Mwaka huu Simba sc iachane na beki wake Mohammed Hussein. Huyu jamaa ameshazeeka na amechoka sana

Mwaka huu Simba sc iachane na beki wake Mohammed Hussein. Huyu jamaa ameshazeeka na amechoka sana

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Ahlan wa sahalan.

Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba.

Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi wanatakiwa watafute mabeki wapya kushoto na kulia ili kuifanya falsafa ya mwalimu Fadlu kuwa na nguvu na imara.

Leo Djibril Sillah kamchosha sana Shabalala kiasi kwamba alishakata moto mapema kuanzia dakika ya 60. Kocha wa Azam kwa kulitambua hili akaamua azidi kumpeleke watu wenye kasi upande wake. Mara nyingi Shabalala alikuwa nje ya position yake na waliokuwa wakimfichia makosa ni Che Malone aliyeumia na baadae Karaboue Chamouh.

Lauti kama Azam wangetumia sana madhaifu ya upande wa shabalala basi wangeiadhibu sana Simba kwenye mechi ya leo.

Wito wangu kww uongozi wa Simba ni kuhakikisha kuwa wanafanya mapinduzi ya usajili katika nafasi ya beki wa kulia na Kushoto. Viongozi waache siasa za kuangalia majina badala yake walete kweli watu wa soka.

Shabalala madhaifu yajr makubwa yapo katika kukaba na kushambulia. Winga anaposhambulia yeye huwa nyuma na timu inaposhambuliwa haonekani katika nafasi yake. Kifupi anakabia kwa macho pia hana uwezo wa kupiga Crosses za maana.

Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

Viongozi iliangalie hili kwa jicho yakinifu. Shabalala na mzee mwenzie Kapombe kinachoendelea kuwabakisha Simba ni uwezo wao wa nje ya uwanja kwenye kuwapiga misumari wachezaji wanaosajiliwa kuja kushindana nao katika nafasi zao. Ikiwa Simba inahitaji mapinduzi ya kweli basi ni vyema kuachana na wachezaji hawa na kutafuta wachezaji wenye uwezo mkubwa.
 
Mkuu umechemka ukachambue mchele sio futibolu mzee unasahau kua bila makosa magoli hayatafungwa simba akishinda hakuna kama zimbwe ,kapombe leo goli limepitia kwake eti hafai pumbafu
 
Ahlan wa sahalan.

Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba.

Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi wanatakiwa watafute mabeki wapya kushoto na kulia ili kuifanya falsafa ya mwalimu Fadlu kuwa na nguvu na imara.

Leo Djibril Sillah kamchosha sana Shabalala kiasi kwamba alishakata moto mapema kuanzia dakika ya 60. Kocha wa Azam kwa kulitambua hili akaamua azidi kumpeleke watu wenye kasi upande wake. Mara nyingi Shabalala alikuwa nje ya position yake na waliokuwa wakimfichia makosa ni Che Malone aliyeumia na baadae Karaboue Chamouh.

Lauti kama Azam wangetumia sana madhaifu ya upande wa shabalala basi wangeiadhibu sana Simba kwenye mechi ya leo.

Wito wangu kww uongozi wa Simba ni kuhakikisha kuwa wanafanya mapinduzi ya usajili katika nafasi ya beki wa kulia na Kushoto. Viongozi waache siasa za kuangalia majina badala yake walete kweli watu wa soka.

Shabalala madhaifu yajr makubwa yapo katika kukaba na kushambulia. Winga anaposhambulia yeye huwa nyuma na timu inaposhambuliwa haonekani katika nafasi yake. Kifupi anakabia kwa macho pia hana uwezo wa kupiga Crosses za maana.

Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

Viongozi iliangalie hili kwa jicho yakinifu. Shabalala na mzee mwenzie Kapombe kinachoendelea kuwabakisha Simba ni uwezo wao wa nje ya uwanja kwenye kuwapiga misumari wachezaji wanaosajiliwa kuja kushindana nao katika nafasi zao. Ikiwa Simba inahitaji mapinduzi ya kweli basi ni vyema kuachana na wachezaji hawa na kutafuta wachezaji wenye uwezo mkubwa.
Basi mrudisheni Morison kutoka Kengold
 
Uko sawa kabisa kapombe leo amegeuza geuzwa kama chapat shabalala anakabia macho anasindikiza tu simba beki zote zimechoka n wazito pia wangesajili na winga teleza wenye kasi
 
Ahlan wa sahalan.

Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba.

Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi wanatakiwa watafute mabeki wapya kushoto na kulia ili kuifanya falsafa ya mwalimu Fadlu kuwa na nguvu na imara.

Leo Djibril Sillah kamchosha sana Shabalala kiasi kwamba alishakata moto mapema kuanzia dakika ya 60. Kocha wa Azam kwa kulitambua hili akaamua azidi kumpeleke watu wenye kasi upande wake. Mara nyingi Shabalala alikuwa nje ya position yake na waliokuwa wakimfichia makosa ni Che Malone aliyeumia na baadae Karaboue Chamouh.

Lauti kama Azam wangetumia sana madhaifu ya upande wa shabalala basi wangeiadhibu sana Simba kwenye mechi ya leo.

Wito wangu kww uongozi wa Simba ni kuhakikisha kuwa wanafanya mapinduzi ya usajili katika nafasi ya beki wa kulia na Kushoto. Viongozi waache siasa za kuangalia majina badala yake walete kweli watu wa soka.

Shabalala madhaifu yajr makubwa yapo katika kukaba na kushambulia. Winga anaposhambulia yeye huwa nyuma na timu inaposhambuliwa haonekani katika nafasi yake. Kifupi anakabia kwa macho pia hana uwezo wa kupiga Crosses za maana.

Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

Viongozi iliangalie hili kwa jicho yakinifu. Shabalala na mzee mwenzie Kapombe kinachoendelea kuwabakisha Simba ni uwezo wao wa nje ya uwanja kwenye kuwapiga misumari wachezaji wanaosajiliwa kuja kushindana nao katika nafasi zao. Ikiwa Simba inahitaji mapinduzi ya kweli basi ni vyema kuachana na wachezaji hawa na kutafuta wachezaji wenye uwezo mkubwa.
Ngoma+Hussein+Che Malone game liliwakataa,mtu ambae sikutegemea acheze kabisa ni Ngoma kutokana na aina ya wachezaji wa Azam wa mbele,alitakiwa kuanza Mavambo kwakua anambio na hata akiharibu nirahisi kwake kurejea kwenye analysis ya kocha huyu alikua mzigo kushinda hata Hussein,yeye alichoka na kocha alitakiwa kufanya sub dk 70 but uzembe ndio Umempa matokeo Haya,Azam walikamia na hata sub zao zilikua za wakimbiaji tu
 
Ahlan wa sahalan.

Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba.

Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi wanatakiwa watafute mabeki wapya kushoto na kulia ili kuifanya falsafa ya mwalimu Fadlu kuwa na nguvu na imara.

Leo Djibril Sillah kamchosha sana Shabalala kiasi kwamba alishakata moto mapema kuanzia dakika ya 60. Kocha wa Azam kwa kulitambua hili akaamua azidi kumpeleke watu wenye kasi upande wake. Mara nyingi Shabalala alikuwa nje ya position yake na waliokuwa wakimfichia makosa ni Che Malone aliyeumia na baadae Karaboue Chamouh.

Lauti kama Azam wangetumia sana madhaifu ya upande wa shabalala basi wangeiadhibu sana Simba kwenye mechi ya leo.

Wito wangu kww uongozi wa Simba ni kuhakikisha kuwa wanafanya mapinduzi ya usajili katika nafasi ya beki wa kulia na Kushoto. Viongozi waache siasa za kuangalia majina badala yake walete kweli watu wa soka.

Shabalala madhaifu yajr makubwa yapo katika kukaba na kushambulia. Winga anaposhambulia yeye huwa nyuma na timu inaposhambuliwa haonekani katika nafasi yake. Kifupi anakabia kwa macho pia hana uwezo wa kupiga Crosses za maana.

Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

Viongozi iliangalie hili kwa jicho yakinifu. Shabalala na mzee mwenzie Kapombe kinachoendelea kuwabakisha Simba ni uwezo wao wa nje ya uwanja kwenye kuwapiga misumari wachezaji wanaosajiliwa kuja kushindana nao katika nafasi zao. Ikiwa Simba inahitaji mapinduzi ya kweli basi ni vyema kuachana na wachezaji hawa na kutafuta wachezaji wenye uwezo mkubwa.
We umeona huo upande ambazo hata mie nimeona nikakumbuka wale jamaa Wana pacome ,Mzize na Maxi

Lkn vipi Ngoma na Kagoma kipindi Cha pili naona kama nao walipoteza pattern ya mchezo
 
Ahlan wa sahalan.

Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba.

Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi wanatakiwa watafute mabeki wapya kushoto na kulia ili kuifanya falsafa ya mwalimu Fadlu kuwa na nguvu na imara.

Leo Djibril Sillah kamchosha sana Shabalala kiasi kwamba alishakata moto mapema kuanzia dakika ya 60. Kocha wa Azam kwa kulitambua hili akaamua azidi kumpeleke watu wenye kasi upande wake. Mara nyingi Shabalala alikuwa nje ya position yake na waliokuwa wakimfichia makosa ni Che Malone aliyeumia na baadae Karaboue Chamouh.

Lauti kama Azam wangetumia sana madhaifu ya upande wa shabalala basi wangeiadhibu sana Simba kwenye mechi ya leo.

Wito wangu kww uongozi wa Simba ni kuhakikisha kuwa wanafanya mapinduzi ya usajili katika nafasi ya beki wa kulia na Kushoto. Viongozi waache siasa za kuangalia majina badala yake walete kweli watu wa soka.

Shabalala madhaifu yajr makubwa yapo katika kukaba na kushambulia. Winga anaposhambulia yeye huwa nyuma na timu inaposhambuliwa haonekani katika nafasi yake. Kifupi anakabia kwa macho pia hana uwezo wa kupiga Crosses za maana.

Soma Pia: FT | Simba SC 2-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025

Viongozi iliangalie hili kwa jicho yakinifu. Shabalala na mzee mwenzie Kapombe kinachoendelea kuwabakisha Simba ni uwezo wao wa nje ya uwanja kwenye kuwapiga misumari wachezaji wanaosajiliwa kuja kushindana nao katika nafasi zao. Ikiwa Simba inahitaji mapinduzi ya kweli basi ni vyema kuachana na wachezaji hawa na kutafuta wachezaji wenye uwezo mkubwa.
Hatupokei ushauri wako maana hili limezungumzwa tangu miaka minne iliyopita, lakini hawana mpinzani wa kudumu
 
Back
Top Bottom