sembe sasa kilo ni alfu moja, natamani twende hivi hivi
Unatamani sembe kilo ibakie buku sio. Ndio maana nilionaga kilimo ni upuuzi. Yaan mtu unalima Kwa shida unaishia kulisha chakula watu mjini huku miaka nenda rudi mtu upo palepale. Kilimo nlikilima Kwa sababu nilikuwa chini ya wazazi sikuwa na jinsi. Ila sasahv sidanganyiki
 
Hakuna njaa mwaka huu labda ujao mahindi debe elf 7 ,mchele kilo 1000
 
Tafuta Hela mkuu, unga si AKIBA pesa ndio akiba ya Kila kitu. Mfano mtoto akiumwa hapo uwezi mpelekea docta unga na Mchele ampe mtoto huduma bali atataka pesa.. Narudiaa tafutaa pesaaaa sanaaaaa..
Mkuu sisi kikwetukwetu kutibiwa in exchange of food products ni Jambo la kawaida sana!!
 
Back
Top Bottom